Kama huko inbox mambo ndio haya, wanaume turudi shule

Kama huko inbox mambo ndio haya, wanaume turudi shule

Ungeelewa anatokea sehemu gani hata usingepost. wanaume wa sehemu zingine hatupo hivyo.[emoji44] [emoji44] [emoji44] [emoji44]
Haahha sasa wewe unautani na akina Ngosha?
 
Haha mie mwenyewe mgEni ebu we we stunter mwaga sum zako usikute ndo wale wale
 
HII NI CHATING INBOX
Mkaka: hi!
Mdada: helow!
Mkaka: Mambo!?
Mdada: Poa.
Mkaka: Inakuwaje
Mdada: Fresh tu
Mkaka: Shwari kabisa?
Mdada: Shwari tu..
Mkaka: Mishe zinakwenda poa!
Mdada: Poa tu
Mkaka: Mambo mengine?
Mdada: Poa tu
Mkaka:ehe Nambie sasa...
Mdada: Poaz
Mkaka: hata mi nko poa vp michongo?
Mdada: Poa tu
Mkaka: Pande zipi mrembo....
Mdada: Nipo home
Mkaka: Pande zipi hizo mi nipo Mwanza
Mdada: Dar
Mkaka: kwema pande hizo
Mdada: kwema tu
Mkaka: Maisha yanasemaje?
Mdada: Poa tu
Mkaka: Familia iko poa Mdada: Poa tu
Mkaka: SAMAHANI HIVI UNAISHI NA
WAZAZI AMA UMEOLEWA? Na kama umeolewa je
unaionaje ndoa?
Mdada: kimya..
Baada ya dakika mbili mdada akamblock yule
mkaka......
**Wakati mwingine tunawalaumu bure akina dada
eti wanadharau huko Inbox. Sasa jamani kweli huyu
mtu huyu!! Unamsaidiaje hata kama ni wewe...Yaani
salamu imerudiwa weee mpaka kero halafu
mwishowe anauliza swali la ghafla tu ka mpu.mbavu
vile!!!
Yani nakuunga mkono kwa asilimia 100% coz imetoka kunitokea sasa ivi, kuna boy mmoja anaitongoza yani kanikera hatar hana tofaut kabisa na hy post, kwa kwel wanume warud shule
 
Mimi sizani kama ni PM tu hata huku whatsapp, fb mambo ni hayo hayo!!!

NB: Si kwamba huyo mtu hana madini, ni kwamba demu ana mtu wake na hana interest na jamaa!! ukiona hivyo angalia kushoto kulia alafu vuka barabara kwa speed kubwa kabisa!!! mara nyingi hao watu wakipigwa chini wanarudi tena kwa hao walio wakataa guess what is happen, storry inamgeukia tena demu!!
No sio wote wanakuwa wapo na mtu, bt anamua bora abk single kuliko kuwa na mtu kama hy
 
Yani nakuunga mkono kwa asilimia 100% coz imetoka kunitokea sasa ivi, kuna boy mmoja anaitongoza yani kanikera hatar hana tofaut kabisa na hy post, kwa kwel wanume warud shule
Three idiot mbona unamwaga siri zangu? Kama ulikuwa hunipendi si ungenambia tu kule kule inbox? Hahhaa
 
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] Kazi kwelikweli.
 
wat if huyo mkaka hana interest na huyo mdada.kwann unamfosi amwingize kingi?
 
Kuna alokuwa na wazo la kuanzisha chuo cha kijamii cha mapenzi angetoboa
 
Madada nao haawanaga story yaani anasubiri wewe tu umuulize kitu yeye aitikie, sasa kila ukitafuta point ya kuongea unaona haifai unabaki kuzunguka tu hapohapo kwenye salamu.
 
Mmawia mtafutieni ajira hapo "ufipa" huyu kijana maana kutwa nzima anawaza kuleta thread za ovyo tu.
 
Madada nao haawanaga story yaani anasubiri wewe tu umuulize kitu yeye aitikie, sasa kila ukitafuta point ya kuongea unaona haifai unabaki kuzunguka tu hapohapo kwenye salamu.
mkuu hiyo ni dalili mbaya... sizani kama kuna mtu ana interest na wewe akujibu kama ivo.... chunga heshima yako mkuu...kimbia!!
 
Back
Top Bottom