Kama hujajipanga vizuri usichokoze ujenzi

Kama hujajipanga vizuri usichokoze ujenzi

Mfano mpaka kuezeka kwa experience jumla Bei gani kwa vyuma vinne
Ok
Kama una kiwanja sawa
Foundation andaa milion 4 (settings ya kiwanja laki 3, mawe trip 15 za cum 4.5 @110,000. Mchanga trip 5@120,000, nondo 50@26,000. BRC, cement 50@16,000 na tofali 1500 na ufundi.

Pagale tofali 3000@1200, nondo za linta 40, cement 80 au 100 ukimimina na nguzo za verandah,

Mbao za Kenchi ukiwa na milioni 2.5 na bati 130 kutegemea na grade andaa milioni 4.5 kwenye bati na ufundi

Kwa haraka haraka msingi hadi kuezeka sio chini ya milioni 25 hadi 30 kutegemea na eneo na uaminifu wa mafundi.
 
Ok
Kama una kiwanja sawa
Foundation andaa milion 4 (settings ya kiwanja laki 3, mawe trip 15 za cum 4.5 @110,000. Mchanga trip 5@120,000, nondo 50@26,000. BRC, cement 50@16,000 na tofali 1500 na ufundi.

Pagale tofali 3000@1200, nondo za linta 40, cement 80 au 100 ukimimina na nguzo za verandah,

Mbao za Kenchi ukiwa na milioni 2.5 na bati 130 kutegemea na grade andaa milioni 4.5 kwenye bati na ufundi

Kwa haraka haraka msingi hadi kuezeka sio chini ya milioni 25 hadi 30 kutegemea na eneo na uaminifu wa mafundi.n
Naandaa 30mil
 
Ok
Kama una kiwanja sawa
Foundation andaa milion 4 (settings ya kiwanja laki 3, mawe trip 15 za cum 4.5 @110,000. Mchanga trip 5@120,000, nondo 50@26,000. BRC, cement 50@16,000 na tofali 1500 na ufundi.

Pagale tofali 3000@1200, nondo za linta 40, cement 80 au 100 ukimimina na nguzo za verandah,

Mbao za Kenchi ukiwa na milioni 2.5 na bati 130 kutegemea na grade andaa milioni 4.5 kwenye bati na ufundi

Kwa haraka haraka msingi hadi kuezeka sio chini ya milioni 25 hadi 30 kutegemea na eneo na uaminifu wa mafundi.
Hesabu zako ni halisi mno. Humo humo sema cha kuzingatia eneo la ujenzi liwe tambarare. Na pia kama msingi ni wa tofali 6" budget itaongezeka kidogo.

Sema hapo ulipoandika mawe trip15 then mwishoni tena tofali 1500 hapo sijakuelewa. Naona ni material mengi sana kwa msingi wa 4 bedroom hse.

Maana kwa tofali za 6 inches eneo tambarare vizuri tofali 2000 zinatosha bila mawe kuhusika kabisa, unless unapiga na jamvi kabisa.
 
Hesabu zako ni halisi mno. Humo humo sema cha kuzingatia eneo la ujenzi liwe tambarare. Na pia kama msingi ni wa tofali 6" budget itaongezeka kidogo.

Sema hapo ulipoandika mawe trip15 then mwishoni tena tofali 1500 hapo sijakuelewa. Naona ni material mengi sana kwa msingi wa 4 bedroom hse.

Maana kwa tofali za 6 inches eneo tambarare vizuri tofali 2000 zinatosha bila mawe kuhusika kabisa, unless unapiga na jamvi kabisa.
Ukitumia mawe tofali unaachana nazo, sorry for that
 
Umeanza mwaka gani mkuu?
Nmeanza ujenzi 2011-
nikajenga nyumba yangu ya kwanza ya kuishi (3 bedrooms,kimoja master),
mwaka 2013 nilipofulia nikaiuza nikarudi kupanga.

Nikafata 2014,
Nikajenga nyumba ya biashara (fremu 2+ godown 1)

Nikaja 2015
Nikajenga nyumba nyingine ya kuishi,
(5 bedrooms, viwili master)

Nikaja 2017
Nikajenga nyumba ya biashara
(Vyumba 10,vyote master)

Nikaja 2018,
Nikajenga nyumba ya kupangisha
(Chumba na sebule self- ziko 3)

Nikaja 2019,
Nikajenga nyumba ya kupangisha
(Chumba na sebule self-iko 1, na chumba single self-iko 1)

Nikaja 2020
Nikanunua pagale la
Vyumba 2 na sebule self (HAIJAKAMILIKA BADO)

Nikaja 2021
Nikaongeza chumba na sebule hazina self- ziko 2

Mwaka huu,
Nnaujenz wa mdg wa nyumba 3
-nyumba 2 nazijengea fensi kuzunguka,
na nyumba 1 nnazoezi la kuinua kuta ili ipande hewan, kufunga gypsum board na kuiwekea tiles ili niipangishe kwa Ela ya juu kdg.

Ujenz bado unaendelea.....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nmeanza ujenzi 2011-
nikajenga nyumba yangu ya kwanza ya kuishi (3 bedrooms,kimoja master),
mwaka 2013 nilipofulia nikaiuza nikarudi kupanga.

Nikafata 2014,
Nikajenga nyumba ya biashara (fremu 2+ godown 1)

Nikaja 2015
Nikajenga nyumba nyingine ya kuishi,
(5 bedrooms, viwili master)

Nikaja 2017
Nikajenga nyumba ya biashara
(Vyumba 10,vyote master)

Nikaja 2018,
Nikajenga nyumba ya kupangisha
(Chumba na sebule self- ziko 3)

Nikaja 2019,
Nikajenga nyumba ya kupangisha
(Chumba na sebule self-iko 1, na chumba single self-iko 1)

Nikaja 2020
Nikanunua pagale la
Vyumba 2 na sebule self (HAIJAKAMILIKA BADO)

Nikaja 2021
Nikaongeza chumba na sebule hazina self- ziko 2

Mwaka huu,
Nnaujenz wa mdg wa nyumba 3
-nyumba 2 nazijengea fensi kuzunguka,
na nyumba 1 nnazoezi la kuinua kuta ili ipande hewan, kufunga gypsum board na kuiwekea tiles ili niipangishe kwa Ela ya juu kdg.

Ujenz bado unaendelea.....

Sent using Jamii Forums mobile app
Mzee unafanya Real estate au?
 
Mimi pia nilikua natishwa hivyo hivyo ila kujenga ni rahisi sana mzee
Mbinu unayotakiwa kutumia kwanza usijenge kama adhabu alaafu pili punguza matumizi yasiyo ya lazima na uanze ku save, ukisha save tenga kiasi Cha akiba alafu Anza ujenzi hakikisha ujenzi wako usiguse kabisa pesa ya akiba uliyo nayo.

Kama uliamua akiba yako iwe laki 3 fanya ufanyavyo tafuta hela tupia kwenye ujenzi ila huo ujenzi usiguse hiyo akiba yako, tafuta fundi akupigie hesabu ya vifaa na gharama za ufundi mtoe chake afanye kazi ila akiba yako ibaki palepale.
Epuka kujenga kwa kutumia hela zote Hadi kumaliza akiba yako yote utateseka zaidi na ujenzi hautakiwi uwe ni mateso.

Mbinu hizi za ujenzi tunatumia sisi wagangaa njaa na ukiweza kutumia hiyo mbinu utajenga Kama tajiri kumbe huna utajiri wowote na jengo litaisha bila maumivu

Hii akiba itakuwa ya kazi gani?
 
Ok
Kama una kiwanja sawa
Foundation andaa milion 4 (settings ya kiwanja laki 3, mawe trip 15 za cum 4.5 @110,000. Mchanga trip 5@120,000, nondo 50@26,000. BRC, cement 50@16,000 na tofali 1500 na ufundi.

Pagale tofali 3000@1200, nondo za linta 40, cement 80 au 100 ukimimina na nguzo za verandah,

Mbao za Kenchi ukiwa na milioni 2.5 na bati 130 kutegemea na grade andaa milioni 4.5 kwenye bati na ufundi

Kwa haraka haraka msingi hadi kuezeka sio chini ya milioni 25 hadi 30 kutegemea na eneo na uaminifu wa mafundi.
Nakubaliana na uchanganuzi wako kulingana na uzoefu nilionao
 
Ok
Kama una kiwanja sawa
Foundation andaa milion 4 (settings ya kiwanja laki 3, mawe trip 15 za cum 4.5 @110,000. Mchanga trip 5@120,000, nondo 50@26,000. BRC, cement 50@16,000 na tofali 1500 na ufundi.

Pagale tofali 3000@1200, nondo za linta 40, cement 80 au 100 ukimimina na nguzo za verandah,

Mbao za Kenchi ukiwa na milioni 2.5 na bati 130 kutegemea na grade andaa milioni 4.5 kwenye bati na ufundi

Kwa haraka haraka msingi hadi kuezeka sio chini ya milioni 25 hadi 30 kutegemea na eneo na uaminifu wa mafundi.
Barikiwa kwa nondo nzuri.

Vipi kuhusu ghorofa moja unaweza nisaidia hesabu zake tafadhali kama wajua.
 
Endeleeni kukatishana tamaa... Mtaani mama ntilie, muuza matunda, mwenye genge, machinga, fundi viatu hawa wote wanajenga nyumba nzuri tu... Mnaishia kuwaita wachawi freemason majambaz, wakat ukweli ni kwamba wakipata 10,000 basi 6,000 wanaitunza kwajili ya kununua matofali au cement...
Wengi mnasema kujenga ni kugumu kwasabab hamjui nini maana ya ramani, hamjui nini maana ya kiwanja, hamjui nini maana ya materials, hamjui kufanya utafiti wa bei za materials, bei za mafundi wazur wenye uzoefu, hamjui kukaa chini na kumpa masharti fundi (akiyashindwa aache kazi au atakosa malipo), fundi anekuambia zinahitajika cement mifuko 30 kazi ipo katikati anakuambia ongeza mifuko 20 unamchekea chekea tu lazima akuone fala akuchezee akili, kuna watu mnaokota raman hujui ina ukubwa gani 😂 hujui lolote unamwambia fundi wew jenga tu ilimradi nyumba ifanane na hii ramani, ktk mazingira haya lazima uone ujenz ni gharama...
Wewe kijana una biashara yako nzuri au una kazi nzuri ya uhakika miaka inazid kwenda upo umepanga chumba kimoja au chumba na sebule kazi yako kumlipa kodi mwanaume mwenzako are you stupid..? Bad enough ukute upo na Familia ktk nyumba ya kupanga... Kujenga ni jambo la kujitambua tu, haina haja kisa unajenga eti ushindwe kunywa bia kula vzuri au kununua nguo... Ni mpumbavu tu anayeweza kuogopa ujenzi mtakufa masikini ktk nyumba za watu...
 
Nmeanza ujenzi 2011-
nikajenga nyumba yangu ya kwanza ya kuishi (3 bedrooms,kimoja master),
mwaka 2013 nilipofulia nikaiuza nikarudi kupanga.

Nikafata 2014,
Nikajenga nyumba ya biashara (fremu 2+ godown 1)

Nikaja 2015
Nikajenga nyumba nyingine ya kuishi,
(5 bedrooms, viwili master)

Nikaja 2017
Nikajenga nyumba ya biashara
(Vyumba 10,vyote master)

Nikaja 2018,
Nikajenga nyumba ya kupangisha
(Chumba na sebule self- ziko 3)

Nikaja 2019,
Nikajenga nyumba ya kupangisha
(Chumba na sebule self-iko 1, na chumba single self-iko 1)

Nikaja 2020
Nikanunua pagale la
Vyumba 2 na sebule self (HAIJAKAMILIKA BADO)

Nikaja 2021
Nikaongeza chumba na sebule hazina self- ziko 2

Mwaka huu,
Nnaujenz wa mdg wa nyumba 3
-nyumba 2 nazijengea fensi kuzunguka,
na nyumba 1 nnazoezi la kuinua kuta ili ipande hewan, kufunga gypsum board na kuiwekea tiles ili niipangishe kwa Ela ya juu kdg.

Ujenz bado unaendelea.....

Sent using Jamii Forums mobile app

Mmmmm
 
Back
Top Bottom