Kama huna Milioni 30 usimtafute Mc Gara B kwenye sherehe yako

Kama huna Milioni 30 usimtafute Mc Gara B kwenye sherehe yako

Watu 200 evarage ya kila mtu atumie elfu 20 (elfu 10 chakula ,elfu 10 vinywaji) itacost 2m.

MC laki 5 tu

Mziki laki 3

Logistic 1m ,coaster nne.

Honey money hotel zanzibar laki 2 per day ,unakaa siku 5 ,Total 1m and extra 1m. (2m)

Ukiwa na 7m unafanya harusi vizuri tu ,hiyo 30m break down ikoje?
Ukumbi je,au utafanyia barabarani?
 
Nadhani alimaanisha bajeti ya harusi nzima na sio pesa anayolipwa yeye binafsi. Ila tu social media managers wa clouds wakaona watengeneze title ya kufanya post iende mjini
Kama ni hivyo mbona wanamuwekea kauzibe jamaa, M30 sio mchezo kwa MC pekee
 
Be MATURED hata kidogo please. Hata kama ni kutafuta comments SIO hivi.
ALIULIZWA HIVI:Ili Sherehe iwe nzuri inahitaji budget kiasi gani??
Ndio akasema kama sherehe itakuwa angalau na watu 200 inahitaji total cost ya Sherehe iwe 30M kwa maana ya ku cover kila KITU. Na akalezea venue set up, buffet set-up, n.k nk.... it's very reasonable kwa kuwa ukichukua wastani (Average) ya wageni 200 kwa 30M maana yake kila invitee amechanga 150K which is reasonable.

Sina any interest na GaraB lakini Kuna immaturity ya hawa Gen Z humu jukwaani Ina undermine JF.
Dunia hii, haina usawa! Juzi Jumamosi, tulikuwa na harusi Mkoa mmoja kanda ya ziwa. Jumla ya michango ilikuwa 14M.
Zawadi tulitoa 3M. Mc tulimlipa 350,000/=Ukumbi 1,200,000/=. Tulikuwa na watu 246.
Watu walikula, kunywa na kusaza. Kupanga, ni kuchagua. Gharama zingine, ni za kujitakia!

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
 
Be MATURED hata kidogo please. Hata kama ni kutafuta comments SIO hivi.
ALIULIZWA HIVI:Ili Sherehe iwe nzuri inahitaji budget kiasi gani??
Ndio akasema kama sherehe itakuwa angalau na watu 200 inahitaji total cost ya Sherehe iwe 30M kwa maana ya ku cover kila KITU. Na akalezea venue set up, buffet set-up, n.k nk.... it's very reasonable kwa kuwa ukichukua wastani (Average) ya wageni 200 kwa 30M maana yake kila invitee amechanga 150K which is reasonable.

Sina any interest na GaraB lakini Kuna immaturity ya hawa Gen Z humu jukwaani Ina undermine JF.
Kwahiyo dogo ameongeza chumvi? Mjinga sana.
 
Back
Top Bottom