Kama hauna Elimu usije ukathubu kujiingiza katika siasa utapoteza muda wako bure

Kama hauna Elimu usije ukathubu kujiingiza katika siasa utapoteza muda wako bure

DR HAYA LAND

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2017
Posts
23,928
Reaction score
63,499
Kama hauna Elimu kaa mbali na kitu kinaitwa siasa hautoelewa unapigania nini

Siasa inahitaji Elimu ukitaka kuifaidi hapa nazungumzia Elimu Kuanzia Degree na Masters au Angalau hata PHD

Mimi mjomba wangu ni Darasa la saba yupo Uvccm mwaka wa 10 kama katibu wa vijana huu lakini Mambo yake Ni 0-0

Kama angekuwa na Elimu huyu uncle wangu angekuwa mbali Sana sio yeye tu hata huko upinzani kama hauna Elimu unabidi kuwa mtazamaji ili usipoteze Muda wako bure.

Kazi nyingi za Serikali zinapitia uvccm lakini Kama hauna Elimu huwezi kupewa .

Mimi nafahamu Mambo Mengi kuhusu uchawa na kujipendekeza vyote hivi utafanikiwa Kama una Elimu .
 
Ukiwa na pesa za kutosha halafu mwanasiasa mpaka vyuo vinataka kukupa degree za heshima kisa umepiga chafya kwa namna fulani hivi ya kipekee
 
Kwenye siasa za kibongo bongo cha muhimu ni cobbection, uchawi ama pesa. Elimu haina nafasi kbs. Cc mbunge msukuma na babu tale.
 
Kama huna hela na una elimu na hakuna anayekujua ingia siasa uone. Utalia
 
Back
Top Bottom