Pythagoras,
Clearly we ujali maasibu aliyokutana nayo huyo bwana. Maana umekadhania kuliweka swala lote kwenye political perspective.
Swala la polisi na siasa linasimama peke yake.
Na hili la raia kutotendekewa haki baada ya kunyan’nganywa (maana huu ata sio utapeli wa kutumia maarifa) ni sawa na mmbabe kuja kwako kuchukua mali yako mbele ya mashahidi na vyombo tunavyotakiwa kuviamini kutofanya lolote; isitoshe na usumbufu juu apewe yeye.
Sijapata kusikia duniani mshitaki anaambiwa alipiye yeye gharama za kumsafirisha mtuhumiwa kutoka kituo kimoja hadi kingine cha polisi tena afanye na negotiation ya gharama juu halafu polisi aamue kufanya kazi kutokana na dau analopewa la; only in Tanzania.