👍😃😄
Vitu vya kiingereza... Blandering, skimming, plaster etc😄
Ujenzi si lelemama.
Sometimes i wish watu wa Nhc, wangekuwa wanajenga kwenye makazi ya kawaida ya watu kulingana na ramani ya mtu husika, then tunawalipa robo tatu au nusu. Robo ya gharama au nusu nyingine unalipa polepole.
Kuna watu kweli wanapata kiharusi (stroke) kwasababu ya ujenzi wanadhani ni kurogwa kumbe stress za ujenzi.
Na ukimpata fundi mwenye mawenge ndio balaa hatari. Anakutajia vifaa vingi ambavyo havitumiki vyote au anachanganya cement ratio isiyo sahihi., na ile inayomwagika chini haangaiki kuizoa.
Misumari ikidondoka kama hakuna wa kuokota imekula kwako. Bati au mbao zinakatwa vipande vipande bila mpangilio anajua una hela.