Ilo swala halipo ivi unajua unachokipigania? Kwwajili ya nani??Hawa wana tabia ya 'kushupaza shingo' kuwa wacha wapige kelele watanyamaza. Tukifika hapo tunafanyaje Watanganyika? Hili ni muhimu kulijadili sasa vile vile.
Mahakama nina wasi wasi nazo kama bado Juma Ibrahim bado yuko ofisini mpaka leo kwa kuvunja katiba wazi wazi!
Wewe una Wajukuu?Ilo swala halipo ivi unajua unachokipigania? Kwwajili ya nani??
Jibu swali acha kuuliza swali wakati ujajibu swaliWewe una Wajukuu?
Na sio ubaya pekee mkuuSuala la kwanza ni elimu kwa umma. Hapo ulipo print nakala kadhaa za mkataba wa bandari, weka pia nukuu za wachambuzi mbalimbali wauzie RAIA wakajisomea. Tunahitaji kila mtu ajue ubaya wa mkataba huu.
Kweli.Hawa wana tabia ya 'kushupaza shingo' kuwa wacha wapige kelele watanyamaza. Tukifika hapo tunafanyaje Watanganyika? Hili ni muhimu kulijadili sasa vile vile.
Mahakama nina wasi wasi nazo kama bado Juma Ibrahim bado yuko ofisini mpaka leo kwa kuvunja katiba wazi wazi!
Huna kazi ya kufanya we mbwa? Au umeshalipwa kazi yako ni kushinda na kukesha humu JF kuleta takataka zako hizi za kizushi? We mbumbumbu hakuna unaloweza kufanya kuzuia mambo makubwa anayoyafanya mama yetu mpendwa. Akili yako yenyewe imeshastafuHawa wana tabia ya 'kushupaza shingo' kuwa wacha wapige kelele watanyamaza. Tukifika hapo tunafanyaje Watanganyika? Hili ni muhimu kulijadili sasa vile vile.
Mahakama nina wasi wasi nazo kama bado Juma Ibrahim bado yuko ofisini mpaka leo kwa kuvunja katiba wazi wazi!
Nchi nzima, mkoa kwa mkoa, wilaya kwa wilaya, kata kwa kata, kijiji kwa kijiji👇👇👇👇👇👇👇👇Hawa wana tabia ya 'kushupaza shingo' kuwa wacha wapige kelele watanyamaza. Tukifika hapo tunafanyaje Watanganyika? Hili ni muhimu kulijadili sasa vile vile.
Mahakama nina wasi wasi nazo kama bado Juma Ibrahim bado yuko ofisini mpaka leo kwa kuvunja katiba wazi wazi!
Utakuwa mkimbizi toka Burundi.Ilo swala halipo ivi unajua unachokipigania? Kwwajili ya nani??
Hilo litabaki jukumu la msomajiNa sio ubaya pekee mkuu
Sawa muhimu nipo tzUtakuwa mkimbizi toka Burundi.
Kwa kuanzia sio mbaya!!Nchi nzima, mkoa kwa mkoa, wilaya kwa wilaya, kata kwa kata, kijiji kwa kijiji[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
Mbwa mama yakoHuna kazi ya kufanya we mbwa? Au umeshalipwa kazi yako ni kushinda na kukesha humu JF kuleta takataka zako hizi za kizushi? We mbumbumbu hakuna unaloweza kufanya kuzuia mambo makubwa anayoyafanya mama yetu mpendwa. Akili yako yenyewe imeshastafu