Kama hujui English unaweza kutongoza kweli?

Kama hujui English unaweza kutongoza kweli?

nilikuwa tu nataka kuchek mapigo yako ya moyo!mi nimekuachia ww bana siwezi mambo hayo bado umri hauniruhusu mpz
mmmhhh
si weye na TF mlikuwa mnafurahishana kipindi fulani
nini kulikoni..??
mbona hata hakusalimii??
 
nilikuwa tu nataka kuchek mapigo yako ya moyo!mi nimekuachia ww bana siwezi mambo hayo bado umri hauniruhusu mpz

mmhh hiyo safi na asnte..
lakini muda si mrefu na ye ataingia kwenye hilo
group la single sijui kuhusu search tho lol
 
Mambo poa mtu wangu niambie mzima wewe? hebu niambie TF alitumia lugha gani?

mie mzima lakini naona huyu ndugu yako TF anazidi nitimua nyongo
hahahahah lol..

mie ananiongelesha lugha nyeupe ya wageni..
na mie nataka ya kwetu..
mmmmhh anaanza kunishinda nguvu dear..

hahahhahaha lol
 
mie mzima lakini naona huyu ndugu yako TF anazidi nitimua nyongo
hahahahah lol..

mie ananiongelesha lugha nyeupe ya wageni..
na mie nataka ya kwetu..
mmmmhh anaanza kunishinda nguvu dear..



hahahhahaha lol

Kiiraq bana kigumu nilijing'ata ulimi siwezi rudia tena banaa
 
Back
Top Bottom