@Ukhuty ukuje huku dada akeeHuyu ukhuty binti nimekolea kwake
Tungetengeneza a very nice kapo.Umeonaee
Sakayo usilale kwanza....Na mie nalala
Usiku mwema dada Yesu akulindeNa mie nalala
Kwa nini nikubali kupangwa na jiwe?, mi namtaka Sakayo.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan hata ungepangwa na jiwe ungekubali
Watakutakaje, wakati kaka Jambazi, majina yenu hayo mnayojipa yatawakosesha wachumba, mi nakaribia kupata mchumba, ngoja nikomae kidogo.Duu! Hakuna mdada wa kunitaka!
Sakaya naona umedondokewa[emoji1][emoji1][emoji1]Mmmh
Safi mkuu, nisaidie kuniitia..Dada Sakayo ukujee unaitwa
Yeah, ya nini kuumia moyo ilihali muhusika yupo, bora kujilipua tu potelea mbali, kama ukipigwa chini sawa tu, lakini umejaribu. halafu wewe na@Khantwe tutakosana, mmekomaa Sakaya, Sakaya wakati mleta mada alikosea tu, mnaniharibia jina la mchumba wangu( ooh sorry, kumbe bado hajanikubalia kiuhakika)Sakaya naona umedondokewa[emoji1][emoji1][emoji1]
Hebu jaribu kumuweka namimi tuone sijui itanogaAhahhahah
Ujue najiuliza kafikiliaje yaan kukuweka nae
AiseeHuyu ukhuty binti nimekolea kwake
Hiyo kufurahi veepeAmeamua tu kupumzika kwenye social network hajapatwa na chochote ila me nimefurahi teh teh
TehTungetengeneza a very nice kapo.
HeeSakayo usilale kwanza....
Dada huyu inatakiwa akuite wifiAisee