Kama hamtojali naomba Ufafanuzi wa haraka juu ya haya mambo Matatu tu ya Umuhimu

Ila Wana option ya kuifufua bila makato pia, kabla ya kuweka unakwenda bank na utaanza na process ya kuleta picha na barua toka serikali ya mtaa Kisha wanai-activate na unadumbukiza mshiko.

Ila kama una mshiko unadumbukiza
 
[emoji23][emoji23][emoji23] ila genta una charisma kali unaongoza kwa mvuto hapa jf
Asante kwa hilo na ASHUKURIWE MNO na SANA MWENYEZI MUNGU, ila tegemea kuzushiwa na Wapumbavu na Washamba wengi hapa kuwa hii ID yako ni Mimi mwenyewe hivyo hapa najipakulia tu Minyama ( najisifu )
 
1. Je, ukiwa na Akaunti ya Benki fulani ila hukuitumia kwa miaka kati ya.

Natanguliza Shukran kwa Ufafanuzi.
Mfano, wafanyakazi wa UN wengine wana account za Tanzania na wanalipwa from nchi za Ulaya.

So ukisafiri kwenda nje ya TZ na una kadi ya Visa unatoa pesa kupitia ATM au kufanya shopping una tap.

Mfano mwengine wanaofanya kazi meli za nje pia wanaingiziwa mishahara from nchi za nje
Hii naongelea kwa bank ya NBC, ila haina matawi nchi nyengine
 
Kumbe ndio unataka kulipwa zile Milioni 9 kutoka Uganda?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…