Kama huhusiki na hiphop usije hapa

Kama huhusiki na hiphop usije hapa

Ni kweli


anawaua,kwa hii mistari tu lazima wafe;


"NINA MISTARI MIKALI HADI LWANDA ANANIONEA GERE"

"MUZIKI NIMEUANZA KALE HADI LEO SIJAITWA PEPE"

"NINA MISTARI MIKALI HADI GEORGE ANARUDI BUSH"

"BONGO INA JUA LA UTOSI HADI JUMA ANAKOSA NATURE"

aiseee am taking back my words i feel humiliated lol
 
CYBERTEQ Kitu cha up in the smoke tour
 
Last edited by a moderator:
"NINA MISTARI MIKALI HADI LWANDA ANANIONEA GERE"

"MUZIKI NIMEUANZA KALE HADI LEO SIJAITWA PEPE"

"NINA MISTARI MIKALI HADI GEORGE ANARUDI BUSH"

"BONGO INA JUA LA UTOSI HADI JUMA ANAKOSA NATURE"


***Hiyo ndo mistari kwenzi ya STAMINA buana....!!!

Kwenye nyimbo zake zote umesikia hapo tu?
 
Hapo ndo pamenifurahisha zaidi

Unaonekana umefurahishwa ila -ve, umenipa sababu niusikilize tena na tena huo wimbo ila sijasikia alipokosea. Tukubaliane mkuu mwisho wa siku, msanii hata ukiwa mwandishi mzuri, sio nyimbo zote utaandika vizuri au sio zote watu tukazipenda.
 
CYBERTEQ Kitu cha up in the smoke tour

up in the smokee.jpg
 
Its the movement lets go lets go krs1 warren G little A.
I come back, every year I get newer I'm the dust on the moon, I'm the trash in the sewer Let's go, I come back, every year I get brighter If you thinkin' hip hop is alive, hold up your lighter
Let's go, I come back, every year I'm expandin' Talkin' to developers about this city we plannin', c'mon I come back through any endeavor This is hip hop, we gon' last forever
Hip means to know, it's a form of intelligence To be hip is to be update and relevant Hop is a form of movement You can't just observe a hop, you gotta hop up and do it
Hip and hop is more than music Hip is the knowledge, hop is the movement Hip and Hop is intelligent movement Or relevant movement we sellin' the music
So write this down on your black books and journals Hip hop culture is eternal Run and tell all your friends An ancient civilization has bee born again, it's a fact
I come back, every year I'm the strongest KRS-One, Marley Marl, yup, we last the longest Let's go, I come back 'cause I'm not in the physical I create myself, man, I live in the spiritual
I come back through the cycles of life If you been here once you gon' be here twice So I tell you, I come back ‘cause you must learn too Hip hop culture is eternal
 
Stamina ft Fid Q - Wazo la leo
you know what majani?
nice to meet you homie!
yeah
elimika nyangema, maisha hayaendeshwi na
nguo
Pesa ni vazi la ngema, haliwezi kuwa na
mpasuo
vaa uaminifu, tupa boksi la kondomu
Hip Hop haijengwi na beef, underground
usiijaze form
maisha ni kujipanga, ewe mganga usigawe hirizi
viogonzi msiizuie ganja, huku mnachukua
ushuru wa lease
ridhiki ina kamba, ivute ili ikupe noti
mkulima rudi shamba, nahisi mbegu siku hizi
hazioti
maisha njia panda, mtembezi chagua pa
kwenda
uchumi vazi la bwanga, ukishuka uvishe
suspender
shiba kwa nia, ukiwa mrefu wa malengo
usikufuru we shukuru, ukifaulu kila tendo
punguza pupa, mpendaji uingie ndoani
mapenzi yamevaa bukta usiwaze, mapaji
hadharani
usilale kijinga kwenye kitanda cha ushamba
unaweza kuwa shabiki wa simba na ukaishi
mwembe'yanga
ah
hiki kijiko unachokiona, baada ya kula kwa
mkono
ndomu usiyoiona, mpaka ukishafanya ngono
neno la kuponya, lililokosa mdomo
na hili bonge la ngoma kwenu, kwangu ni kama
somo
hilo ndo wazo la leo, ishi usingizi wa furaha
mzinzi jenga kibanda cha angaza utoe nasaha
Hilo ndo wazo la leo
usiishi kwa vikwazo, weka wazo kwenye vyanzo
vyako
Hilo ndo wazo
ah
underground panga tenzi, u'star hauji kwa
promo
hakuna tajiri wa mapenzi, kapuku punguza
ngono
bora uuitwe Mfalme Juha, kwenye utawala wa
kishamba
mapenzi yakikusumbua, tafuta daktari wa
kitanga
vazi unaloishi,mwenyezi yeye ndo Designer
shetani akikushawishi, mvute kwake kama Dyna
Dunia duara, jitahidi uizunguke
mla bata starehe hasara, wekeza hadhi isishuke
huna undugu na Bakhresa, ni aje aje unakula
unga?
Mateja mnahitaji sensa, taifa la kesho
linavunda
Dogo jifunze heshima, sio upaparazi
mwambie na dada ajitunze, mlango wake
asiuache wazi
kama unajijua ni mchoyo, basi usingonje
kupewa
tafuta pesa kwa moyo, sio kwa ushindi wa
ngekewa
Sharo mpe salamu, The Great braza Kanumba
Mwambie bongo sio tamu, na Lulu bado
wamemfunga
hiki kijiko unachokiona, baada ya kula kwa
mkono
ndomu usiyoiona, mpaka ukishafanya ngono
neno la kuponya, lililokosa mdomo
na hili bonge la ngoma kwenu, kwangu ni kama
somo
hilo ndo wazo la leo, ishi usingizi wa furaha
mzinzi jenga kibanda cha angaza utoe nasaha
Hilo ndo wazo la leo
usiishi kwa vikwazo, weka wazo kwenye vyanzo
vyako
Hilo ndo wazo
utamu wa ndafu ya harusi, sio wa ndoa we
kilaza
mbuzi atabaki mbuzi, hata ule hadi ukasaza
nchi tayari imekonda, mwananchi tafuta ulaji
life ngumu hadi ombaomba, kidonda anafanya
mtaji
ukipata mazuri, jipange kukwepa hasara
kijana vazi la msuli, haliwezi 'kuvisha busara
ukiishi kwa hisia, kila story litakubanza
cha msingi kuweka nia, ujivunie kuwa Mtanza
(nia)
kata ya kijiji, haibebi maji ya maendeleo
katibu tunza mgwiji, msuli ukishuka kimeo
uchumi unashika tama kwenye shavu la
mlanguzi
Raia usilaumu chama, shiriki kwenye uchaguzi
unaweza kuvaa kinga, ila ukafa kwa uaminifu
mzinzi usigawe ujinga, sambaza ujumbe wa sifa
hakuna snitch kama pesa, ukiwa naye fanya
vya maana
akiondoka atakutesa, utamsaka usiku na
mchana
hiki kijiko unachokiona, baada ya kula kwa
mkono
ndomu usiyoiona, mpaka ukishafanya ngono
neno la kuponya, lililokosa mdomo
na hili bonge la ngoma kwenu, kwangu ni kama
somo
hilo ndo wazo la leo, ishi usingizi wa furaha
mzinzi jenga kibanda cha angaza utoe nasaha
Hilo ndo wazo la leo
usiishi kwa vikwazo, weka wazo kwenye vyanzo
vyako
Hilo ndo wazo
ah. mia
 
mi nilijua akina KRS ONE, NWA, AL B SURE, PUBLIC ENEMY, SCARFACE, ICE CUBE, ONIX, WUTANG CLAN, TRIBE CALLED QUEST kumbe eti akina kala jeremiah dah! Kweli hip hop tunaielewa tofauti.
 
"NINA MISTARI MIKALI HADI LWANDA ANANIONEA GERE"

"MUZIKI NIMEUANZA KALE HADI LEO SIJAITWA PEPE"

"NINA MISTARI MIKALI HADI GEORGE ANARUDI BUSH"

"BONGO INA JUA LA UTOSI HADI JUMA ANAKOSA NATURE"


***Hiyo ndo mistari kwenzi ya STAMINA buana....!!!

Hakuna kitu hapa Mkuu...
 
mi nilijua akina KRS ONE, NWA, AL B SURE, PUBLIC ENEMY, SCARFACE, ICE CUBE, ONIX, WUTANG CLAN, TRIBE CALLED QUEST kumbe eti akina kala jeremiah dah! Kweli hip hop tunaielewa tofauti.

Usiwasahau hawa Big Dad Kane, Imortal Technique, Joely Ortiz, Papoose, Dead Prez, Jedi Mind Trics,..........
 
"Wingi wa wanawake siyo kipimo cha urijali, kama mwanaume wa ukweli nyumbani wasikose ugali." Mi ningeenda waliko kundi 'A'
 
ROMA - Mathematics
It's beautiful day asalaam aleikhum Tanzania
Nimeshatikisa nyavu mimi ndo MVP
Wakakimbia depo kwa polisi wa ccp
Niliwapigisha kuruta kwata la JKT
Nna kipaji mimi kushinda cha T H T
Nawapangisha foleni kama bank ya NMB
Mimi nimesoma pcm sio PCB
So hata tufungwe mimi ni Arsenal sio MAN U
Kibonde we ni member wa loan board au TCU
Nchi imeuzwa vigogo wanapita ATM
Tuwakemee mafisadi wote wa ccm
kuvua gamba haiwasafishi mbele ya CUF
chadema mwone Makamba Jk kwa TFF
Sihitaji dancer wala mapanga yale ya TMK
Show zangu sio longolongo zile za Y2K
na sio bandia kama lile kontena la BOT
Situkuzi kilichofake kama TOT
Mimi ndio roma ntasimama kama KKT
Asante bongo makejoo na mongo TBT
Mistari yangu mitamu kama miwa ya TPC
Na kwa hizi flow mamc mtalazwa kcmc.
Kodi ya walalahoi pombe ya tra
Miili yao ndio biashara ndani ya bba
Fataki anatoa mkopo ndani ya TIA
Mimba hazina uhakika mpaka DNA
Mhaya ishike elimu
Msambaa auze matunda
Mpemba avue samaki
Mnyakyusa avune mpunga
Aah aaah yaah rock city mikono juu yeeah
Mbeya city mikono juu
Mwambieni hatukuogopa tabiri za shekhe
Yahya
Mahuti yangetufika bila kumpinga Jakaya
Sisaliti sirudishi kadi ya chama ka Nakaya
bado ainingii akilini hukumu ya babu seya
Wagonjwa wanakufa mapokezi
Dokta anakunywa value
Wazazi wanakufa labour wengine ICU
Wagonjwa wanakufa mapokezi
Dokta anakunywa value
Wazazi wanakufa labour wengine ICU
Waambieni me mzalendo na hii ndo mbiu ya
mgambo
Tanesco wakizima umeme hupitisha mzigo wa
magendo
Harakati za dokta ricky katika kuinua michezo
Mama Terry wamemsaliti mwasiti wamempa
Tangazo
Lady pepeta hawavai msema kwel samunge
Mipira Hawaitumii eti kwa babu kuna kikombe
Mafuta wanapandisha bei kisa wanamiliki sheli
Wachina wanawapa tenda si tunanyimwa vibali
Gongo la mboto wanalia
Misaada wamewatapeli
Bandugu bwaga manyanga
Ayaokote magufuli
Pesa za ujenzi wa shule kala na mkewe
headmaster
Thamani ya mabango ya kampeni somesha
watoto veta
Wanajiuliza dkt slaa ni wapi anapata data
Hatakama nimevaa mlegezo ikulu napiga chata
Ikulu wamejaa vibaka manzese wanawakamata
Makahaba wanaongezeka boom linapokata
wanauziana kwa minada mali za serikalini
Mhasibu anachek porn si tumepanga foleni
Mmakonde chonga vinyago
Muha avue dagaa
Mmasai alinde geti
Mnyamwezi aline asali
Aah aah yeah A city mikono juu yeaah
Yeeah Iringa mikono juu
Maemcee wanapata stress ROMA akitua ubungo
Tanga niliwafunga tatu nawafunga tano hapa
bongo
wanafuga rasta ili wapate mademu wa kizungu
We mchaga kauze mitumba muziki
Ushakufunga pingu
Mistari yako meusi it's okey naipaka carolite
Katiba sio msaafu my people needs copyright
Vuta pumzi ya baba ila kwa pua ya kitusi
Na siachi kupiga goti mbele ya altare kasisi
Imamu akizini mjengoni usiukimbie msikiti
Padri akilala na sista aibadilishi ukatoliki
Hata gangstar ulegeza ulegeza macho ''waat''
ukimpa cotton buds
Mnakamata mateja wakati nyi ndo mnauza
drugs
Ili ujue fegi imewaka lazma upige tafu
We baba usimtume mtoto aiwashe utamuua
mapafu
Popote umuonapo ng'ombe jua hapakosi
mmasai
Na Tongwe ndo ngome kongwe
Zanzibar msinitoe nishai
Ndoto zangu kitambo ilkua nije kuwa padri
Zikayeyuka nilipo puliziwa moshi wa weed
Naenda church naamka tena nasali
Napopote utakaponiona shingoni nimevaa rozali
Hip hop ni consious sio usharobaro kubeba
nondo
Me natafuta pesa ya kula we unamchek tu
alejandro
Unadhani utaandika nini kama sio hadithi za
konongo
Me jamii inanihitaji kamuone babu wa loliondo
Magazeti yanauza kwa skendo za wasanii
Machinga wanauza copy cosota wamekula deal
Shabiki anaburn nyimbo na show anaingia free
Underground usile ada urekodi ongeza bidii
Mzaramo acheze vanga
Mkurya apige kwata
Mdigo atungue nazi
Msukuma achunge ng'ombe
Aah you know Tanga is mine
yeaah Tanga mikono juu. mia
 
Hawa unawajua Mkuu? Angalia comments za wazungu YOUTUBE!


Aisee kibongobongo wanaweza kuwa wameongoza kwa viewer wengi utube na comments za kutosha,sikujua kama walikuwa wanakubalika hivi nje ya tz,maana comments nyingi ni positive
 
Last edited by a moderator:
Jifunzen Hip Hop Culture Kupitia Hii Link Sio Tu Kutoa Povu Hapa Bila Kuuuelewa hiphophistory.indiegroup.com
 
Aisee kibongobongo wanaweza kuwa wameongoza kwa viewer wengi utube na comments za kutosha,sikujua kama walikuwa wanakubalika hivi nje ya tz,maana comments nyingi ni positive

Kaka hii ndiyo hiphop, inapofikia mtu anasema wazi kuwa yye ni Mmarekani lakini amependa hii ngoma kuliko za akina Lil Wayne hakika Faza Neli aliuwa (RIP), Comments nyingi pale ni za wazungu, wanasema wazi kuwa hawajaelewa neno hata moja, lakini muziki wameuelewa na wamempa bigup za kutosha mshkaji!...Hits 1,000,000 YouTube siyo mchezo!:clap2:
 
Back
Top Bottom