King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Mc gani wa kumlipa 3m? Ukumbi gani wa milioni 10 kwa watu 200? Gharama za ukumbi haitakiwi kuzidi 3m na mc laki 5 tu.Keki
Peke milion kumi ukumbi 10M Mc 3, milion saba chakula
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mc gani wa kumlipa 3m? Ukumbi gani wa milioni 10 kwa watu 200? Gharama za ukumbi haitakiwi kuzidi 3m na mc laki 5 tu.Keki
Peke milion kumi ukumbi 10M Mc 3, milion saba chakula
Ukumbi je,au utafanyia barabarani?Watu 200 evarage ya kila mtu atumie elfu 20 (elfu 10 chakula ,elfu 10 vinywaji) itacost 2m.
MC laki 5 tu
Mziki laki 3
Logistic 1m ,coaster nne.
Honey money hotel zanzibar laki 2 per day ,unakaa siku 5 ,Total 1m and extra 1m. (2m)
Ukiwa na 7m unafanya harusi vizuri tu ,hiyo 30m break down ikoje?
Kama ni hivyo mbona wanamuwekea kauzibe jamaa, M30 sio mchezo kwa MC pekeeNadhani alimaanisha bajeti ya harusi nzima na sio pesa anayolipwa yeye binafsi. Ila tu social media managers wa clouds wakaona watengeneze title ya kufanya post iende mjini
Sawa,chakula na vinywaji vya wageni,meza viti,nk, vyote juu yake yeye au iyo mil.30 za kupiga porojo zake,MC Gara B anasema ili aje afanye kazi nzuri kwenye sherehe yako basi ubaoni andaa Milioni 30.
Kwako mwalimu kashasha…View attachment 3147172
Kama wale wapuuzi wa CCMWanaongezaga 0 mbele
Kuna 10% nono sana hapoMC Gara B anasema ili aje afanye kazi nzuri kwenye sherehe yako basi ubaoni andaa Milioni 30.
Kwako mwalimu kashasha…View attachment 3147172
Wanafeli hawajui kuna watu wakiiona hii taarifa ndio wanakata shauri la kutokufanya nae kazi kwa kuepuka gharama.Sema inafika muda sasa hizi media wajue kama wanaweza kuuwa brand ambayo mtu amejenga kwa kitambo. Hakusema hivyo, alisema ili sherehe yako inoge at least iwe na bajeti ya 30m
HahHa wana mbwmbw kweli hawa...mln 30 etiLabda kama ataandaa kila kitu ye mwenyewe, kunzia msosi had ukumb
HahHa wana mbwmbw kweli hawa...mln 30 eti
Utasikiaaa mm brand kubwaaa
Ova
Dunia hii, haina usawa! Juzi Jumamosi, tulikuwa na harusi Mkoa mmoja kanda ya ziwa. Jumla ya michango ilikuwa 14M.Be MATURED hata kidogo please. Hata kama ni kutafuta comments SIO hivi.
ALIULIZWA HIVI:Ili Sherehe iwe nzuri inahitaji budget kiasi gani??
Ndio akasema kama sherehe itakuwa angalau na watu 200 inahitaji total cost ya Sherehe iwe 30M kwa maana ya ku cover kila KITU. Na akalezea venue set up, buffet set-up, n.k nk.... it's very reasonable kwa kuwa ukichukua wastani (Average) ya wageni 200 kwa 30M maana yake kila invitee amechanga 150K which is reasonable.
Sina any interest na GaraB lakini Kuna immaturity ya hawa Gen Z humu jukwaani Ina undermine JF.
Ni kweli kuna baadhi ya watu watamtoa kwenye ratiba zao kwa kuamini hawawezi kumpataKama ni hivyo mbona wanamuwekea kauzibe jamaa, M30 sio mchezo kwa MC pekee
Yaah kumbe wala jamaa katoa ushauri murua kabisa ila clouds wameubadili na kuibadili maana kabisaNi kweli kuna baadhi ya watu watamtoa kwenye ratiba zao kwa kuamini hawawezi kumpata
Gara nani sjui anasema yy branddd 😄Afu kuwa mc ni rahisi sana, uongeaj tu na kujiamin. Kitaa washkaj weng tu wanapiga hizo mishe kwa bei chee.
LAbda labda apewe laki na nusuHata angetoa 0 mwisho, bado nisingempa. Sherehe ni kula na kunywa, tukilewa wala huwa hatuhitaji kujua umahiri wa MC
Je, analipa kodi ya serikali?MC Gara B anasema ili aje afanye kazi nzuri kwenye sherehe yako basi ubaoni andaa Milioni 30.
Kwako mwalimu kashasha…View attachment 3147172
Kwahiyo dogo ameongeza chumvi? Mjinga sana.Be MATURED hata kidogo please. Hata kama ni kutafuta comments SIO hivi.
ALIULIZWA HIVI:Ili Sherehe iwe nzuri inahitaji budget kiasi gani??
Ndio akasema kama sherehe itakuwa angalau na watu 200 inahitaji total cost ya Sherehe iwe 30M kwa maana ya ku cover kila KITU. Na akalezea venue set up, buffet set-up, n.k nk.... it's very reasonable kwa kuwa ukichukua wastani (Average) ya wageni 200 kwa 30M maana yake kila invitee amechanga 150K which is reasonable.
Sina any interest na GaraB lakini Kuna immaturity ya hawa Gen Z humu jukwaani Ina undermine JF.
kwani huwa ananini chaziada kwenye sherehe siyo lazma awepoMC Gara B anasema ili aje afanye kazi nzuri kwenye sherehe yako basi ubaoni andaa Milioni 30.
Kwako mwalimu kashasha…View attachment 3147172