Kama Hayati Magufuli angemaliza muda wake na Kustaafu akaandika Kitabu haya yasingekosa, pitia uzi huu kwa Umakini

Kama Hayati Magufuli angemaliza muda wake na Kustaafu akaandika Kitabu haya yasingekosa, pitia uzi huu kwa Umakini

Umeandika kitu kama hadithi ya alfu lela ulela!
Magufuli astaafu?
Si alikuwa na wapambe wa kuanza kampeni ya urais wa maisha-kagame style!

Halafu toka awe waziri/rais kaandika kitabu gani?
Achia thesis ya "miaka miwili" aliyoandikiwa.
Daah sijawahi kuona mfu anasimangwa kama Magufuli.
 
Usije andika uwongo. Muktadha wa Magufuli ulikuwa siyo wa kuomba radhi mtu. Yeye silaha yake kubwa ilikuwa uwongo, vitisho na kujifanya mcha Mungu akiwa kwenye madhabahu. Lakini hakuwa mtu wa kujutia au kuomba radhi
Huwezi jua nafsini mwake kulikuwaje........usihitimishe hivyo kwa mtazamo wako tu.
 
Nitaweka makala ndefu siku ya Jumanne maana bado namalizia ku compile

Makala Hiyo itahusisha Mengi ambayo hata mtu hawezi kujisema,

Itahusisha mazungumzo binafsi, Maoni binafsi na ushauri alokuwa akiongea na watu wake wa karibu, yeye mwenyewe .

Itaweka Mtandao uliomsumbua sana na kuhangaika nao Kama rais

Viongozi aliowapenda sana na kuwakwepa kuwapa majukumu makubwa akihofia kutofaana nao,

Pia Itaangazia Ambayo angeandika Kama Majuto kwenye kitabu chake (Kuomba radhi aliyoyafanya akiwa Rais)

Usikae mbali


Britanicca
Hatufai na hajawahi kutufaa na hatatufaa
 
Mkuu, changamoto ya kwamba madili yote ya ufisadi na upigaji kwenye awamu ya 4 yalikuwa yanaanzia na kuishia kwa mtangulizi wake imo kwenye andiko lako?
 
Usihukumu ili usije ukahukumiwa, kwa maana kipimo kile kile upimacho ndicho utakacho pimiwa!.
 
Daah sijawahi kuona mfu anasimangwa kama Magufuli.
Halafu kila anayemsimanga anadai ni kwa sababu Magufuli alikuwa muovu yani hakuna anayemsimanga kwa sababu hampendi aliguswa mambo yake.
 
Nitaweka makala ndefu siku ya Jumanne maana bado namalizia ku compile

Makala Hiyo itahusisha Mengi ambayo hata mtu hawezi kujisema,

Itahusisha mazungumzo binafsi, Maoni binafsi na ushauri alokuwa akiongea na watu wake wa karibu, yeye mwenyewe .

Itaweka Mtandao uliomsumbua sana na kuhangaika nao Kama rais

Viongozi aliowapenda sana na kuwakwepa kuwapa majukumu makubwa akihofia kutofaana nao,

Pia Itaangazia Ambayo angeandika Kama Majuto kwenye kitabu chake (Kuomba radhi aliyoyafanya akiwa Rais)

Usikae mbali


Britanicca

..Jpm alikuwa na maoni gani baada ya kushindwa kumuua TL?
 
Nitaweka makala ndefu siku ya Jumanne maana bado namalizia ku compile

Makala Hiyo itahusisha Mengi ambayo hata mtu hawezi kujisema,

Itahusisha mazungumzo binafsi, Maoni binafsi na ushauri alokuwa akiongea na watu wake wa karibu, yeye mwenyewe .

Itaweka Mtandao uliomsumbua sana na kuhangaika nao Kama rais

Viongozi aliowapenda sana na kuwakwepa kuwapa majukumu makubwa akihofia kutofaana nao,

Pia Itaangazia Ambayo angeandika Kama Majuto kwenye kitabu chake (Kuomba radhi aliyoyafanya akiwa Rais)

Usikae mbali


Britanicca
Huna haja ya kuandika yote hayo bali kumwaga hiyo makala yako tuone kama una hoja au pumba.
 
Usisahau wizi, ujambazi na mauaji ambayo alipanga kutekeleza!
FB_IMG_1665831491154.jpg
 
Back
Top Bottom