Eeeh hatutaki mafekeche fekeche [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwamba tuwe wawazi.. Waamue wenyewe sasa sio?
Oouk nimo
Mnataka black nd white sioEeeh hatutaki mafekeche fekeche [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
EeehMnataka black nd white sio
Hshah ngumu saana sitopewa nafasi.. Zaidi yakuchezea block au ignoreEeeh
Hshah ngumu saana sitopewa nafasi.. Zaidi yakuchezea block au ignore
Ujiamini huna kitu?Hahaaaa Jiamini
Nipo kama konokono
Ishakuwa kero sasa, kila siku wanaume tunasimangwa.
Sasa ili kuweka rekodi sawa, hapa ni wale tusiokuwa na gari wala nyumba.
Wadada mtuvumilie jamani, hatuna ila tunakomaa kuzitafuta.
Khaaaa!!
Ishakuwa kero sasa, kila siku wanaume tunasimangwa.
Sasa ili kuweka rekodi sawa, hapa ni wale tusiokuwa na gari wala nyumba.
Wadada mtuvumilie jamani, hatuna ila tunakomaa kuzitafuta.
Khaaaa!!
Hicho hicho kidogo lakini cha kwako si mafekeche fekeche [emoji23][emoji23][emoji23]Ujiamini huna kitu?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Pesa yako unaishia kuvalia tu? Na kuhonga wadada wa JF [emoji16]
Kuna dadakule kwny grp la whtsap kakusifia kwa kuhonga mkuu eti ww huna mkono wa birika kala sana bata go n return za arusha kwa bombadier
Sema suuAkuu me ukishaanza kujisifia sifia kwangu tegemea dharau za hali ya juu na block ikiwa inakufuata....sipendi wanaume wapenda sifa mie
Pesa yako unaishia kuvalia tu? Na kuhonga wadada wa JF [emoji16]
Kuna dadakule kwny grp la whtsap kakusifia kwa kuhonga mkuu eti ww huna mkono wa birika kala sana bata go n return za arusha kwa bombadier