Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eti brandddd yake kubwa 😄Ujinga ujinga tu. Kwa kipi hasa atakachoongeza kwenye event lets say harus mfano, mpaka umpe 30m?? Kwa kazi gani hasa?? Kuongea ongea tu????
Gara nani sjui anasema yy branddd
AiseeMC Gara B anasema ili aje afanye kazi nzuri kwenye sherehe yako basi ubaoni andaa Milioni 30.
Kwako mwalimu kashasha…View attachment 3147172
Tatizo la kutaka reactions ndo hiloYaah kumbe wala jamaa katoa ushauri murua kabisa ila clouds wameubadili na kuibadili maana kabisa
Hujamuona kule kwa tivii, kwenye kipindi cha MR RIGHT, warembo wakitafuta (wakiigiza) waume? Kila demu anasema, anataka apate mwanaume kama GALA'BIIIII!!!Angekuwa brand tungemuana kwenye events kubwa kama fashion shows na international events au hata kuwa host kwenye shows za mainstream media.
Sasa yeye hata kidhungu tu kinampiga chenga afu anajiita brand kisa kawa maarufu kwa watu wa buza.
Hujamuona kule kwa tivii, kwenye kipindi cha MR RIGHT, warembo wakitafuta (wakiigiza) waume? Kila demu anasema, anataka apate mwanaume kama GALA'BIIIII!!!
Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
lakini alieleta mada kacopy hyo quote kutoka page ya cloudsBe MATURED hata kidogo please. Hata kama ni kutafuta comments SIO hivi.
ALIULIZWA HIVI:Ili Sherehe iwe nzuri inahitaji budget kiasi gani??
Ndio akasema kama sherehe itakuwa angalau na watu 200 inahitaji total cost ya Sherehe iwe 30M kwa maana ya ku cover kila KITU. Na akalezea venue set up, buffet set-up, n.k nk.... it's very reasonable kwa kuwa ukichukua wastani (Average) ya wageni 200 kwa 30M maana yake kila invitee amechanga 150K which is reasonable.
Sina any interest na GaraB lakini Kuna immaturity ya hawa Gen Z humu jukwaani Ina undermine JF.
Sawa kabisa! Sherehe ni kula na kunywa. Huwa nashangaa sana kwa nini watu huwa wanapoteza pesa kumlipa "msema chochote".Dunia hii, haina usawa! Juzi Jumamosi, tulikuwa na harusi Mkoa mmoja kanda ya ziwa. Jumla ya michango ilikuwa 14M.
Zawadi tulitoa 3M. Mc tulimlipa 350,000/=Ukumbi 1,200,000/=. Tulikuwa na watu 246.
Watu walikula, kunywa na kusaza. Kupanga, ni kuchagua. Gharama zingine, ni za kujitakia!
Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app