Kama hujajipanga vizuri usichokoze ujenzi

Kama hujajipanga vizuri usichokoze ujenzi

Inategemea kule mbali Bei rahisi ila karibu huku Bei ndefu kingine ukinunua kwa muhusika sio pesa ndefu unaweza kupata kwa 35k per square meter uko mbali hata 20k kwa square
IMG-20220917-WA0007.jpg
 
Mimi pia nilikua natishwa hivyo hivyo ila kujenga ni rahisi sana mzee

Mbinu unayotakiwa kutumia kwanza usijenge kama adhabu alaafu pili punguza matumizi yasiyo ya lazima na uanze ku save, ukisha save tenga kiasi Cha akiba alafu Anza ujenzi hakikisha ujenzi wako usiguse kabisa pesa ya akiba uliyo nayo.

Kama uliamua akiba yako iwe laki 3 fanya ufanyavyo tafuta hela tupia kwenye ujenzi ila huo ujenzi usiguse hiyo akiba yako, tafuta fundi akupigie hesabu ya vifaa na gharama za ufundi mtoe chake afanye kazi ila akiba yako ibaki palepale.

Epuka kujenga kwa kutumia hela zote Hadi kumaliza akiba yako yote utateseka zaidi na ujenzi hautakiwi uwe ni mateso.

Mbinu hizi za ujenzi tunatumia sisi wagangaa njaa na ukiweza kutumia hiyo mbinu utajenga Kama tajiri kumbe huna utajiri wowote na jengo litaisha bila maumivu
Natumai atakuwa ameelewa
 
mimi nina tabia ya kumwita fundi na kumuomba tathmini ya kila kitu hadi pesa yake then namwambia mimi nina kazi yangu mimi sio fundi tunaachana extra atajua yeye huwa nalipaa kwa interval na sinaga huruma kwa uzembe wowote.
 
mimi nina tabia ya kumwita fundi na kumuomba tathmini ya kila kitu hadi pesa yake then namwambia mimi nina kazi yangu mimi sio fundi tunaachana extra atajua yeye huwa nalipaa kwa interval na sinaga huruma kwa uzembe wowote.
Usithubutu kumuachia fundi Hela yote kiongozi,,, Kuna jamaa kamuachia fundi Hela Jana kapigiwa simu kuwa wameshafunga lenta ( hahaha! Wajinga wameweka nondo 1 Tena 10mm ) ndiyo jamaa kaamua kitu kishushwe kianze upya.
 
Mimi pia nilikua natishwa hivyo hivyo ila kujenga ni rahisi sana mzee

Mbinu unayotakiwa kutumia kwanza usijenge kama adhabu alaafu pili punguza matumizi yasiyo ya lazima na uanze ku save, ukisha save tenga kiasi Cha akiba alafu Anza ujenzi hakikisha ujenzi wako usiguse kabisa pesa ya akiba uliyo nayo.

Kama uliamua akiba yako iwe laki 3 fanya ufanyavyo tafuta hela tupia kwenye ujenzi ila huo ujenzi usiguse hiyo akiba yako, tafuta fundi akupigie hesabu ya vifaa na gharama za ufundi mtoe chake afanye kazi ila akiba yako ibaki palepale.

Epuka kujenga kwa kutumia hela zote Hadi kumaliza akiba yako yote utateseka zaidi na ujenzi hautakiwi uwe ni mateso.

Mbinu hizi za ujenzi tunatumia sisi wagangaa njaa na ukiweza kutumia hiyo mbinu utajenga Kama tajiri kumbe huna utajiri wowote na jengo litaisha bila maumivu
Huu ushauri umekaa vizuri unamotisha ndani yake na mbinu hasa hii ya akiba ujue kukiwa na kiakiba siku zote kinakupa confidence ya kuishi.
 
Uzi wa matajiri huu, majobless hawagusi huku kwa moto[emoji23][emoji23].

Anyway, before ujenzi hakikisha kabisa unajua nn unataka kufanya.

Usikurupuke ktk ujenz.

First of All juwa unahitaji nyumba ya aina gan, una bajeti gan in your hand, pia jua gharama kuanzia msingi mpaka finishing.

Hakikisha unamtafta mtahalamu wa ujenzi akupe full information ya ujenzi kuanzia aina ya ramani, eneo la ujenzi, vifaa vya ujenzi na bei zake, pia gharama za mafundi na ubora wao, bila kusahau muda muafaka wa kukamilisha ujenzi kwa mafundi wanapopewa kazi.

Pia hakikisha unapewa alternative ways za ku avoid gharama za ujenzi, mfano kwa kutumia baadhi ya materials cheap badala ya zile higher price, pia mbadala wa materials mfano kwa baadhi ya mikoa nchin unaweza tumia tofari za udongo za kuchoma badala ya tofali za blocks ambazo ni gharama,

let's say ujenzi wa nyumba mpaka kukamilika ni tofari elfu4, so piga hesabu 1block= 1000Tsh, so 4000blocks will be 4millions[emoji23][emoji23]asee gharama za bati hizi, lkn kama unge avoid kwa njia mkato utanunua tofar za kuchoma zile za 100/200Tsh per one, ambapo kama idadi 4000 basi itakuwa 100×4000 = 400,000Tsh[emoji23][emoji23] ela ndogo sana ambapo unaweza ongezea na zingine za fensi,

Kamwe usijenge kwa kufuata mkumbo, nyumba ni nyumba haijalishi imejengwa kwa tofar gan, lamsingi tutakutana kwenye Finishing[emoji23][emoji23].

Pia hata ktk bati, kama unaona kabisa bajeti haitosh basi usisite kuachana na msouth kamatia bati hiz hizi za kawaida na zipige rangi moja TAAAM ambayo itazuia bati kuchakaa haraka pia kuleta muonekano mzuri.

Mengine jiongeze.
Kamwe usikurupuke kuanza kutafta mafund wakat hujui bei ya siment wala nondo na hujui gharama halali za mafundi ktk level mbalimbali ktk ujenzi.

Na hakikisha huyo mtahalam ama fundi aliyekupa hizi infor hahusiki na ujenzi bali ushauri tu, epuka kupigwa.

Baada ya kujua yote hayo sasa jipange na mahela yako utajua unaanzaje ujenzi awamu kwa awamu kulingana na bajeti yako tena kwa muda sahihi,
Hapa sasa Mkuu
Na hakikisha huyo mtahalam ama fundi aliyekupa hizi infor hahusiki na ujenzi bali ushauri tu, epuka kupigwa.

tupeane mbinu maana wengi ili akupe taarifa anategemea atapata kazi
 
👍😃😄
Vitu vya kiingereza... Blandering, skimming, plaster etc😄
Ujenzi si lelemama.

Sometimes i wish watu wa Nhc, wangekuwa wanajenga kwenye makazi ya kawaida ya watu kulingana na ramani ya mtu husika, then tunawalipa robo tatu au nusu. Robo ya gharama au nusu nyingine unalipa polepole.

Kuna watu kweli wanapata kiharusi (stroke) kwasababu ya ujenzi wanadhani ni kurogwa kumbe stress za ujenzi.

Na ukimpata fundi mwenye mawenge ndio balaa hatari. Anakutajia vifaa vingi ambavyo havitumiki vyote au anachanganya cement ratio isiyo sahihi., na ile inayomwagika chini haangaiki kuizoa.

Misumari ikidondoka kama hakuna wa kuokota imekula kwako. Bati au mbao zinakatwa vipande vipande bila mpangilio anajua una hela.
Hivi hamna makampuni yanyofanya hivi??
Maana stress zaidi ni kufanya kila kitu wewe, na hii ni kwasababu tu ya ukata maana mafundi hawachelewi kukuliza.

Ni bora kampuni isimamie afu wewe utakua unalipa mdo mdo.
 
Kwa nyumba hizi zetu za kawaida sehemu inayoumiza ni ile ya kupaua, aisee

Yani ile hatua inataka na kesh

Lakini kwingine unaenda mdogo mdogo hata kama una elfu 50 unafanya kitu
 
Kwa nyumba hizi zetu za kawaida sehemu inayoumiza ni ile ya kupaua, aisee

Yani ile hatua inataka na kesh

Lakini kwingine unaenda mdogo mdogo hata kama una elfu 50 unafanya kitu
Ukipaua, hiyo elfu hamsini unafanyia kitu gani kwenye nyumba
 
Ukipaua, hiyo elfu hamsini unafanyia kitu gani kwenye nyumba
Unaweza hata kupiga plasta mfuko mmoja mmoja.mfuko 15 ufund 15.usafir buku mbao ya jukwaa kukod siku 3 elf 2.
15
+ 15
2
Total 32.baki 13
 
Tunauza mbao kwa bei ya jumla na rejareja :-
2*2 fut12=2500
2*3 fut 12=3500
2*2 fut12(treated) ya dawa=2800
2*2 fut18(treated) ya dawa=5000
2*4 fut12 treated(ya dawa)=5000
2*4 fut12 isiyo ya dawa=4500
1*6 fut12=4500
1*8 fut12=8500
1*8fut12 ya fisher board(treated)=9500
1*10 fut12=14000
1*10fut 12 fisher board( treated)=15000
2*4 fut18(treated)=10000
2*6 fut12=8000
1*4 fut12=2800
2*6 fut 18=19000
Tunapatikana muda wote kwa namba za simu zifuatazo:-
----0759630751
----0654830416

vile vile kuna huduma ya kuchana,kuranda na kusize mbao inapatikana ofisini kwetu pia Tunafanya delivery kwa wakazi wa Dar es salaam
Ofisi zetu zipo Tegeta kibaoni-Bagamoyo road
 
👍😃😄
Vitu vya kiingereza... Blandering, skimming, plaster etc😄
Ujenzi si lelemama.

Sometimes i wish watu wa Nhc, wangekuwa wanajenga kwenye makazi ya kawaida ya watu kulingana na ramani ya mtu husika, then tunawalipa robo tatu au nusu. Robo ya gharama au nusu nyingine unalipa polepole.

Kuna watu kweli wanapata kiharusi (stroke) kwasababu ya ujenzi wanadhani ni kurogwa kumbe stress za ujenzi.

Na ukimpata fundi mwenye mawenge ndio balaa hatari. Anakutajia vifaa vingi ambavyo havitumiki vyote au anachanganya cement ratio isiyo sahihi., na ile inayomwagika chini haangaiki kuizoa.

Misumari ikidondoka kama hakuna wa kuokota imekula kwako. Bati au mbao zinakatwa vipande vipande bila mpangilio anajua una hela.
Hivyo vitu vya Kiingereza ni vya ziada. Cha muhimu ukisha paua na kuweka mlango mmoja basi hamia.
 
Akiba inaguswa pale zinapotokea dharura kama ugonjwa,ajali,misiba,safari na mambo mengine ambayo huwa hayapo katika mipango hapo ndipo sehem sahihi ya kupeleka akiba yako ila kwa ww unaeishi kwa shemeji unalala sebuleni kama Tv akiba siyo ya muhimu kwako na Wala huwezi kujua ina umuhimu gan
nmeipenda hii nadharia ya kulala sebuleni km Tv
 
Back
Top Bottom