Kama hauko katika hizi listi fanya uwepo mwanaJF

category hovy kabisa, ungeweka na wakongwe tulionzia Jambo forums, mimi jamii niko toka mwaka 2009
Likes zinakuangusha mkuu 270+ kaza buti safar baado
 
Du aya ngoja na Mimi nikazane
ila tatizo muda pia.
 
sasa ww mtoa mada unawapalia mkaa hao, unataka nao wapotee kama 8 oclock?
 
Ndugu salaniatz naona jitihada zako katika kuwa kwenye hiyo list. Like na yangu basi ili usiniache mbali sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…