Kama hawa wangetengeneza couple hapa JF, zingenoga sana

Duh wote ninaowapenda umewapa watu wengine. Sio poa mshkaj
 
Sakaya naona umedondokewa[emoji1][emoji1][emoji1]
Yeah, ya nini kuumia moyo ilihali muhusika yupo, bora kujilipua tu potelea mbali, kama ukipigwa chini sawa tu, lakini umejaribu. halafu wewe na@Khantwe tutakosana, mmekomaa Sakaya, Sakaya wakati mleta mada alikosea tu, mnaniharibia jina la mchumba wangu( ooh sorry, kumbe bado hajanikubalia kiuhakika)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…