Kama huna Milioni 30 usimtafute Mc Gara B kwenye sherehe yako

Hilo jina tu si zaidi ya laki tatu. Jina la kiuno, nani akuite kwenye sherehe yake, mwisho kwenye kumbukumbu unasikia jina hili.
 
Gara nani sjui anasema yy branddd

Angekuwa brand tungemuana kwenye events kubwa kama fashion shows na international events au hata kuwa host kwenye shows za mainstream media.

Sasa yeye hata kidhungu tu kinampiga chenga afu anajiita brand kisa kawa maarufu kwa watu wa buza.
 
Niliwahi kushiriki maandalizi ya harusi moja gauni LA harusi LA Bibi harusi lilikuwa halizidi laki 2 na siku amevaa waalikwa walipendeza zaidi yake. Ajabu MC alikuwa gara B na alilipwa million 3 cash.
Chakula plate moja kwa phili cake ilikuwa elf 30 akapunguza elf 29.
Sasa hii million 3 si Bora angemuita MC pilipili amlipe laki 5 tuu kuliko kupoteza hela...
Chakula cha huyu mwamba pia lilikuwa below standard ...
Harusi nzuri ni mipango tu na kupata watoa huduma sahihi ila sio kutumia gharama kubwa
 
Angekuwa brand tungemuana kwenye events kubwa kama fashion shows na international events au hata kuwa host kwenye shows za mainstream media.

Sasa yeye hata kidhungu tu kinampiga chenga afu anajiita brand kisa kawa maarufu kwa watu wa buza.
Hujamuona kule kwa tivii, kwenye kipindi cha MR RIGHT, warembo wakitafuta (wakiigiza) waume? Kila demu anasema, anataka apate mwanaume kama GALA'BIIIII!!!

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
 
lakini alieleta mada kacopy hyo quote kutoka page ya clouds
 
Sawa kabisa! Sherehe ni kula na kunywa. Huwa nashangaa sana kwa nini watu huwa wanapoteza pesa kumlipa "msema chochote".
 
Hapo ndipo nilipoamua kwenda na mshenga wangu, nikaoa mida ya 12 jioni, mke wangu nikaweka begani, usafiri wangu uko wapi, dereva mshenga, kufika mtaani tukaingia ndani kesho asubuhi wanamuona mama mtu anafagia uwanja.
 
Haifiki
ILa ma Mc nao wamekuja na ile MC /MPIGA PICHA/MZIKI yani hao wote wanatoka kwa Gara B wanakwambia kufanya kazi na Mziki tofauti hawatoelewana pamoja na mpiga picha tofauti! Kwahiyo unakuta Mziki mil1 /picha labda package ya mil 2.5 na Mc Mil 3/4 unakuta anachukua kama mil 6/7 wanaletaga pia entertainers
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…