Mwananchi wa chini
JF-Expert Member
- Jul 23, 2013
- 227
- 599
Moja ya dalili za mwanaume aliekomaa kiakili ni yule ambae mtakosana kwa jambo dogo lakini baadae atakupigia simu na mtaongea hatakasirika siku nzima ..
Kwa sababu anajua yeye ni mwanaume ...
wanaume wa hivyo wanajua wana mambo mengi ya kuweka akilini na sio ugomvi kati yake na mke wake ambae ni sawa mwanae niliyepewa kama zawadi na Mungu kama msaidizi wske.
Mmeamrishwa kuishi nasi kwa akili lakini Ajabu ni pale mume anapotumia nguvu nakukabiliana na mapungufu ya wake au wenza wao.
Kama hujakomaa kiakili... (huna akili) usioe. Umri,mwili mkubwa na mali zako haziwezi kukufanya kuwa mume bora kwa mke wako kinyume chake utakuwa mwanaume kwa mkeo.
Kabla ya kumlaumu mkeo kwamba hafai na niwahovyo na kwamba wanawake wote ni sawa, jiulize wewe umefanya jitihada zipi kumfanya akutii katika mambo yote,akuheshimu na kukupenda?...
Ukweli mchungu ni huu...Baadhi ya wanaume wamekuwa wakipoteza nguvu nyingi sana kumshambulia mwanamke na kuweka mapungufu ya mwanamke as if wanaume wote ni malaika.
Hili njambo ni lahovyo na linadumisha mno ustawi wa ujenzi wa familia zisizo na Amani kwa kuwa wanaume hamuambiani Ukweli hamtaki kufundishana ila mnapongezana hata pasipo stahili ili kulinda uanaume wenu.
Jambo ambalo ni tofauti kidogo kwa wanawake.
Japo hupingana lakini huthubutu kuelezana.
Hili likitokea na kwa wanaume kuna namna fulani ya sintofahamu ndoani zitapungua.
Zaidi ya yote wanaume wamekuwa walalamikaji kama ambavyo wanawake walioumizwa na wanaume washenzi wanavolalamika.
Utasikia mwanaume akiwaita wanawake wote ni mashetani, na kujinadi kwamba wameoa ili wapumzishe akili zao.
Sasa blaza utapumzisha akili gani wakati akili zenyewe za kupumzisha hauna.....
Mtaniwia radhi sana kama nimewakwaza, ila ukweli ndio huo.
Ni kweli kabisa wanawake wasumbufu wapo hilo sipingi .
Wanawake walioshindwa kulinda ndoa zao wapo na ndio hawa wanaobwata kwamba wanaume wote ni washenzi lakini tutambue kwamba hatutakiwi kuimba wimbo wa wengine wenye maumivu yao....
Chukua mmoja mwenye mapungufu mkamilishe awe bora kama unavyotaka utafuta dhana ya wanawake wote ni sawa.
Wapo wanofurahia utamu wa ndoa na mahusiano ukiwaambia hivyo watakuona chizi....
Wewe kama ulikumbana na malikia wako mkaishi poa na akaja kukugeuka mithili ya lishetani usiseme wengine kwa ujumla wao kwamba hawana maana...
Kila mmoja anacheza ngoma yake ni midundo ni tofauti pia
Nakutakia siku njema
Kwa sababu anajua yeye ni mwanaume ...
wanaume wa hivyo wanajua wana mambo mengi ya kuweka akilini na sio ugomvi kati yake na mke wake ambae ni sawa mwanae niliyepewa kama zawadi na Mungu kama msaidizi wske.
Mmeamrishwa kuishi nasi kwa akili lakini Ajabu ni pale mume anapotumia nguvu nakukabiliana na mapungufu ya wake au wenza wao.
Kama hujakomaa kiakili... (huna akili) usioe. Umri,mwili mkubwa na mali zako haziwezi kukufanya kuwa mume bora kwa mke wako kinyume chake utakuwa mwanaume kwa mkeo.
Kabla ya kumlaumu mkeo kwamba hafai na niwahovyo na kwamba wanawake wote ni sawa, jiulize wewe umefanya jitihada zipi kumfanya akutii katika mambo yote,akuheshimu na kukupenda?...
Ukweli mchungu ni huu...Baadhi ya wanaume wamekuwa wakipoteza nguvu nyingi sana kumshambulia mwanamke na kuweka mapungufu ya mwanamke as if wanaume wote ni malaika.
Hili njambo ni lahovyo na linadumisha mno ustawi wa ujenzi wa familia zisizo na Amani kwa kuwa wanaume hamuambiani Ukweli hamtaki kufundishana ila mnapongezana hata pasipo stahili ili kulinda uanaume wenu.
Jambo ambalo ni tofauti kidogo kwa wanawake.
Japo hupingana lakini huthubutu kuelezana.
Hili likitokea na kwa wanaume kuna namna fulani ya sintofahamu ndoani zitapungua.
Zaidi ya yote wanaume wamekuwa walalamikaji kama ambavyo wanawake walioumizwa na wanaume washenzi wanavolalamika.
Utasikia mwanaume akiwaita wanawake wote ni mashetani, na kujinadi kwamba wameoa ili wapumzishe akili zao.
Sasa blaza utapumzisha akili gani wakati akili zenyewe za kupumzisha hauna.....
Mtaniwia radhi sana kama nimewakwaza, ila ukweli ndio huo.
Ni kweli kabisa wanawake wasumbufu wapo hilo sipingi .
Wanawake walioshindwa kulinda ndoa zao wapo na ndio hawa wanaobwata kwamba wanaume wote ni washenzi lakini tutambue kwamba hatutakiwi kuimba wimbo wa wengine wenye maumivu yao....
Chukua mmoja mwenye mapungufu mkamilishe awe bora kama unavyotaka utafuta dhana ya wanawake wote ni sawa.
Wapo wanofurahia utamu wa ndoa na mahusiano ukiwaambia hivyo watakuona chizi....
Wewe kama ulikumbana na malikia wako mkaishi poa na akaja kukugeuka mithili ya lishetani usiseme wengine kwa ujumla wao kwamba hawana maana...
Kila mmoja anacheza ngoma yake ni midundo ni tofauti pia
Nakutakia siku njema