Kama hii ni kweli, basi tumefika pabaya sana

Kama hii ni kweli, basi tumefika pabaya sana

Hata Kama may be anadaiwa na huyo jamaa maana mtaani Kuna watu wanakopesha kwa riba asilimia mia moja! Ok ameshindwa kulipa Deni Sasa ndo ufoji ili unyang'anye gari????
Na upewe ushirikiano na mamlaka hizo zote, Pesa Ina nguvu sana believe or not! uttoh2002,

Sent using Jamii Forums mobile app
 


Majina ya kichaga yote, sasa mnaelewa wachaga watu majizi sana, cheki majina yao wote wachaga, wezi sana yaani wanaungana kuiba, sasa tukisema wachaga wengi wezi mnakataa. Mtandao wa kichaga huo, naamini serikali itaukausha kabisa. Hii ndio TRA zamani wachaga walikuwa kama mchwa, tukisema mnaona hatujui kitu, naamini serikali hii itafuta kabisa huu uwizi na unyang'anyi wa wazi kabisa
 
Mbele ya pesa hizi specie hazifai bora ukuta ne na simba,
Majina ya kichaga yote, sasa mnaelewa wachaga watu majizi sana, cheki majina yao wote wachaga, wezi sana yaani wanaungana kuiba, sasa tukisema wachaga wengi wezi mnakataa. Mtandao wa kichaga huo, naamini serikali itaukausha kabisa. Hii ndio TRA zamani wachaga walikuwa kama mchwa, tukisema mnaona hatujui kitu, naamini serikali hii itafuta kabisa huu uwizi na unyang'anyi wa wazi kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata Kama may be anadaiwa na huyo jamaa maana mtaani Kuna watu wanakopesha kwa riba asilimia mia moja! Ok ameshindwa kulipa Deni Sasa ndo ufoji ili unyang'anye gari????
Na upewe ushirikiano na mamlaka hizo zote, Pesa Ina nguvu sana believe or not! uttoh2002,

Sent using Jamii Forums mobile app
Oh

Hapana, yawezekana kakosewa, ila kwenye maelezo yake aeleze kila kitu ili asaidiwe!

Ushuhuda wa kweli:

Mshikaji aliniagizia gari fresh, ni Dogo Poa namwamini, nikampa hela zote mpaka za kutoa akanilete gari na certified copy ya gari etc!

Hakunipq kadi original, nikacheki na TRA nikakuta jina langu, nikatulia! Baada ya mwaka wife kadakwa town, gari inezuiwa kakopa!

Mh nikaenda nikampa gari langu nikabeba msala, nikawaomba jamaa wa assume mie ndo nimeshikwa nalo!

Tukaanzia TRA, nikakuta Wamiliki 2 wa gari! Mimi na kampuni ya kukopesha, ha! Ninataka maelezo, jamaa angu alikopa na kadi yangu 6m, actually ndo alikombolea gari, okay, deni ni 12m now!

Nikampigia Dogo, naye ni muwajibikaji akanambia Bro Nisamehe nakuja nitasema kila kitu, akaja kweli akatiwa pingu akawekwa ndani,

Nikaongea na jamaa wa mkopo fresh kwamba tulirudishe home, nikamtoa dogo, ndugu jamaa na marafiki na pia was au wakakubali wape we principle tu, tukamliza.

Kuna namna jamaa ni chanzo cha matatizo
 
Vitu vingine ukisikiliza vinasikitisha sana na maswali ni mengi kushinda majibu; kuna wahalifu wanajiamini sana nchi hii kuweza kufanya uporaji wa hadharani namna hii. Simply ni dharau kwa vyombo vya sheria ni watu ambao wanajiamini wapo juu yake; na kwa story yenyewe uwezi bisha wapo juu ya mkono wa sheria.

Jana tu kwenye thread ya Kabendera nili comment kuna uhalifu Tanzania auwezekani bila ya taasisi za ulinzi na usalama kuhusika; sasa kama ni issue za national security waanze kusafisha ndani ya nyumba za serikari kwanza (a lot of their employees can easily be compromised).

Jana Mambosasa naye vijana wamemliza Dollar za kushiba Kutoka wizi uliofanyika NBC bila muafaka naye kasema mimba hiyo hawezi kuibeba hivihivi tu
 
umeamua kuchafua wachaga kwa faida ya nani ?
Umejuaje kama wanaosemwa ni wachaga?

Hata kama ni wachaga, umejuaje kama anawachafua? Kwani wachaga hawawezi kufanya uhalifu?

Tuache kuficha maovu kwa mwanvuli wa ukabila!
 
Hauwezi badili jina la gari ya mtu kwa kughushi Kiwango hicho mpaka kitambulisho cha Nida Halafu mamlaka zote hizo zikuache!

Swali lingine, hayo ni makaratasi, where is the car? Hili gari physically lipo wapi? Maana kadi ni details tu, Gari nani analo?

Maana yake ni kwamba kama ana gari ambalo usajili wake si halali yeye si ana ushahidi wote, aendelee kulitumia tu mpaka mwisho, akishikwa anao ukweli.....

Kuna story Huyo jamaa nahakikisha ajaisema, hawezi Kuwa na haki Kiwango hicho Halafu TRA, Police, na kila mtu amtendee hayo!

Kuna % fulani jamani Jeshi letu linatenda haki kabisa, nimeona na nimethibitisha, haya maneno ya mitandaoni wakati mwingine ni story ambazo Zatoka kwa watu wasiolijua Jeshi la police

Lazima kuna upande wa pili wa hii story maana haiwezekani achaguliwe yeye out of the blue.

Lakini hata kama huo upande upo, inawezekanaje watu waghushi nyaraka zote hizo bila kushikwa?

Soon tutasikia zaidi maana sahizi haya majitu yanafanya kazi hadi mambo yaende mitandaoni.
 
Sie wa #freebasic kwa hakika tunapitwa na mengi sanaa. Ila nalo litupite tu aise
 
Aiseeee inawezekana kuna wengi wamefanyiwa huu uhuni kama hapo mwishoni amesema kuna mama katapeliwa scania lake dahhh ....ile video imeangaliwa na watu elfu kumi na nne ni matumaini atasaidiwa

Sent using Jamii Forums mobile app

Jamaa kasema yale anayojua nami namuunga mkono kwani kuna jamaa yangu hapa mjini aliibiwa gari yake kwa mtindo wa kitapeli kama huyu bwana na mwisho wa siku Police hawakutoa msaada kabisa na hawakutaka ushirikiano naye kabisa na gari ikawa imepotea hivihivi, kwa ufupi matapeli hawa hupewa ushirikiano mkubwa kutoka Police baada ya kulainisha vyuma na indicator muhimu hebu fanya kurejea kesi zote za "Mtoto Ndama ya Ng'ombe" utapata picha na utajua ninini wanaposema mjini shule.
 
Swali nalouliza hapa hapa JF; Je, hii clip itaweza kumsaidia?? Tunaomba tu mrejesho hapa hapa JF jamani na wengine tuweze kutiririka mengine. Nadhani ka hii clip itasaidia tunaweza kuupata muarobaini wa maovu haya.
Nasema; Polisi, TRA na huko NIDA kumulikwe vizuri. Ningelikuwa mkuu wa kaya; Tumbua tangu kichwa hadi wayo wa mguu. Tafuta vijana wapya kabisa wakajifunzie huko huko kazini namna ya kupiga masaluti. Hakuna haja ya ukakamavu wowote kwani hata majambazi siku hizi nao ni mlenda tu ndume inapigwa tanganyika jeki na mwajuma
 
Mnisaidie kitu kimoja gari linatokaje mkononi mwa mmiliki, wanaliiba au wanafanya fanya vipi baada ya kugushi hizo nyaraka?
 
Hapana; kwa ukweli huo anaouleza:

- TRA
- Police

Hawawezi kunyamaza kwa kiwango anachosema! Siwezi kuamini!
Police wanaweza tena kwa 200%,kuna mtu alikamatwa na vyandarua robota 2 ambazo ni sawa na vyandarua 80 trh 29/11/2019 mali ya zahanati ya kerenge iliyopo korogwe tanga alifikishwa police baada ya siku moja aliachiliwa kwa dhamana na hadi leo hii kesi iko polisi haijafikishwa mahakamani na zahanati ile ni ya serikali
 
Hapana; kwa ukweli huo anaouleza:

- TRA
- Police

Hawawezi kunyamaza kwa kiwango anachosema! Siwezi kuamini!
Mkuu zimo kweli? Umeshaambiwa huo ni mtandao mkubwa na baadhi ya wahusika wapo kwenye sehemu hizo, bado unataka kujua nini? Hujawahi kuona wauza unga wakubwa hawakamatwi na wanajulikana ila wanashikwa wale wasio na connection? Kama unaamini jamaa anaficha jambo ungejiuliza pia kwa nini wasimfunge kwa kuwachafua.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu zimo kweli? Umeshaambiwa huo ni mtandao mkubwa na baadhi ya wahusika wapo kwenye sehemu hizo, bado unataka kujua nini? Hujawahi kuona wauza unga wakubwa hawakamatwi na wanajulikana ila wanashikwa wale wasio na connection? Kama unaamini jamaa anaficha jambo ungejiuliza pia kwa nini wasimfunge kwa kuwachafua.

Sent using Jamii Forums mobile app

Ujinga: thaman ya gari 30m? Mtandao? Tanzania hii wa kuina kijinga na kuacha trace Zote hizo nyuma?

Hivi unajua maana ya mtandao wa uhalifu? Ni watu wengi vichwa, Huu wwaliofanya sio wizi, hauitwi wizi, Huu ni ujinga kama ni kweli umefanyika.....
 
Ujinga: thaman ya gari 30m? Mtandao? Tanzania hii wa kuina kijinga na kuacha trace Zote hizo nyuma?

Hivi unajua maana ya mtandao wa uhalifu? Ni watu wengi vichwa, Huu wwaliofanya sio wizi, hauitwi wizi, Huu ni ujinga kama ni kweli umefanyika.....
Sahihi, sasa tusimkandamize anaeonyesha kupigania haki yake dhidi ya watu wa aina hiyo.
Tafsiri ya mtandao kibongo bongo isikuumize kichwa kwani hata wanaotuma sms za 'tuma hela kwenye namba hii' pia wana mitandao yao ya ufanikishaji.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom