Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili suala siyo la kukubaliana bali ni utashi binafsiInabidi tukubaliane mapema kabisa ili tujue cha kufanya maana haya mafisadi yanasubiri tukikaa kimya yaendelee kutupiga kama kawaida yao.
Wasiasahau ule.msemo:La bandari limekuja baada kutuona wapuuzi kwa kutokemea la "ugawaji" wa Loliondo na Ngorongoro
Kuwatisha inawezekana, na lengo ni wao kutambua, umma umeamua.Sikubali kutisha. Bali kama tunaamini sisi ndiyo tumewaweka madarakani na labda wao hawaamini kama sisi hatukuwaweka madarakani, basi tutakachofanya ni "kushughulikia" na wanayeamini amewamweka madarakani kiasi ambacho Hata wao wataona "Maji yapo masikioni" hivyo watafanya hima kutambua uwepo wa maslahi ya Taifa Kwa upana Zaidi!
Simpo Andi kilia hakuna haja ya kutishana wote ni watu wazima.
Tupishe.Hili suala siyo la kukubaliana bali ni utashi binafsi
Tufanyaje kama Ufaransa doing by nowStep ya kwanza ni mahakamani, baada ya hapo ikihitajika hatua ya pili itajulikana, muhimu utambue, hakuna kunyamaza mpaka bandari zetu zote Tanganyika zirudi mikononi mwetu.
Ndo hivyo, wewe tafuta wenye fikra zinazofanana na za kwako unganeni mfanye kwa kiwango chenu. Wengine pia wakihamaska, watafanya kwa kiwango chao. Mfano, Soka na wenzake walifanya kwa kiwango chao. Wangesubiri makubaliano ya nchi nzima leo dunia isingekuwa inafahamu msimamo wao.Tupishe.
Kumbe unafahamu yote hayo.gImalamawazo said:Ndo hivyo, wewe tafuta wenye fikra zinazofanana na za kwako unganeni mfanye kwa kiwango chenu. Wengine pia wakihamaska, watafanya kwa kiwango chao. Mfano, Soka na wenzake walifanya kwa kiwango chao. Wangesubiri makubaliano ya nchi nzima leo dunia isingekuwa inafahamu msimamo wao.
Panuke. Wananchi TUKINUKISHE.Hawa wana tabia ya 'kushupaza shingo' kuwa wacha wapige kelele watanyamaza. Tukifika hapo tunafanyaje Watanganyika? Hili ni muhimu kulijadili sasa vile vile.
Mahakama nina wasi wasi nazo kama bado Juma Ibrahim bado yuko ofisini mpaka leo kwa kuvunja katiba wazi wazi!
Wewe mpumbavu tu. Anza kupiga kiberiti hapo kwako uliko. Unangoja nini?HAKUNA suala la Nini kifanyike tuanze na wabunge waliopo jimboni huku piga kiberiti majumba yao na Mali zao wanazopata kupitia wizi, tulimaliza hawa moja kwa moja toa huyo kirembwe hapo ikulu.
HAKUNA sababu ya kutumia busara kwa watu wasiohitaji busara zaidi wanaleta upuuzi kisa watu hawawezi kuchukua hatua... Awamu hatutanii tutachomaa motooo natapeli
Mpumbavu ni wewe ajuza unaeishi kwakujiuza shwain.... Tutachomaaa Moto mbwa nyieWewe mpumbavu tu. Anza kupiga kiberiti hapo kwako uliko. Unangoja nini?