Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
lete ushaidi wa huyuu bebe aiseee😅😅Atakuwa anatania. Maana mshindi nilishapatikana. Sijui kwanini mpaka sasa shindano linaendelea.
[emoji16][emoji16][emoji16] wacha kunichafulia CV yangu[emoji28][emoji28][emoji28] pole aisee weee hutoki
juzi tuu umeniita mkuu aisee 🤣🤣 lete ushaidi wahuyuu aone aibu[emoji16][emoji16][emoji16] wacha kunichafulia CV yangu
Mimi sijawahi kulitajaNawasilisha kama kichwa kinavyosema. Hilo neno ndio identity ya JF kama hujawahi kulitaja iwe topic au kwenye comment yeyote nakupa million sasa hivi.
Yataje maneno mengine hapa ambayo ni identity.
Kaniaibisha sana huyu jamaa kumbe huwa anakoments[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mzee wa kulike
[emoji23] [emoji23]mwamba kazama kutafuta ushaidi
Hahahahahaaaaa aya buana.Asante kwa kushirikiView attachment 1627590
Huyu mbuzi dawa yake ni kufungua ID mpya tu😂Wapo wale waliojiunga jeiefu jana
Mkuu kitambo sana, umepotelea wapi?Wapo wale waliojiunga jeiefu jana
Vigezo na masharti kuzingatiwa.Huyu mbuzi dawa yake ni kufungua ID mpya tu[emoji23]