Jumla kambi ina wachezaji 53 na wanatakiwa 27 kwa ajili ya AFCON, hivyo makocha ni lazima wawachuje ili wapate wale tu wenye kufaa kwa ajili ya safari ya Ivory Coast. Ile mechi ni sehemu ya mchakato wa mchujo wa kupata wachezaji bora 27.Miano Danilo! Player of the match......Upande wa kulipa upo Salama. Hili ndio la msingi. Pep Guadiola mnene angewaacha wale ma -pro wamalize dakika arobaini labda tungepata kitu walishaanza kuchangamka na kujitafuta. Wakaingizwa pira papatu papatu wasofundishika
Zanzibar Ukiifuta ccm badi itakuwa kama Dubai.Tanganyika ni kubwa mara elfu kwao, lakini pale Amani leo tumekwama.
Je, hawa jamaa wakiwa na uhuru wa kiuchumi, kisiasa na kijamii tutawakamata kweli?
Nadhani ndio maana tunaogopa kuwaachia waende, watatutawala kama walivyotawala Dsm kibiashara.
Ngoja tupate Tanganyika yetu, tutahakikisha tunawatoa wote na ikibidi eneo lote la pwani pamoja na watu wake wachukue ili watuondoshee jamu huku baadae tunajenga ukuta ili kujitenga nao!Wazanzibar wapo wengi sn, sema wamejibana huku bara kwa wajinga, nadhani wapo zaidi ya milioni 4
Wanaokwamisha maendelea ya Zanzibar ni watu wa Bara.Tanganyika ni kubwa mara elfu kwao, lakini pale Amani leo tumekwama.
Je, hawa jamaa wakiwa na uhuru wa kiuchumi, kisiasa na kijamii tutawakamata kweli?
Nadhani ndio maana tunaogopa kuwaachia waende, watatutawala kama walivyotawala Dsm kibiashara.
Usijitoe ufahamu, Zanzibar Wana vipaji vya Mpira kuliko BaraUnamaanisha Kilimanjaro stars ilikuwa ni wachezaji milioni 60 na Zanzibar heroes ilikuwa na wachezaji milioni 2??
Pointi yako haina mashiko
Ulitakiwa uandike kama mtu wa mpira kwa kuangalia nature ya game, umuhimu wa game, ufundi wa wachezaji, plan za timu nk
In short,
Wingi haujawahi kuwa hoja
Hata hivyo, Mapinduzi cup kwa ujumla wake haichukuliwi serious na wachezaji wa Tanganyika
Timu ya Taifa ya Nigeria ingechukua AFCON cups zote.Kwa hesabu hizi, basi timu ya Taifa ya mpira wa miguu ya USA isingekuwa inafungwa.
Ova
Kumbuka Dar ilikua sehemu ya zanzibar. Labda ndio uamuzi wa kuhamisha makao kwenda dodoma ili warudishiwe jiji lao na pwani yote toka tanga mpaka mtwara