Kama hujui English unaweza kutongoza kweli?

Kama hujui English unaweza kutongoza kweli?

Kiswahili ngumu bana,you know whats up how you doin shawty, do you feel me, can i have your number so that me and you can hook sometime you know i love a down to earth chick like you...ha ha ha ha bongo nomaaa mazeee

bado hii,
you know wanna am saying baby
I like chick baby,you no...
wanna party tonight,
feel you baby!!!
 
Kiswahili ngumu bana verse ziko mbali sana hadi mtu uzitafute sanaaa

sasa ndo maanake..
kunyesha unanipenda, unanijali, unanitaka
itabidi ufanye juu chini kuonyesha ...

hata kama kitu ni kigumu kiasi gani unatakiwa ujaribu...
hayo maneno meupe ni marahisi maana hayana busara nyingi
nani marahisi sana kuyatamka..

sasa siyatakiiiiiii..lol
 
Unataka sasa niku:shut-mouth::shut-mouth::shut-mouth:mdomo usiongee tena naona mnataka kuniua kabla ya siku zangu hazijafika

sasa siujaze tu yaishe dear lol

mmmhhh ngoja Dena arudi..
yule ndo kiboko yako lol
 
sasa ndo maanake..
kunyesha unanipenda, unanijali, unanitaka
itabidi ufanye juu chini kuonyesha ...

hata kama kitu ni kigumu kiasi gani unatakiwa ujaribu...
hayo maneno meupe ni marahisi maana hayana busara nyingi
nani marahisi sana kuyatamka..

sasa siyatakiiiiiii..lol

Embe dodo, embe dodo limelala mchangani kwa uba na mazoea uwe wangu wa milele
 
:smash::smash::smash:

:fear::fear::fear::fear:

na bado
hahahahah lol

Kiswahili ngumu bana verse ziko mbali sana hadi mtu uzitafute sanaaa

haya basi mi tajaza ajili yako lol:disapointed:

hahahha lol

:nono::nono:😛layball:😛layball:

Unataka sasa niku:shut-mouth::shut-mouth::shut-mouth:mdomo usiongee tena naona mnataka kuniua kabla ya siku zangu hazijafika

sasa ndo maanake..
kunyesha unanipenda, unanijali, unanitaka
itabidi ufanye juu chini kuonyesha ...

hata kama kitu ni kigumu kiasi gani unatakiwa ujaribu...
hayo maneno meupe ni marahisi maana hayana busara nyingi
nani marahisi sana kuyatamka..

sasa siyatakiiiiiii..lol

sasa siujaze tu yaishe dear lol

mmmhhh ngoja Dena arudi..
yule ndo kiboko yako lol
Hii ndo tongoza ya kisasa ama?
 
hawana lolote mimi wakianzaga izo mbwembwe nawaongeleshaga kiitaliano,akili inawakaa sawa
 
Embe dodo, embe dodo limelala mchangani kwa uba na mazoea uwe wangu wa milele

hahahhhahaahhah lol
uuhhh mbavu zangu sina hamu lol

aaaiiiiii kweli umenichekesha..
uanitongoza kama tuko shulea vijidudu lol
aaaa we hufai lol
 
Hai Baba_Enock, longi tyme not seen, what makes you bize?

By ze way, unapendilia kinywaji geni?

Ok, serengeti colid,!

I sink we nidi to eati somesing, sawa ehe?

kukhu nusu na chpzi meyai is inafu for me!
 
Back
Top Bottom