Kama huhusiki na hiphop usije hapa



kweli nabii hakubaliki kwao,watu walivyokuwa wanaichukulia xplastaz/faza nelly hapa bongo ni tofauti kabisa na comments nilizozisoma hapo
 


Ona hii KRS-ONE msanii wa Marekani maarufu tu but ana viewers 27,000+ na comments 60+ tu you tube KRS-One & Marley Marl - Hip Hop Lives [Official Video HD] - YouTube,wakati Faza Nelly msanii wa Tz ana viewers 1000,000+ na comments 1000+ lakini bado watz walikuwa hawamtambui
 


SIntaenda kokote.
Ntabaki nyumbani huku nasikiliza pini za Jay Moe...
 
wote wa kali kwa kutegemea mazingira hao jamaa wa kundi A ni wakali sana ila ngoma zao nyingi ni za kusikiliza ghetto hawana nyimbo nyingi za show ikilinganisha na kundi B

katika muktadha huo nitaenda kundi B
 

Kundi A kaka mana wanachoimba ndo Hip Hop yenyewe na si entertainment hip hop
 

Kundi A kaka mana wanachoimba ndo Hip Hop yenyewe na si entertainment hip hop ila kuna baadh ya Kundi B lyk Roma nae ilitakiwa umuweke Kundi A
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…