GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
- Thread starter
- #41
Hopeless.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hopeless.
Kwa kweli maana nimecheka kiboya sanaa leo[emoji23][emoji23][emoji23] ila genta una charisma kali unaongoza kwa mvuto hapa jf
Mimi nilijaribu CRDB waligoma, option pekee ni kufungua account mpyaUlijaribu kwa Benki gani kati ya NBC na CRDB?
Mh yaani unamaanisha Baba zako watatu kwa mama mmoja ukapatikana kwa lugha ya kitaalamu ni tri-sperms combination kumbe we ni mtoto wa kishua.
Anyway ong
Mtoto haramu huyoMh yaani unamaanisha Baba zako watatu kwa mama mmoja ukapatikana kwa lugha ya kitaalamu ni tri-sperms combination kumbe we ni mtoto wa kishua.
Anyway ongera!
1. Mara nyingi akaunti ikikaa muda mrefu bila kutumika hulala na baadaye kufungwa. Akaunti iliyofungwa huweza kuombewa special approval kama kuna ulazima huo haswa kwa mambo ya kisheria na ikafunguliwa.1. Je, ukiwa na Akaunti ya Benki fulani ila hukuitumia kwa miaka kati ya 5 hadi 10 ukitaka Kuendelea nayo inawezekana (japo najua itakuwa Imeshafungwa) Kuihuisha au Kuiamsha (Activate) au uachane na haya yote na Ufungue tu Akaunti mpya?
Tafadhali Wataalamu / Wabobezi wa Benki GENTAMYCINE naomba Msaada wenu wa Kiufafanuzi wa haraka na Nitawashukuruni.
2. Je, ukiwa na Akaunti kutoka Benki zetu za hapa Tanzania (Local kama NBC na CRDB) unaweza kuzitumia kwa Kuingiziwa Pesa zako (Mshahara) ukiwa unafanya Kazi nje ya Tanzania na ukazitoa ukiwa huko huko?
3. Naomba kujua Nchi (hasa za hapa Afrika Mashariki) ambazo Benki hizi Mbili za NBC na CRDB zina Matawi yake huko na unaweza bado ukaendelea Kuzitumia hata ukiwa huko huko Kimajukumu.
Natanguliza Shukran kwa Ufafanuzi.