Kama hatukumuelewa Hayati Mkapa basi tumuelewe Dkt. Dotto Biteko, tuache wanaoijua siasa waicheze na tujitume kufanya kazi

Kama hatukumuelewa Hayati Mkapa basi tumuelewe Dkt. Dotto Biteko, tuache wanaoijua siasa waicheze na tujitume kufanya kazi

Nehemia Kilave

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2022
Posts
1,414
Reaction score
3,118
Katika zama ambazo Ukoloni mamboleo umeshamiri ni bora tushauriane katika kujikita katika kufanya kazi ili kujitafutia maendeleo binafsi .

Nafahamu kwamba Siasa ndio kila kitu lakini kulaumu na kuumiza vichwa kuhusu wanasiasa haisaidii kubadili maisha magumu tuliyonayo .

Kama kuna watu wanafanikiwa katika huu huu utawala mbovu wa CCM basi ni vizuri tukasikiliza ushauri wa kupenda kufanya kazi.​


images (8) (1).jpeg

 
Kwanza atwambia cheo alichonacho kipo katika katiba? Kama akipo akiache mara moja maana ataenda kuichoma moto katiba kabisa. Arafu tuna mashaka na watu wa Geita na kahama warundi na wanyarwanda ni wengi sana atupe uhakika wa historia ya wazazi wake.
 
Kwanza atwambia cheo alichonacho kipo katika katiba? Kama akipo akiache mara moja maana ataenda kuichoma moto katiba kabisa. Arafu tuna mashaka na watu wa Geita na kahama warundi na wanyarwanda ni wengi sana atupe uhakika wa historia ya wazazi wake.
Hayo yanahusianaje na alichotamka ?
 
Kwanza atwambia cheo alichonacho kipo katika katiba? Kama akipo akiache mara moja maana ataenda kuichoma moto katiba kabisa. Arafu tuna mashaka na watu wa Geita na kahama warundi na wanyarwanda ni wengi sana atupe uhakika wa historia ya wazazi wake.
Akupe wewe na kina nani? Acha upuuzi.
 
Katika zama ambazo Ukoloni mamboleo umeshamiri ni bora tushauriane katika kujikita katika kufanya kazi ili kujitafutia maendeleo binafsi .

Nafahamu kwamba Siasa ndio kila kitu lakini kulaumu na kuumiza vichwa kuhusu wanasiasa haisaidii kubadili maisha magumu tuliyonayo .

Kama kuna watu wanafanikiwa katika huu huu utawala mbovu wa CCM basi ni vizuri tukasikiliza ushauri wa kupenda kufanya kazi.​


View attachment 3115899
Wewe ama huelewi haki ya kikatiba na kiutu ya uhuru wa kujieleza, ama unaielewa na umeanua kwa makusudi kuwaziba watu midomo.

Ni hivi, watu wana uhuru wa kulaumu viongozi. Kwa mantiki au kijinga.

Hiyo ni haki yao ya kikatiba na kiutu.

Usitake kuiminya kwa visingizio vya kuungaunga.
 
Kwani biteko kaanza kuwa na pesa nyingi leo ?
Tatizo si lini kaanza kuwa na pesa nyingi. Bali ni jinsi wanasiasa wanapumbaza wananchi wakae mbali na siasa kwa manufaa ya wachache.
Kifupi, Tanzania siasa inalipa kuliko ajira au biashara
 
Kwanza atwambia cheo alichonacho kipo katika katiba? Kama akipo akiache mara moja maana ataenda kuichoma moto katiba kabisa. Arafu tuna mashaka na watu wa Geita na kahama warundi na wanyarwanda ni wengi sana atupe uhakika wa historia ya wazazi wake.
Itakusaidia nini wewe na familia yako?? Au ukishajua utaletewa kiroba cha unga??
 
Back
Top Bottom