Fanyeni basi.Hawa tukiwafungia kwa maombi siku 7, kwisha habari yao.
Vita vinhine ni kumshitakia Mungu.
Unamfuta Samia kwenye Siasa za Tanzania.
Kuna wakati nilitamka kuwa...namfuta Ndugai kwenye siasa za Tanzania...hiyo komenti ilidhihakiwa sana.
Yako wapi sasa?
Mnajitisha wenyewe