mbalizi1
JF-Expert Member
- Dec 16, 2015
- 21,057
- 41,992
Hakika twende fundi mkuu wanguTwende tukatembee basi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakika twende fundi mkuu wanguTwende tukatembee basi
Tanga Ina traffic light maeneo matatu, relini karibu na uwanja wa Moira wa CCM Mkwakwani, Toyota kuelekea bombo hospitali na bandari lakini pia makororora hospitali pamoja na usagara shule ya msingiIjue Tanga Mjini Na Maajabu Yake.
Katika maisha yako jitahidi sana walau siku moja ufike Tanga, utakuja kunishukuru… Haya jionee maajab ya jiji la Tanga
1. Ikifika Saa 3 usiku Hakuna Daladala Utaona Barabarani...
Ngoja basi mfungo uishe tukale rahaHakika twende fundi mkuu wangu
Nasubiria fundi mkuu wangu😆Ngoja basi mfungo uishe tukale raha
Uzushi tu huo.Vipi ishu za uchawi. Naskia unaweza ukachezewa tu bila kua na tatizo na mtu wala nini
Kama daladala.Tanga nyumba zao kama wapemba, nyumba lazima iwe korido ndefu halafu vyumba kila upande kama guest house.
Mkija naomba niwe mwenyeji wenu, msiache kufika forodhani, hakika mtapapendaNgoja basi mfungo uishe tukale raha
Karibu kwako mkuuTanga my motherland 😘
Usijali tutakujulisha.Mkija naomba niwe mwenyeji wenu, msiache kufika forodhani, hakika mtapapenda
Karibuni sanaUsijali tutakujulisha.
Uzushi wapi?Uzushi tu huo.