Kama hujui English unaweza kutongoza kweli?

Kama hujui English unaweza kutongoza kweli?

ha ha ha ndio yeye jina lake tofauti na mashairi yake, umesema tayari una TF maana yake nini?

Mimi nilimpataga my wife wangu mwenyewe kwa kumwandikia mistari ya hardcore hip hop 🙂

Nilikuwa napita tu:car::car:
 
eti nini??

Kiswahili ngumu bana,you know whats up how you doin shawty, do you feel me, can i have your number so that me and you can hook sometime you know i love a down to earth chick like you...ha ha ha ha bongo nomaaa mazeee
 
mmmh hiyo safi sana dear..
mimi bado napenda ile style ya zamani ya kutongozwa hahah lol
barua, poem/mashairi na vitu kama hivyo..
tena kwa lugha ya kiswahili ndo tamu zaidi lol


nilimaanisha niko na The Finest lol

ha ha ha safi sana huyo bonge namfahamu sana ni mtu mkarimu na mwema, hapo hujafanya kosa, na pledge 25 elfu tu, kwa harusi yenu

Nilikuwa napita tu:car::car:

Mkuu Hongera Finest Afrodanzi
 
Kiswahili ngumu bana,you know whats up how you doin shawty, do you feel me, can i have your number so that me and you can hook sometime you know i love a down to earth chick like you...ha ha ha ha bongo nomaaa mazeee

ebu andika hiyo kitu kwa kiswahili naomba
hahahhah lol
 
umeshajaza zile paper lol

Klorokwin, Uporoto na Magulumangu wanasubiria majibu
hahahahhahaahhaah lol

Hajazi mtu hapa halafu wewe na voice of reason subiri utakuta dawa yako kwenye ile thread kule nikiwa sipo kumbe ndio zako
 
ha ha ha safi sana huyo bonge namfahamu sana ni mtu mkarimu na mwema, hapo hujafanya kosa, na pledge 25 elfu tu, kwa harusi yenu



Mkuu Hongera Finest Afrodanzi


ooohh dear
asante
lakini huko kwenye harusi sijui lol
 
Hajazi mtu hapa halafu wewe na voice of reason subiri utakuta dawa yako kwenye ile thread kule nikiwa sipo kumbe ndio zako

mmmhh vipi wewe umesahau na Pearl
kumbe unajua jinsi inavyouma aee..

na bado..
jaza hizo paper nazipitia..
hahahah lol
 
pearl kafanya nn jamani?mm singo and not searching mbn hamnielewi?
mmmhh vipi wewe umesahau na Pearl
kumbe unajua jinsi inavyouma aee..

na bado..
jaza hizo paper nazipitia..
hahahah lol
 
aa mkuu sori man si unajua mambo ya haraka haraka upo job huku umezama fasta JF
nsharekebisha lakini

Ivunga kwa kweli unavituko sana dear..
nilikuwa nasubiri uniangukie na maneno makali
kama kawaida yako lol

lakini mmmhhh hapana leo umeamua kunipa senks lol
naona leo umeamkia upande mzuri wa kitanda dear..
asante..
 
Napita tu hapa...:car::car:
habari zenyu binafsi
 
Back
Top Bottom