Saguda47
JF-Expert Member
- May 1, 2016
- 11,258
- 20,386
Mleta mada achana na akili za unyonge na ubaguzi usio na maana.
Mechi ya jana lilikuwa bonanza tu na siyo mechi ya kimaamuzi. Zanzibar Haina uwezo wa kushindana na Bara kwa Sasa wakiamua kuweka vikosi vya kwanza na kuamua kushindana.
Jana yalikuwa majaribio ya wachezaji na mifumo ya walimu wa mpira. Usichukulie too serious.
Mechi ya jana lilikuwa bonanza tu na siyo mechi ya kimaamuzi. Zanzibar Haina uwezo wa kushindana na Bara kwa Sasa wakiamua kuweka vikosi vya kwanza na kuamua kushindana.
Jana yalikuwa majaribio ya wachezaji na mifumo ya walimu wa mpira. Usichukulie too serious.