Kama hii ni kweli, basi tumefika pabaya sana

Kama hii ni kweli, basi tumefika pabaya sana

nimeshakutana na hii ya tuma pesa tukamkamate.... Na tuma pesa tum-track kwa simu... Kwanza nikatoa laki 3... Next nikaambiwa kumbe yuko mbali nitoe laki 7... ... Asked myself.. kama laki 3 didnt work how can 7 work? Ntakuja kuambiwa 2ml soon... Nikaachana nao.

Uharifu dawa yake ni kulipotiwa...

Nimeipenda hii kuiamsha serikali tukufu ya the JPM.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
hii ipo tz kwa sasa hasa Dar....

Another business...

wamenitaja niwape laki 3... nikawapa... then nikaombwa 7... Na ya tracking ya sinu sijuwi

Nyambafu

Magu amka wanaharibu huku.....[emoji351][emoji397][emoji351][emoji350][emoji344][emoji3513]
Pythagoras,
Clearly we ujali maasibu aliyokutana nayo huyo bwana. Maana umekadhania kuliweka swala lote kwenye political perspective.

Swala la polisi na siasa linasimama peke yake.

Na hili la raia kutotendekewa haki baada ya kunyan’nganywa (maana huu ata sio utapeli wa kutumia maarifa) ni sawa na mmbabe kuja kwako kuchukua mali yako mbele ya mashahidi na vyombo tunavyotakiwa kuviamini kutofanya lolote; isitoshe na usumbufu juu apewe yeye.

Sijapata kusikia duniani mshitaki anaambiwa alipiye yeye gharama za kumsafirisha mtuhumiwa kutoka kituo kimoja hadi kingine cha polisi tena afanye na negotiation ya gharama juu halafu polisi aamue kufanya kazi kutokana na dau analopewa la; only in Tanzania.

Sent using Jamii Forums mobile app
 


Kuna kitu huyu Jamaa hasemi........ Kwa nini gari lake? Haya ha yawezekana Tanzania hii! Siwezi kuamini haya! Kuna vitu hasemi.........

Kuna another part of this story! Si rahisi watu wafanye uhalifu wote huo and then they walk away, huyu Pengine alikopa, kazingua..........

Pengine wametafuta namna ya ku recover fedha zao kwa style ya tofauti, Ingawa sio jambo halali....
 
Kuna kitu huyu Jamaa hasemi........ Kwa nini gari lake? Haya ha yawezekana Tanzania hii! Siwezi kuamini haya! Kuna vitu hasemi.........

Kuna another part of this story! Si rahisi watu wafanye uhalifu wote huo and then they walk away, huyu Pengine alikopa, kazingua..........

Pengine wametafuta namna ya ku recover fedha zao kwa style ya tofauti, Ingawa sio jambo halali....
Hiyo Michezo ya kishenzi ipo sana Tz tangu zamani,tena afadhali awamu hii imepungua,watu wengi sana wametapeliwa viwanja nyumba kwa style hiyo
 
[emoji16][emoji16]umeweka button ya siasa pembeni ukabonyeza button ya ukabira.....

Its a crime anyway mkuu...

tukemee wote

Sent using Jamii Forums mobile app
Muache aweweseke. Kama ndio wakuu wa vitengo na wanaendesha mambo kihalifu kwanini wasimulikwe? Kwanini wasimsaidie Mchaga mwenzao? Ukute nao hivo vitengo wapo kwa kupachikwa ili waendeleze uhalifu wao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo Michezo ya kishenzi ipo sana Tz tangu zamani,tena afadhali awamu hii imepungua,watu wengi sana wametapeliwa viwanja nyumba kwa style hiyo

Hauwezi badili jina la gari ya mtu kwa kughushi Kiwango hicho mpaka kitambulisho cha Nida Halafu mamlaka zote hizo zikuache!

Swali lingine, hayo ni makaratasi, where is the car? Hili gari physically lipo wapi? Maana kadi ni details tu, Gari nani analo?

Maana yake ni kwamba kama ana gari ambalo usajili wake si halali yeye si ana ushahidi wote, aendelee kulitumia tu mpaka mwisho, akishikwa anao ukweli.....

Kuna story Huyo jamaa nahakikisha ajaisema, hawezi Kuwa na haki Kiwango hicho Halafu TRA, Police, na kila mtu amtendee hayo!

Kuna % fulani jamani Jeshi letu linatenda haki kabisa, nimeona na nimethibitisha, haya maneno ya mitandaoni wakati mwingine ni story ambazo Zatoka kwa watu wasiolijua Jeshi la police
 
Marandu, Lema, Lyimo, Mosha, etc.hapa kujua nani ni mkweli ni kazi kweli.
 
Hauwezi badili jina la gari ya mtu kwa kughushi Kiwango hicho mpaka kitambulisho cha Nida Halafu mamlaka zote hizo zikuache!

Swali lingine, hayo ni makaratasi, where is the car? Hili gari physically lipo wapi? Maana kadi ni details tu, Gari nani analo?

Maana yake ni kwamba kama ana gari ambalo usajili wake si halali yeye si ana ushahidi wote, aendelee kulitumia tu mpaka mwisho, akishikwa anao ukweli.....

Kuna story Huyo jamaa nahakikisha ajaisema, hawezi Kuwa na haki Kiwango hicho Halafu TRA, Police, na kila mtu amtendee hayo!

Kuna % fulani jamani Jeshi letu linatenda haki kabisa, nimeona na nimethibitisha, haya maneno ya mitandaoni wakati mwingine ni story ambazo Zatoka kwa watu wasiolijua Jeshi la police
Hayajakukuta ndugu
 
Then kuna mijitu mipuuzi inakwambia sasa Nchi imepata mtawala pumbaf
Vitu vingine ukisikiliza vinasikitisha sana na maswali ni mengi kushinda majibu; kuna wahalifu wanajiamini sana nchi hii kuweza kufanya uporaji wa hadharani namna hii. Simply ni dharau kwa vyombo vya sheria ni watu ambao wanajiamini wapo juu yake; na kwa story yenyewe uwezi bisha wapo juu ya mkono wa sheria.

Jana tu kwenye thread ya Kabendera nili comment kuna uhalifu Tanzania auwezekani bila ya taasisi za ulinzi na usalama kuhusika; sasa kama ni issue za national security waanze kusafisha ndani ya nyumba za serikari kwanza (a lot of their employees can easily be compromised).

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapa ndipo mnpokwama mnakwepa tatizo!
Kalamu1,
Ebu tuache kugeuza kila kitu siasa.

Hapa kuna uhalifu wa mchana kweupe nje ya hapo kuna uzembe uliokithiri na so many administration issues mpaka mtu unajiuliza kama kweli jeshi la polisi linafanya kazi ivyo something is very wrong.

Aiwezekani mtu aishi Tanga ashindwe kwenda kuripoti ofisi za NIDA, TRA na Polisi; vilivyopo mkoani shida zake zitatuliwe mpaka aanze kuzungushwa safari za mikoani.

Ni jukumu la hizo taasisi kufanya coordination za kazi zao; mungu huo usumbufu tu alioupata unamuonea huruma wakati kwa jinsi swala lilivyo sensitive ulitegemea NIDA, TRA na Polisi wawe mstari wa mbele maana taasisi zao zime hujumiwa and that could lead to public mistrust katika shughuli zao.

Aiwezekani serikari itumie mabillioni kutuambia vitambulisho vya NIDA ni salama watu wanatoa fingerprint kuvipata na vinatumiwa kusajili au kama sehemu ya affidavit; halafu mtu aweze sajili kwa jina la mwingine that is a very serious breach.

Huyu mtu akisajili line ya simu akatumia mtandao vibaya, akafanya utapeli au chochote; TCRA au hao polisi wangemuelewa huyo aliyefanyiwa forgery kweli siyo yeye aliyetenda hayo makosa?

Kwanini hilo swala wanalichukulia lightly kutaka kujua how is that possible kupata hizo nyaraka wakati wametumia mabillioni ya card za kidigitali na ambazo zinaweza kuwa scanned.

Bado ata ujazungimzia utapeli wenyewe and how the whole thing was handled. If you ask me this is one of the very serious issues of breach and mistrust ya vyombo vyetu vya ulinzi na usalama.

The poor guy tumuombee mambo mengine tuyasikie kwa wengine tu; hila this is very very very wrong at all levels na tuache siasa kwenye kila kitu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pythagoras,
Clearly we ujali maasibu aliyokutana nayo huyo bwana. Maana umekadhania kuliweka swala lote kwenye political perspective.

Swala la polisi na siasa linasimama peke yake.

Na hili la raia kutotendekewa haki baada ya kunyan’nganywa (maana huu ata sio utapeli wa kutumia maarifa) ni sawa na mmbabe kuja kwako kuchukua mali yako mbele ya mashahidi na vyombo tunavyotakiwa kuviamini kutofanya lolote; isitoshe na usumbufu juu apewe yeye.

Sijapata kusikia duniani mshitaki anaambiwa alipiye yeye gharama za kumsafirisha mtuhumiwa kutoka kituo kimoja hadi kingine cha polisi tena afanye na negotiation ya gharama juu halafu polisi aamue kufanya kazi kutokana na dau analopewa la; only in Tanzania.
Nchi ilikuwa imepinda sasa imeoza??
 
Back
Top Bottom