Kama hujajipanga vizuri usichokoze ujenzi

Kama hujajipanga vizuri usichokoze ujenzi

Hutakiwi kujenga hadi umalize pesa ya akiba yote, tenga akiba yako kwaajili ya dharura yoyote utakayo tokea alafu hela utakazo pata nje ya akiba yako ndo utupie yote kwenye ujenzi ukiona tu ujenzi unataka kugusa kiasi cha akiba ulicho panga kuwa nacho sitisha kwanza ujenzi, maana dharura zingine huwa zinakuja bila taarifa Kama utamaliza akiba Basi utajikuta umeingia kwenye madeni makubwa na hata hiyo nyumba inaweza kukushinda kabisa
Siyo kwamba unakuwa huna akiba
Fundi anakuja anakwambia kwa kuanza leta matofali buku yatatosha kwa mfano, nunua na cement mifuko 50 wewe unanunua kila kitu
Wanaanza na hela yao ushAbageini mpak kwenye level flan

Hiyo level haijafikiwa tirio linaisha labda cement au tofali mfano
Kibongo bongo ndo pale tunapojikuta tumeitumia na akiba kwa sababu makadirio ya mafundi wengi hayako realistic na wengi wanapenda kupunguza vitu ili umpe kazi uko mbele sasa unaambiwa ogeza hiki, ongeza kile dah ni huzuni kwa kweli
 
Mafundi wahuni ili mradi wapate kazi
Siyo kwamba unakuwa huna akiba
Fundi anakuja anakwambia kwa kuanza leta matofali buku yatatosha kwa mfano, nunua na cement mifuko 50 wewe unanunua kila kitu
Wanaanza na hela yao ushAbageini mpak kwenye level flan

Hiyo level haijafikiwa tirio linaisha labda cement au tofali mfano
Kibongo bongo ndo pale tunapojikuta tumeitumia na akiba kwa sababu makadirio ya mafundi wengi hayako realistic na wengi wanapenda kupunguza vitu ili umpe kazi uko mbele sasa unaambiwa ogeza hiki, ongeza kile dah ni huzuni kwa kweli
 
Mimi pia nilikua natishwa hivyo hivyo ila kujenga ni rahisi sana mzee
Mbinu unayotakiwa kutumia kwanza usijenge kama adhabu alaafu pili punguza matumizi yasiyo ya lazima na uanze ku save, ukisha save tenga kiasi Cha akiba alafu Anza ujenzi hakikisha ujenzi wako usiguse kabisa pesa ya akiba uliyo nayo.

Kama uliamua akiba yako iwe laki 3 fanya ufanyavyo tafuta hela tupia kwenye ujenzi ila huo ujenzi usiguse hiyo akiba yako, tafuta fundi akupigie hesabu ya vifaa na gharama za ufundi mtoe chake afanye kazi ila akiba yako ibaki palepale.
Epuka kujenga kwa kutumia hela zote Hadi kumaliza akiba yako yote utateseka zaidi na ujenzi hautakiwi uwe ni mateso.

Mbinu hizi za ujenzi tunatumia sisi wagangaa njaa na ukiweza kutumia hiyo mbinu utajenga Kama tajiri kumbe huna utajiri wowote na jengo litaisha bila maumivu
Hiyo akiba kama haitakiwi kuguswa maana yake haitakiwi kutumika, na kama haitumiki basi hata isipokuwepo yote sawa tu.
 
Siyo kwamba unakuwa huna akiba
Fundi anakuja anakwambia kwa kuanza leta matofali buku yatatosha kwa mfano, nunua na cement mifuko 50 wewe unanunua kila kitu
Wanaanza na hela yao ushAbageini mpak kwenye level flan

Hiyo level haijafikiwa tirio linaisha labda cement au tofali mfano
Kibongo bongo ndo pale tunapojikuta tumeitumia na akiba kwa sababu makadirio ya mafundi wengi hayako realistic na wengi wanapenda kupunguza vitu ili umpe kazi uko mbele sasa unaambiwa ogeza hiki, ongeza kile dah ni huzuni kwa kweli
Aisee hii mm ilinikuta wakati naweka aluminium..mafundi miyeyusho sana.
 
Ugawanye hivi

Tofali za kunyanyua msingi labda 2000

Kupiga mkanda/beem panahitajika nondo millimeter 12,kokoto, mchaga, sement

Kunyanyua boma tofal 3500 hadi 5000
Kupiga linta unahitaji nondo,sement,mchanga

Kwahiyo boss piga kwanza hesabu za kunyanyua boma ndio uhamie kupaua

Kumbuka fundi mzuri hakubali kazi chini ya milion na laki saba hadi milion mbili na nusu

Hii nyumba ya kawaida sana

Niambie tu Haina tatizo hela zinatafutwa coz hata mkopo fasta
 
Mimi pia nilikua natishwa hivyo hivyo ila kujenga ni rahisi sana mzee
Mbinu unayotakiwa kutumia kwanza usijenge kama adhabu alaafu pili punguza matumizi yasiyo ya lazima na uanze ku save, ukisha save tenga kiasi Cha akiba alafu Anza ujenzi hakikisha ujenzi wako usiguse kabisa pesa ya akiba uliyo nayo.

Kama uliamua akiba yako iwe laki 3 fanya ufanyavyo tafuta hela tupia kwenye ujenzi ila huo ujenzi usiguse hiyo akiba yako, tafuta fundi akupigie hesabu ya vifaa na gharama za ufundi mtoe chake afanye kazi ila akiba yako ibaki palepale.
Epuka kujenga kwa kutumia hela zote Hadi kumaliza akiba yako yote utateseka zaidi na ujenzi hautakiwi uwe ni mateso.

Mbinu hizi za ujenzi tunatumia sisi wagangaa njaa na ukiweza kutumia hiyo mbinu utajenga Kama tajiri kumbe huna utajiri wowote na jengo litaisha bila maumivu

Mkuu mimi na wewe ni ndugu nn maaana natembelea humo humo,nikiona kitu hakiwezekani nakuwa nakipa muda wa kujipanga upya ili tu nisiguse akiba.
 
Back
Top Bottom