Kama hauwezi kulipia VPN Tumia TOR circuit bure kama mbadala

Kama hauwezi kulipia VPN Tumia TOR circuit bure kama mbadala

mie inagoma au nakosea username na passwd?

Pitia tena hizo field ulizojaza kama ziko sawa.Halafu kwenye server address badilisha kwa kuweka moja kati ya IP address zifuatazo


219.100.37.195

or

219.100.37.200

or

219.100.37.156
Hakikisha mobile Data iko ON na una bundle wakati una~connect
 
Pitia tena hizo field ulizojaza kama ziko sawa.Halafu kwenye server address badilisha kwa kuweka moja kati ya IP address zifuatazo


219.100.37.195

or

219.100.37.200

or

219.100.37.156
Hakikisha mobile Data iko ON na una bundle wakati una~connect
hizo IP adress nimeweka zote inaandika unsuccessful

kwenye username hapo juu umeandika "write vpn" je hili neno lote ndo username kama lilivyo kwenye mabano au ulimaanisha vpn alone na kwenye password pia
data zote zipo on lakin mtandao uko very slow kuna vpn niliinstall ila nataka niamie kwenye built in vpn

samahan sana kwa usumbufu
 
hizo IP adress nimeweka zote inaandika unsuccessful

kwenye username hapo juu umeandika "write vpn" je hili neno lote ndo username kama lilivyo kwenye mabano au ulimaanisha vpn alone na kwenye password pia
data zote zipo on lakin mtandao uko very slow kuna vpn niliinstall ila nataka niamie kwenye built in vpn

samahan sana kwa usumbufu

Unaweza futa hiyo VPN Profile uliyojaza ukaanza upya.Andika "vpn" pekee kwenye username na password field.Fata ule mtiririko vizuri.Pia kwa Android phones wakati una~configure VPN kuna sehemu imeandikwa "show advanced options " ambapo kuna blank fields mbili za kujaza,hakikisha umezijaza kama nilivyoelekeza pale juu
 
Hello bosses

Kwa hali ya sasa kumekua na wimbi la watu kukimbilia VPN ili kuaccess internet kwa wanaopata shida ya internet breakdown. Kutumia VPN kuna madhara yake ukiachana na slow speed kwa baadhi ya VPN providers.

Madhara makubwa ya kutumia VPN ni kwamba VPN provider wako anaweza kuona kila data zako unazotuma na kupokea hivyo akitaka kujua umesurf nini ni rahisi kwake kufanya hivyo. Kwa wanaotumia apps au websites ambazo hazifanyi end to end encryption au hazina ssl wako kwenye hatari zaidi ya kuingiliwa kwenye mawasiliano yao, kuibiwa passwords etc......

Kwenye dark web kuna hackers huwa wanatoa password dumps zinazokuwa zimebeba passwords zinazotumika mara kwa mara na moja ya chanzo cha hizo data huwa ni passwords zinazotumwa kwenye websites ambazo hazina ssl (requests & data sent or received to/from the server are not encrypted) pamoja na data kutoka kwenye VPN(hasa free VPNs).

Pia VPN providers wana uwezo wa kuuza data zako bila wewe kujua.

Suluhisho la hii ni kutumia TOR circuit. Sitoelezea kiundani sana ufanyaji kazi wa tor circuit lakini kiufupi ni kwamba request yako inapitishwa kwenye nodes mbalimbali kabla ya kutoka na kuingia kwenye exit node yako. Hii ni tofauti na VPN za kawaida kwa sababu kwnye VPN unakua umepewa Server moja ifanye kazi kama intermediary wako, so ni kama vile unaiambia server ikutafutie kitu fln au i-fanye login sehemu fln etc..... Kwa TOR circuit request yako haitofuata route moja bali requests tofauti zinaweza kufuata routes tofauti ila zikawa na exit node moja ambayo ndio inakulink ww na TOR circuit, hii inaondoa uwezekano wa requests zako kuwa logged sehemu moja kama ilivyo kwa VPN

UNAJIUNGAJE NA TOR CIRCUIT.?
Kwa wenye smartphone kuna app inaitwa ORBOT Tor, na pia nadhan kuna windows version yake. Download kisha weka kwenye kifaa chako na itakuuliza ku-enable 'Built in VPN', iruhusu kisha utachagua apps zipi zitumie TOR circuit. ORBOT TOR ni rahisi kutumia na inajieleza.

Kwa wanaotumia parrot OS kujiunga na TOR circuit ni kitendo cha 'one-click; tu. Fungua menu kisha chagua 'Anon-surf' then 'Start Anon-surf'

NOTE:
WATU WENGI HUHUSISHA TOR NA DARK WEB LAKINI TOR CIRCUIT INAWEZA PIA KUKUSAIDIA KU-BROWSE INTERNET ANONYMOUSLY NA KUEPUKA USUMBUFU WA KUTOINGIA KWENYE APPS AU WEBSITES AMBAZO ZIMEZIMWA KWENYE ENEO ULIPO. SO TOR CIRCUIT HAITUMIKI KWA DARK WEB TU LAKINI NI ALTERNATIVE NZURI YA VPN

Happy Surfing!
~Kali Linux
Provider wako akitaka jua umesurf nini..

Hivi ni mtu mmoja anatumia inamaana unataka sema huyo provider wako anakuwa na kazi ya kuchunguza ma elf ya watu?

Kusema wanauza data zako bila kujua means what unataka wakushirikishe....?; Hata usipotumia hiyo data zako always zinauzwa...na kama unatumia simu kawaida unaingia fb,wasap, insta, txt zakawaida , piga na kupokea ni kipi unaogopa kinauzwa? Hio ina ku affect aje?
 
Provider wako akitaka jua umesurf nini..

Hivi ni mtu mmoja anatumia inamaana unataka sema huyo provider wako anakuwa na kazi ya kuchunguza ma elf ya watu?

Kusema wanauza data zako bila kujua means what unataka wakushirikishe....?; Hata usipotumia hiyo data zako always zinauzwa...na kama unatumia simu kawaida unaingia fb,wasap, insta, txt zakawaida , piga na kupokea ni kipi unaogopa kinauzwa? Hio ina ku affect aje?
1)Provider hana muda wa kukaa na kuchunguza data zako bali kuna systems wanazo zenye trained models zinazojua information ipi inahitajika, na hapo juu nimetoa mfano wa passwords. So kazi ya hizo systems ni kufilter na kujua kipi kinahitajika. Note sio wote wanafanya hivyo.

2)Sishangai kuona hau-feel concerned khs data zako kuuzwa coz nadhan hata privacy policy ya jf haujasoma. Mfano kipindi faceApp imeingia watu wengi bila kujali privacy zao wakaitumia lkn privacy policy ya faceapp ilikua inasema "uki-upload picha yako humo inakua sio mali yako tena bali wanaweza kuitumia wanavyotaka"
So kama haujali khs privacy yako ndipo hautoona umuhimu wa wewe kuhusishwa endapo data zako zitauzwa.
Na sio kweli kwamba data always zinauzwa, mitandao ilio halali inakuuliza kwanza na kama haujawahi kuulizwa basi soma privacy policy kwanza

Note: mamilioni ya emails zinazokua exposed kwenye porn sites na sites nyingine za ovyoovyo zinatumiwa sana kwenye kusambaziwa scamming emails. Ili kuamini hilo kama ulishawahi kuweka email yako kwenye sites za ovyoovyo basi scam box ya email yako utakuta imejaa scam emails. Pia password dictionaries wanazotumia hackers kufanya brute-force zinatokana na passwords zinazotumwa kupitia unsecure connections au untrusted VPNs

3)Umesema kama unatumia kuwasiliana na unaogopaje data zako kuuzwa? Hii inategemea na role yako kwenye jamii na content ya mawasiliano yako
 
Hivi naweza kulipia data za VPN na nisinunue data za hizi kampuni za simu?

Mfano, VPN nayotumia imenipa GB 20 bure, nimetumia zimebakia 7, wamasema nilipie 20k unlimited mwezi mzima.

Je nikinunua hiyo unlimited sihitaji kununua za mtandao naotumia?

Kuna vitu vinanichanganya wataalamu mnipe msaada wa maelezo.

Ahsante.
[emoji28] [emoji28] [emoji28]
 
Mda wa kutumia vpn unaisha leo maana mkuru ameisha apishwa

kwa nini wafungulie mitandao akiapishwa?

yeye alisema mitandao ya kijamii ni karaha na hatari kwa nchi, na angekuwa na uwezo angeifunga

wametuonyesha wana uwezo wa kuifunga, basi waifunge mazima

au wanaongea tu wasivyomaanisha?
 
1)Go to Settings>>Wireless and Network and wireless>VPN and then Tap add VPN profile
2)New VPN profile will appear with the following blank fields
a)Name field "Put vpn"
b)Type "Select L2TP/IPSecPSK
c)Server adress "write 219.100.37.144 "
d)IP Sec pre-shared key "write VPN"
e)Fowarding routes "write 0.0.0.0/0
3)Connect to VPN will appear with the following empty fields
a)Username "write vpn"
b)Password "Put vpn"

Then you will connect to new vpn profile where a [emoji1006] symbol will appear on top of your phone window after succesfully connecting to VPN
Hiyo step e) ya forwarding route ndio kwangu siipati

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1)Go to Settings>>Wireless and Network and wireless>VPN and then Tap add VPN profile
2)New VPN profile will appear with the following blank fields
a)Name field "Put vpn"
b)Type "Select L2TP/IPSecPSK
c)Server adress "write 219.100.37.144 "
d)IP Sec pre-shared key "write VPN"
e)Fowarding routes "write 0.0.0.0/0
3)Connect to VPN will appear with the following empty fields
a)Username "write vpn"
b)Password "Put vpn"

Then you will connect to new vpn profile where a [emoji1006] symbol will appear on top of your phone window after succesfully connecting to VPN
Kwangu baada ya server address kuna field L2TP secret, halafu IPsec identifier nijaze nn kwenye hizo field??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1)Go to Settings>>Wireless and Network and wireless>VPN and then Tap add VPN profile
2)New VPN profile will appear with the following blank fields
a)Name field "Put vpn"
b)Type "Select L2TP/IPSecPSK
c)Server adress "write 219.100.37.144 "
d)IP Sec pre-shared key "write VPN"
e)Fowarding routes "write 0.0.0.0/0
3)Connect to VPN will appear with the following empty fields
a)Username "write vpn"
b)Password "Put vpn"

Then you will connect to new vpn profile where a [emoji1006] symbol will appear on top of your phone window after succesfully connecting to VPN
Thanks Mkuu
 
1)Go to Settings>>Wireless and Network and wireless>VPN and then Tap add VPN profile
2)New VPN profile will appear with the following blank fields
a)Name field "Put vpn"
b)Type "Select L2TP/IPSecPSK
c)Server adress "write 219.100.37.144 "
d)IP Sec pre-shared key "write VPN"
e)Fowarding routes "write 0.0.0.0/0
3)Connect to VPN will appear with the following empty fields
a)Username "write vpn"
b)Password "Put vpn"

Then you will connect to new vpn profile where a [emoji1006] symbol will appear on top of your phone window after succesfully connecting to VPN
samahani... hiyo server address ni ya wapi...?? sijui kama nimepatia kuuliza swali
 
Back
Top Bottom