Kama haujawahi kunywa energy drinks Hongera na Jiepushe nazo. Kama umezoea kuzitumia Tafadhali weka mpango wa kupunguza na kuacha

Mkuu kwanza kabisa naomba nikueleweshe kuwa, kwa sasa hakuna kinywaji kinaitwa mo energy. Kuna kinywaji kinaitwa mo xtra tu. Na mo xtra siyo energy drink, ni soft drink ya kawaida ila inaladha ya energy. Nikama vile ilivyo Baritika ni kinywaji chenye ladha ya bia ila hakileweshi. Kama huamini chukua chupa ya mo xtra soma maelekezo yake ukikuta kunasehem umeandikiwa usinywe zaidi ya mbili au mama anaenyonyesha haruhusiwi kutumia niite D.O.G
 
Acha ubishi usiokuwa na kichwa wala miguu mzee mo energy wakati zinatoka ziliandikwa kwa maandishi kabisa mekundu kuwa

Haruhusiwi kunywa mja mzito
Mtu mwenye matatizo na caffein
Mtu anayenyonyesha
usimwe zaid ya mbili
Na usinywe wakati wa kulala
Then baadae mo wakatoa hayo maelezo kwenye chupa zao.

Na moja ya madhara ya moja kwa moja ni kukosa kabisa usingizi kama unasafiri na gari usiku kunywa hutalala ngo na kama utakunywa then ulale basi hutopata usingizi na hata ukipata usingizi unaweza kufa kwa shinikizo la damu

 
Mkuu mo energy haipo sokoni, kilichopo sokoni ni mo xtra mbona jambo liko wazi kaka au kusoma hujui? Azam energy ni energy drink ila mo xtra ni caborneted soft drink. Kabla hujanywa chochote weka utaratibu wa kusoma kwanza maandishi yaliyoandikwa kwenye kinywaji ya namaana si mapambo Yale.
 
Madereva wa masafa marefu huwaambii kitu kuhusu energy drinks unakuta ana vikopo viwili/vitatu!

Mi hivyo vinywaji vilinishinda mwanzoni tu vilipotoka

Nina jamaa yangu kila siku lazima atwange mbili mbaya zaidi kawazoesha na watoto wake hiyo kitu!
 
Ile energy halisi kabisa m mwenyewe nakumbuka hayo maneno yalikuwepo pia
 
Nakunywa napojisikia at least chupa mbili kwa mwezi! sijapata uraibu wowte mpka sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…