Kama hii ni kweli, basi tumefika pabaya sana

Kama hii ni kweli, basi tumefika pabaya sana

Ebu tuache kugeuza kila kitu siasa.

"Kuacha kugeuza kila kitu siasa" ni kuheshimu na kuruhusu sheria zifanye kazi ipasavyo. Nje ya hapo wewe ndie unayepiga siasa hapa.

Hapa kuna uhalifu wa mchana kweupe nje ya hapo kuna uzembe uliokithiri na so many administration issues mpaka mtu unajiuliza kama kweli jeshi la polisi linafanya kazi ivyo something is very wrong.

Naona bado huelewi nilichokuandikia hapo juu.
Huo "uzembe uliokithiri" unaouandika hapa ni mazao ya ubovu wa uongozi usiofuata misingi ya sheria. Kwa nini wewe hilo hutaki kuliona?

If you ask me this is one of the very serious issues of breach and mistrust ya vyombo vyetu vya ulinzi na usalama.

Hivyo vyombo, polisi, sasa hivi wanajua wanafanya kazi moja mhimu sana kuliko majukumu yao mengine.
Kuipigania CCM iendelee ili na wao maslahi yao yaendelee kuwepo. Wewe hilo hulioni, kwa nini!
 
The poor guy tumuombee mambo mengine tuyasikie kwa wengine tu; hila this is very very very wrong at all levels na tuache siasa kwenye kila kitu.
Siasa inapokuwa mbaya, mambo mengine yote hayawezi kuwa salama.

Wewe hapa unaendeleza wimbo wa "tuache siasa"..., sijui una maana gani!
 
Tatizo unaishi kwa kukariri.

Halafu wigo wako wa kukariri mfupi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimesema mkimbizi kwa sababu utakuwa huji kwenu. Kwa hiyo airport ya TZ haikuhusu.

Kama uko TZ hujasafiri wewe, utakuwa hupigi kura, huna kitambulisho cha uraia, huna TIN, huna driving license, huna sim card yenye jina la kwako. Itakuwa mtu au mfungwa?
 
Nimesema mkimbizi kwa sababu utakuwa huji kwenu. Kwa hiyo airport ya TZ haikuhusu.

Kama uko TZ hujasafiri wewe, utakuwa hupigi kura, huna kitambulisho cha uraia, huna TIN, huna driving license, huna sim card yenye jina la kwako. Itakuwa mtu au mfungwa?
Kwani kuja Tanzania ni lazima kutoa alama za vidole?

Au kutokuja Tanzania ni lazima uwe mkimbizi?
 
Ujinga: thaman ya gari 30m? Mtandao? Tanzania hii wa kuina kijinga na kuacha trace Zote hizo nyuma?

Hivi unajua maana ya mtandao wa uhalifu? Ni watu wengi vichwa, Huu wwaliofanya sio wizi, hauitwi wizi, Huu ni ujinga kama ni kweli umefanyika.....
Hii habari ingekuwa kamili kama hao ''waandishi wa habari'' wangehoji watuhumiwa wote. Hapa tumepata upande mmoja wa habari. Walitakiwa kuwahoji TRA, Polisi na hao jamaa wanaotuhumiwa.
 
Pythagoras,
Clearly we ujali maasibu aliyokutana nayo huyo bwana. Maana umekadhania kuliweka swala lote kwenye political perspective.

Swala la polisi na siasa linasimama peke yake.

Na hili la raia kutotendekewa haki baada ya kunyan’nganywa (maana huu ata sio utapeli wa kutumia maarifa) ni sawa na mmbabe kuja kwako kuchukua mali yako mbele ya mashahidi na vyombo tunavyotakiwa kuviamini kutofanya lolote; isitoshe na usumbufu juu apewe yeye.

Sijapata kusikia duniani mshitaki anaambiwa alipiye yeye gharama za kumsafirisha mtuhumiwa kutoka kituo kimoja hadi kingine cha polisi tena afanye na negotiation ya gharama juu halafu polisi aamue kufanya kazi kutokana na dau analopewa la; only in Tanzania.
Mkuu the whole system is rotten. Hakuna cha Polisi, TRA wala TAKUKURU. Hao hudeal kwa speed ya ajabu zile issues ambazo mzee mwenyewe amezi address publicly ila hizi ambazo wanazozirise wananchi wa kawaida hawajamaa huwa wanataka hela ili jambo lako lifanikiwe.
Najua tatizo mnalifahamu, hii nchi inahitaji total transformation kuanzia KATIBA, SERA NA VIPAUMBELE VYA NCHI KAMA NCHI NA SI CHAMA.
 
Hii habari ingekuwa kamili kama hao ''waandishi wa habari'' wangehoji watuhumiwa wote. Hapa tumepata upande mmoja wa habari. Walitakiwa kuwahoji TRA, Polisi na hao jamaa wanaotuhumiwa.
Hawa waandishi wameachia clip ya upande moja,hao waliotajwa wangeulizwa kwanza kabla ya kuitoa habari,ili wasikilizaji tupime.
 
Back
Top Bottom