Bwana Bima
JF-Expert Member
- Jul 29, 2014
- 429
- 929
1)Fanya utafiti yakinifu na makini kubaini gharama,namna bora ya uendeshaji,faida na mengineyo watu wa project wanaweza kunisaidia. Weka mipango mirefu na mifupi na kufanya tafiti za mara kwa mara kuona malengo yamefika wapi
2)Tafuta wataalam waliobobea kwenye maswala ya uendeshaji wa bandari kutia mafundi na waendesha mitambo kutoka nchi zilizoendelea kama Uk,USA, GERMAN,CHINA na zinginezo wape vitengo muhimu then nyuma yao wawe wazawa ambao ni wazalendo.Isipokua kama ilivyosasa bandar ni moja ya kanda kama sikosei ya kipolisi ibaki kama ilivyo llakini iwe chini ya usimamizi mkali wa ofisi ya raisi
3)Nenda taasisi kubwa za kifedha upate mikopo ya muda mrefu kwa ajili ya uendeshaji kutia ndani kununua mitambo ya kisasa na vifaa vya kisasa ili kuendesha bandari kwa ufanisi.
Mengine mtanisaidia ikiwa. Ila kwa nchi yangu daah mengine nachekaga tu. Mfano hai kipindi mitihani ya Necta inachapishwa nje ya nchi mpka JPM alipoingia na kuamuru mitambo inunuliwe iwe inachapishwa hapa hapa. Hili jambo na mengine vinafanya viongozi wa nchi yetu waonekana sijui wanawaza kwa kutumia nini aisee!
2)Tafuta wataalam waliobobea kwenye maswala ya uendeshaji wa bandari kutia mafundi na waendesha mitambo kutoka nchi zilizoendelea kama Uk,USA, GERMAN,CHINA na zinginezo wape vitengo muhimu then nyuma yao wawe wazawa ambao ni wazalendo.Isipokua kama ilivyosasa bandar ni moja ya kanda kama sikosei ya kipolisi ibaki kama ilivyo llakini iwe chini ya usimamizi mkali wa ofisi ya raisi
3)Nenda taasisi kubwa za kifedha upate mikopo ya muda mrefu kwa ajili ya uendeshaji kutia ndani kununua mitambo ya kisasa na vifaa vya kisasa ili kuendesha bandari kwa ufanisi.
Mengine mtanisaidia ikiwa. Ila kwa nchi yangu daah mengine nachekaga tu. Mfano hai kipindi mitihani ya Necta inachapishwa nje ya nchi mpka JPM alipoingia na kuamuru mitambo inunuliwe iwe inachapishwa hapa hapa. Hili jambo na mengine vinafanya viongozi wa nchi yetu waonekana sijui wanawaza kwa kutumia nini aisee!