Kama hatulumchangia Lissu hela za kununua gari, kwa nini anaamini tutampa kura aqe Rais wa nchi?

Kama hatulumchangia Lissu hela za kununua gari, kwa nini anaamini tutampa kura aqe Rais wa nchi?

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Mambo mengine ni kufanya tathmini tu ya kawaida, Lissu aliitisha mchango kwa nguvu kubwa sana, lakini alichopata ni cha kununua pikipiki ya SUN-LG.

Anapata wapi nguvu ya kuamini tutampa kura?
 
Mambo mengine ni kufanya tathmini tu ya kawaida, Lissu aliitisha mchango kwa nguvu kubwa sana, lakini alichopata ni cha kununua pikipiki ya SUN-LG.

Anapata wapi nguvu ya kuamini tutampa kura?
Kura is free mchango ni pesa
 
Mambo mengine ni kufanya tathmini tu ya kawaida, Lissu aliitisha mchango kwa nguvu kubwa sana, lakini alichopata ni cha kununua pikipiki ya SUN-LG.

Anapata wapi nguvu ya kuamini tutampa kura?
Senti Moja ni 'nzito' kuliko kura 1 au 10 au hata 100 nk.
 
Unapata shida ukiwa wapi?
Mmekula hamjashiba bado?
Mwacheni mwenzenu nae zamu yake
 
Back
Top Bottom