The unpaid Seller
JF-Expert Member
- Oct 27, 2019
- 2,113
- 6,251
- Thread starter
-
- #21
ilikuaje mkuu, share nasi uzoefu wako, unaweza kumsaidia kijana fulani atakaesoma ushuhuda wakoPlease, please, please, please acheni kutumia energy ni hatari. Mimi chupuchupu initoe roho
Wee..!! Nitalifanyia kazi hili haraka Sana.Msisitize kijana wako energy ni kinywaji hatari mno. Mimi chupuchupu kinitoe roho
Si tulikubaliana humu, tusipangiane maisha.. kila mmoja ashnde mech zake..UONGO MI NAKUNYWA ENERGY ZA KUTOSHA NA SIUMWI WALA KUPATA SHIDA
hongera mkuuKinywaji pekee nipendacho ni maji na juisi ya asili (ya kutengeneza na matunda og)
Nina miaka kadhaa sinywi soda wala kinywaji chochote cha kiwandani
Shukran sanahongera mkuu
Mkuu kwanza kabisa naomba nikueleweshe kuwa, kwa sasa hakuna kinywaji kinaitwa mo energy. Kuna kinywaji kinaitwa mo xtra tu. Na mo xtra siyo energy drink, ni soft drink ya kawaida ila inaladha ya energy. Nikama vile ilivyo Baritika ni kinywaji chenye ladha ya bia ila hakileweshi. Kama huamini chukua chupa ya mo xtra soma maelekezo yake ukikuta kunasehem umeandikiwa usinywe zaidi ya mbili au mama anaenyonyesha haruhusiwi kutumia niite D.O.GPeace,
Awali ya yote niweke wazi andiko langu halina kusudi la kuhafifisha au kuathiri biashara ya mtu yeyote ila ni ushuhada wa kweli na dhairi wa watu wanaonizunguka.
Nimekua nikisikia na kuona vijana wengi wakipendelea vinywaji vya kusisimua mwili alimaarufu "energy drinks" ziko za aina mbali mbali na bei tofauti. Vijana kama boda boda, wanafunzi na vibarua wa kazi za mikono wamekua watumiaji sana wa vinywaji hivi.
Nilipata kusikia na kwa sasa nimeshuhudia kua vinywaji hivi vina uraibu mkali sana na pia athari za moja kwa moja kwa watumiaji wa mara kwa mara. Nina mifano mingi ila nitataja michache kwa lengo la kujenga hoja na kujifunza kwa pamoja.
Kuna vijana kwenye maegesho ya boda boda nimekua nawasikia kua ili siku iende sawa lazima wanywe energy wengine wamekua hata na utaratibu wa kununua za ziada na kuifadhi ili anapoamka tu cha kwanza ni kunywa energy ndio hujiisi utayari wa kuanza kazi.
Mwezi uliopita nilikua na project ya ujenzi nikawa napita kutazama mradi unakwendaje kulinganisha na report ya msimamizi wa mradi ajabu pale site palikua na makopo ya mo-energy na azam energy mengi sana wala sikujali ila cha kushangaza kuna siku nilikuta wamepiga kazi kwa makisio ya kua mbele ya estimated target kwa zaidi ya kama 25% nilifurahi sana nikaamua kuwalipia bili zao za chakula kwa siku tatu.
Mshangao ulikua wangu waliponisihi sana sana niwaongezee bajeti kucover pia "energy" nilipohoji kulikoni msisitizo ule wakajibu "yani hata chakula hakina maana kama hakuna energy" looo !! Nikasema sawa nitaongeza bajeti ya kinywaji hicho kwa kila mmoja aise shangwe walilopiga ni kubwa mara dufu ya nilipowapatia ahadi ya kulipia chakula. Vijana wako adicted mbaya.
Kuna classmate wangu kwa sasa ni muajiriwa shirika fulani la uma kama afisa manunuzi anakiri bila kunywa energy drink anajihisi kupoteza umakini na uwezo wa kuconcetrate mpaka apate vinywaji hivi.
Sasa hivi karibuni amekua analalamika kuhisi kutetemeka hasa kipindi cha usiku na kifua kuuma na kuhisi moyo kwenda mbio sana hasa anapopata wasiwasi wa jambo hata dogo tu na kuhisi kizunguzungu mda wa jua kali akanishirikisha basi nikajaribu kubrowse mtandaoni ya kwamba nini hasa kinaweza kupelekea matatizo haya ajabu ajabu kote majibu yanahusishwa na matumizi ya kupindukia ya energy drinks.
Nikamshirikisha jamaa akasema pia yeye alikua anahisi watatizo hayo yanahusiana na vinywaji ya kusisimua mwili kwa kua matatizo yote hayo yanapomkuta na basi akapata fursa na akipiga energy mbili chap chap anakua fresh kabisa aise jamani tujihadhari.
Nikaona nifanye ufuatiliaji wa jambo hili nikawafuata boda boda nikawauliza kama kuna nyakati wanajihisi kutetemeka mikono, au kuhisi moyo kwenda mbio au kuhisi kupoteza umakini au kifua kuuma na kizunguzungu.
Kwa mshangao wakasema yote hayo yanawakuta kwa nyakati tofauti ila wakanishangaza kwa mara nyingine kwa kuniambia yote hayo yanapowakuta hununua energy ya baridiiii na kunywa na shida zote na mashwahibu hayo hupotea kwa sekunde chache tu.
Ikumbukwe vinywaji hivi havina hata muda wa miaka 10 sokoni lakini madhari yake yameanza kushuhudiwa punde tu mtumiaji anapotumia je matumizi ya muda mrefu yatakua na madhara kiasi gani ?!
Mimi sio daktari wala sina ujuzi wowote wa kitabibu lakini naona viashiria dhahiri vya madhara ya vinywaji hivi. Niliwahi kuona clip fupi ya Mo Dewji akisema hajawahi kuonja ladha ya vinywaji vyake, (jambo fikirishi sana)
Karibuni tujadili nini uzoefu wako katika matumizi ya vinywaji hivi ?
View attachment 2906241
Kwisha habari yake,ni suala la muda tuAiseee...
Wataalam waje, watuambie kuna chemical gani ijayo wafanya wawe addicted!!
Mimi kijana wangu wa kazi anakunywa mpaka 4 hizi Kwa siku. Tumejitajid kumzuia imeshindikana
Mkuu kwanza kabisa naomba nikueleweshe kuwa, kwa sasa hakuna kinywaji kinaitwa mo energy. Kuna kinywaji kinaitwa mo xtra tu. Na mo xtra siyo energy drink, ni soft drink ya kawaida ila inaladha ya energy. Nikama vile ilivyo Baritika ni kinywaji chenye ladha ya bia ila hakileweshi. Kama huamini chukua chupa ya mo xtra soma maelekezo yake ukikuta kunasehem umeandikiwa usinywe zaidi ya mbili au mama anaenyonyesha haruhusiwi kutumia niite D.O.G
Mkuu mo energy haipo sokoni, kilichopo sokoni ni mo xtra mbona jambo liko wazi kaka au kusoma hujui? Azam energy ni energy drink ila mo xtra ni caborneted soft drink. Kabla hujanywa chochote weka utaratibu wa kusoma kwanza maandishi yaliyoandikwa kwenye kinywaji ya namaana si mapambo Yale.Acha ubishi usiokuwa na kichwa wala miguu mzee mo energy wakati zinatoka ziliandikwa kwa maandishi kabisa mekundu kuwa
Haruhusiwi kunywa mja mzito
Mtu mwenye matatizo na caffein
Mtu anayenyonyesha
usimwe zaid ya mbili
Na usinywe wakati wa kulala
Then baadae mo wakatoa hayo maelezo kwenye chupa zao.
Na moja ya madhara ya moja kwa moja ni kukosa kabisa usingizi kama unasafiri na gari usiku kunywa hutalala ngo na kama utakunywa then ulale basi hutopata usingizi na hata ukipata usingizi unaweza kufa kwa shinikizo la damu
DoooKwisha habari yake,ni suala la muda tu
Mo extra sio energy drink?Umenena vyema ila ulichokosea ni hiyo 'attachment' yako...iko kinywaji cha pembeni kulia sio Energy Drink.
Ile energy halisi kabisa m mwenyewe nakumbuka hayo maneno yalikuwepo piaAcha ubishi usiokuwa na kichwa wala miguu mzee mo energy wakati zinatoka ziliandikwa kwa maandishi kabisa mekundu kuwa
Haruhusiwi kunywa mja mzito
Mtu mwenye matatizo na caffein
Mtu anayenyonyesha
usimwe zaid ya mbili
Na usinywe wakati wa kulala
Then baadae mo wakatoa hayo maelezo kwenye chupa zao.
Na moja ya madhara ya moja kwa moja ni kukosa kabisa usingizi kama unasafiri na gari usiku kunywa hutalala ngo na kama utakunywa then ulale basi hutopata usingizi na hata ukipata usingizi unaweza kufa kwa shinikizo la damu
Nakunywa napojisikia at least chupa mbili kwa mwezi! sijapata uraibu wowte mpka sasaPeace,
Awali ya yote niweke wazi andiko langu halina kusudi la kuhafifisha au kuathiri biashara ya mtu yeyote ila ni ushuhada wa kweli na dhairi wa watu wanaonizunguka.
Nimekua nikisikia na kuona vijana wengi wakipendelea vinywaji vya kusisimua mwili alimaarufu "energy drinks" ziko za aina mbali mbali na bei tofauti. Vijana kama boda boda, wanafunzi na vibarua wa kazi za mikono wamekua watumiaji sana wa vinywaji hivi.
Nilipata kusikia na kwa sasa nimeshuhudia kua vinywaji hivi vina uraibu mkali sana na pia athari za moja kwa moja kwa watumiaji wa mara kwa mara. Nina mifano mingi ila nitataja michache kwa lengo la kujenga hoja na kujifunza kwa pamoja.
Kuna vijana kwenye maegesho ya boda boda nimekua nawasikia kua ili siku iende sawa lazima wanywe energy wengine wamekua hata na utaratibu wa kununua za ziada na kuifadhi ili anapoamka tu cha kwanza ni kunywa energy ndio hujiisi utayari wa kuanza kazi.
Mwezi uliopita nilikua na project ya ujenzi nikawa napita kutazama mradi unakwendaje kulinganisha na report ya msimamizi wa mradi ajabu pale site palikua na makopo ya mo-energy na azam energy mengi sana wala sikujali ila cha kushangaza kuna siku nilikuta wamepiga kazi kwa makisio ya kua mbele ya estimated target kwa zaidi ya kama 25% nilifurahi sana nikaamua kuwalipia bili zao za chakula kwa siku tatu.
Mshangao ulikua wangu waliponisihi sana sana niwaongezee bajeti kucover pia "energy" nilipohoji kulikoni msisitizo ule wakajibu "yani hata chakula hakina maana kama hakuna energy" looo !! Nikasema sawa nitaongeza bajeti ya kinywaji hicho kwa kila mmoja aise shangwe walilopiga ni kubwa mara dufu ya nilipowapatia ahadi ya kulipia chakula. Vijana wako adicted mbaya.
Kuna classmate wangu kwa sasa ni muajiriwa shirika fulani la uma kama afisa manunuzi anakiri bila kunywa energy drink anajihisi kupoteza umakini na uwezo wa kuconcetrate mpaka apate vinywaji hivi.
Sasa hivi karibuni amekua analalamika kuhisi kutetemeka hasa kipindi cha usiku na kifua kuuma na kuhisi moyo kwenda mbio sana hasa anapopata wasiwasi wa jambo hata dogo tu na kuhisi kizunguzungu mda wa jua kali akanishirikisha basi nikajaribu kubrowse mtandaoni ya kwamba nini hasa kinaweza kupelekea matatizo haya ajabu ajabu kote majibu yanahusishwa na matumizi ya kupindukia ya energy drinks.
Nikamshirikisha jamaa akasema pia yeye alikua anahisi watatizo hayo yanahusiana na vinywaji ya kusisimua mwili kwa kua matatizo yote hayo yanapomkuta na basi akapata fursa na akipiga energy mbili chap chap anakua fresh kabisa aise jamani tujihadhari.
Nikaona nifanye ufuatiliaji wa jambo hili nikawafuata boda boda nikawauliza kama kuna nyakati wanajihisi kutetemeka mikono, au kuhisi moyo kwenda mbio au kuhisi kupoteza umakini au kifua kuuma na kizunguzungu.
Kwa mshangao wakasema yote hayo yanawakuta kwa nyakati tofauti ila wakanishangaza kwa mara nyingine kwa kuniambia yote hayo yanapowakuta hununua energy ya baridiiii na kunywa na shida zote na mashwahibu hayo hupotea kwa sekunde chache tu.
Ikumbukwe vinywaji hivi havina hata muda wa miaka 10 sokoni lakini madhari yake yameanza kushuhudiwa punde tu mtumiaji anapotumia je matumizi ya muda mrefu yatakua na madhara kiasi gani ?!
Mimi sio daktari wala sina ujuzi wowote wa kitabibu lakini naona viashiria dhahiri vya madhara ya vinywaji hivi. Niliwahi kuona clip fupi ya Mo Dewji akisema hajawahi kuonja ladha ya vinywaji vyake, (jambo fikirishi sana)
Karibuni tujadili nini uzoefu wako katika matumizi ya vinywaji hivi ?
View attachment 2906241
Yalikuwepo afu yakaenda wapi????????Ile energy halisi kabisa m mwenyewe nakumbuka hayo maneno yalikuwepo pia