Kama huna hela usioe pisi kali

Kama huna hela usioe pisi kali

Acha kujifariji mkuu, wanawake wapo na siri nyingi sana. Kifupi hakuna pisi kali itakaa na wewe katika mazingira yasiyoeleweka sema kuna mdosi mmoja anapigwa hela ili kukupunguzia wewe majukumu coz unapendwa otherwise iwe pisi ya kawaida tu kama wale matellers wa UBA pale buguruni.
Eeeh, sasa kama huyo mdosi ni faller kwa nini asipigwe hela?
 
We jidanganye, pisi ikikupenda itafanya vyote huku inalia. ikianza kuzingua unailoga isiondike. siwezi kukubali aisee yani pesa sina na pisi nipate mbovu kwahyo sisi wengine duniani tumekuja kupata vitu vibaya vibaya.
 
Hahaha mkuu toto moja la ki oman ataly sana na shule kaenda.
Mimuombe nini tena mungu mimi.
Mkuu demu akikuelewa kakuelewa t.
Na wanapendaga bila sababu hawa viumbe.
Anza kutafuta hela mapema mwanamme mzima kukili kuwa unalishwa na demu siyo sifa kuna kipindi utakuja na pipa la machozi humu.
 
Kuoa pisi kali huku huna hela au hela yako ni ya mawazo ni kutafuta magonjwa ya moyo na presha. Kwa sababu zifuatazo:-
  • Pisi kali haijui kutumia kuni
  • Pisi kali haijui kulima
  • Pisi kali haijui kuchumia ng'ombe majani
  • Pisi kali haijui kushinda njaa
  • Pisi kali haijui kula vyakula vya kawaida
  • Pisi kali haijui kutembea kwa miguu
  • Pisi kali haijui kutumia magari ya bei nafuu
  • Pisi kali haijui kuzaa watoto zaidi ya wawili
  • Pisi kali muda wowote inataka kiyoyozi
  • Pisi kali haijui kama leo huna hela n.k
Kazi kwenu.
Eeeeh pisi kali ni wadada wa kisukuma tu achana na hao kina nanii wa kukwambia kala sushi kumbe kapiga ugali dagaa

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Huwa nautaratibu wa kununua kila kitu cha mwezi mzima kuanzia mboga na vyakula.

Sa nikaanza relationship na ki-graduate kimoja chenyewe kinajifanya kwao mambo safi.

Kiakili kako vizuri tu na kanajitambua kimaisha.

Weakness yake ni kwenye misosi, mvivu kupika, anachojisikia kula kwa wakati huo ndio ukatafte regadless kipo ndani na kinaweza kupikwa au la;
Unakuta jioni kapika msosi fresh tu halafu badae anakuambia mi sijisikii kula hiki chakula nataka chips kuku au na mishikaki...heh maajabu

Nikaona isiwe kesi nikawa nanunua viazi hata ndoo nzima ili akisikia hamu akaange. Viazi vitaoza hapo wala hana mpango.

Vijana tuwe makini sana kwenye selection. Siko nae tena maana sio kwa nyodo zile. Mambo mengine yote yuko fresh ila hapo ndio balaa.
 
Huwa nautaratibu wa kununua kila kitu cha mwezi mzima kuanzia mboga na vyakula.

Sa nikaanza relationship na ki-graduate kimoja chenyewe kinajifanya kwao mambo safi.

Kiakili kako vizuri tu na kanajitambua kimaisha.

Weakness yake ni kwenye misosi, mvivu kupika, anachojisikia kula kwa wakati huo ndio ukatafte regadless kipo ndani na kinaweza kupikwa au la;
Unakuta jioni kapika msosi fresh tu halafu badae anakuambia mi sijisikii kula hiki chakula nataka chips kuku au na mishikaki...heh maajabu

Nikaona isiwe kesi nikawa nanunua viazi hata ndoo nzima ili akisikia hamu akaange. Viazi vitaoza hapo wala hana mpango.

Vijana tuwe makini sana kwenye selection. Siko nae tena maana sio kwa nyodo zile. Mambo mengine yote yuko fresh ila hapo ndio balaa.
Mkuu na mimi nipo na binadamu wa aina hiyo na mbaya zaidi kanasa mimba, aisee ilibidi nimwambie tu ukweli aangalie biashara ya kufanya baada ya kujifungua nimfungulie siwezi kuishi na binadamu Aina yake.
 
Back
Top Bottom