rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 16,784
- 23,312
Wamchukue sasa hivi uwezo wa utopolo ni kuchukua wachezaji ambao hata first eleven Simba hawapo ila hawana ubavu wa kuchukua wachezaji wa kikosi cha kwanzaTunajua kuwa wameshampa Mkude mkataba wa awali, hawa wazee wa viporo vilivyochacha
Huko VPL utopolo fc mnaendeleleaje?Acha kumtukuza kule kumfunga mwarabu basi gharama yake b10 hivi wewe umeenda shule kuna mchezaji wa simba anayezidi m500 mchezaji wa maana hawezi kubaki simba vilabu vikubwa vingemchukua mara moja
samata amepotea? we waajabu kweliAangalie asipotee kama Samata
We unaongelea kupotea wakati wenzako wanaagalia maslahi binafsi na exposureAangalie asipotee kama Samata
Vilabu gani vikubwa unavyozungumzia?Acha kumtukuza kule kumfunga mwarabu basi gharama yake b10 hivi wewe umeenda shule kuna mchezaji wa simba anayezidi m500 mchezaji wa maana hawezi kubaki simba vilabu vikubwa vingemchukua mara moja
Hakuna blah blah !
Huo ndio ukweli, na tujue hilo na wanaomnyatia nyatia, kama hauna Bilioni 10 za Kitanzania basi usihangaike hata kumhitaji Miquisson.
Tena hio Bilioni 10 ni TUNAKUFIKIRIA au tunafikiria OFA yako. Hivyo kuna uwezekano tukaikataa!
This is SIMBA.......
Ata ivyo asingekubali kwenda Uto.
Yatamkuta kama ya Senzo.
Senzo kaacha u-C.E.O kwenye timu yenye mafanikio Africa kaenda kuwa mshauri kwenye timu ya mazezeta.
[emoji23][emoji23][emoji23] mazezeta gani tenaAta ivyo asingekubali kwenda Uto.
Yatamkuta kama ya Senzo.
Senzo kaacha u-C.E.O kwenye timu yenye mafanikio Africa kaenda kuwa mshauri kwenye timu ya mazezeta.
Wale wa kususa.[emoji23][emoji23][emoji23] mazezeta gani tena
[emoji196]
Senzo ameshawaambieni Yanga msijisumbue,Louis ana miaka mitatu na nusu simbaHuyu mmenunua ama mmepewa mkopo na mamelodi via ud songo
Weka namba yako ya MPESA nikutumie hata hela ya Bia ukajipoze na STRESS ulizonazo hizo.Mbumbumbu/Bodaboda/Mikia mna matatizo gani Senzo aliondoka kwenu mbona mnazidi kumwandama wewe unajudai una hela wakati klabu haina hata m50 rejea ripoti ya simba pesa yote ya mhindi hata uwanja hamna ule ni wa mo halafu matusi ya nini kumbe Senzo mnamwogopa Senzo poleni sasa
Punguza stress!Acha kumtukuza kule kumfunga mwarabu basi gharama yake b10 hivi wewe umeenda shule kuna mchezaji wa simba anayezidi m500 mchezaji wa maana hawezi kubaki simba vilabu vikubwa vingemchukua mara moja