Kalamu1,
Ebu tuache kugeuza kila kitu siasa.
Hapa kuna uhalifu wa mchana kweupe nje ya hapo kuna uzembe uliokithiri na so many administration issues mpaka mtu unajiuliza kama kweli jeshi la polisi linafanya kazi ivyo something is very wrong.
Aiwezekani mtu aishi Tanga ashindwe kwenda kuripoti ofisi za NIDA, TRA na Polisi; vilivyopo mkoani shida zake zitatuliwe mpaka aanze kuzungushwa safari za mikoani.
Ni jukumu la hizo taasisi kufanya coordination za kazi zao; mungu huo usumbufu tu alioupata unamuonea huruma wakati kwa jinsi swala lilivyo sensitive ulitegemea NIDA, TRA na Polisi wawe mstari wa mbele maana taasisi zao zime hujumiwa and that could lead to public mistrust katika shughuli zao.
Aiwezekani serikari itumie mabillioni kutuambia vitambulisho vya NIDA ni salama watu wanatoa fingerprint kuvipata na vinatumiwa kusajili au kama sehemu ya affidavit; halafu mtu aweze sajili kwa jina la mwingine that is a very serious breach.
Huyu mtu akisajili line ya simu akatumia mtandao vibaya, akafanya utapeli au chochote; TCRA au hao polisi wangemuelewa huyo aliyefanyiwa forgery kweli siyo yeye aliyetenda hayo makosa?
Kwanini hilo swala wanalichukulia lightly kutaka kujua how is that possible kupata hizo nyaraka wakati wametumia mabillioni ya card za kidigitali na ambazo zinaweza kuwa scanned.
Bado ata ujazungimzia utapeli wenyewe and how the whole thing was handled. If you ask me this is one of the very serious issues of breach and mistrust ya vyombo vyetu vya ulinzi na usalama.
The poor guy tumuombee mambo mengine tuyasikie kwa wengine tu; hila this is very very very wrong at all levels na tuache siasa kwenye kila kitu.