Kama hutaki kupigana vita vya kutumia nguvu za kiroho Mungu/giza kamwe sahau maisha safi! Utaishia kuwa masikini!

Kama hutaki kupigana vita vya kutumia nguvu za kiroho Mungu/giza kamwe sahau maisha safi! Utaishia kuwa masikini!

Morning_star

JF-Expert Member
Joined
Apr 21, 2018
Posts
6,042
Reaction score
17,320
Kuna wazazi hawataki watoto wao waongoze darasani kwa kuogopa kulogwa! Kuna watu wakichomoza katika biashara watagundua adui wake wa kwanza ni shetani baada ya kuanza kutupiwa majini na ndoto za mashambulizi usiku na nyoka/wanga/unawindwa kuuawa! Kama una ndoto za kuwa kiongozi kama ujajijenga kiroho usithubutu! Hawa viongozi kabla ya kuja kwetu kuomba kura uanzia kwenda kwa waganga wa kienyeji na kuloga wapiga kura wake kwenye njia panda na kuwalisha kwenye ndoto nyama za maiti kuingia nao maagano alafu anakuja kwenu kwenye campaign kuomba kura kwa unyenyekevu wakati kaishawamaliza kiroho! Kama hutaki kupambana usiombe kuwa mkuu idara ndo utagundua wachawi ni staff wenzako (hii inawahusu waajiriwa). Hitimisho! Jipange kupambana! Jipime nguvu zako vinginevyo utaendelea kuwa masikini na fukara na hutoboi! Huna nguvu ,za kiroho huwezi oa/olewa na binti/kijana utaishia kwa makahaba/singlemother/sugarmam. Hila nakushauri mtafute Mungu yupo wa kukusaidia lakini mtafute kwa bidii hapatikani kwa urahisi vinginevyo utaishia kwa makuhani wa shetani wanajiita manabii! Mimi na nyumba yangu tutamtumainia Bwana kwa kumtafuta na nguvu zake!
 
Ukitaka mafanikio haraka inabidi ufanye makubaliao na mapepo(demons).

Chuo kikubwa cha uchawi duniani, The Gronelberg University of Sorcery and Mysticism, kimeanza kutoa scholarships nyingi kwa watu wa nchi mbalimbali.

Sasa ukienda kule ukachukua shahada yako ya uchawi wa mapepeo(bachelor's degree in occult demonology), haya mambo yatakuwa mepesi sana.
 
Ukitaka mafanikio haraka inabidi ufanye makubaliao na mapepo(demons).

Chuo kikubwa cha uchawi duniani, The Gronelberg University of Sorcery and Mysticism, kimeanza kutoa scholarships nyingi kwa watu wa nchi mbalimbali.

Sasa ukienda kule ukachukua shahada yako ya uchawi wa mapepeo(bachelor's degree in occult demonology), haya mambo yatakuwa mepesi sana.
Aisee
 
Kuna wazazi hawataki watoto wao waongoze darasani kwa kuogopa kulogwa! Kuna watu wakichomoza katika biashara watagundua adui wake wa kwanza ni shetani baada ya kuanza kutupiwa majini na ndoto za mashambulizi usiku na nyoka/wanga/unawindwa kuuawa! Kama una ndoto za kuwa kiongozi kama ujajijenga kiroho usithubutu! Hawa viongozi kabla ya kuja kwetu kuomba kura uanzia kwenda kwa waganga wa kienyeji na kuloga wapiga kura wake kwenye njia panda na kuwalisha kwenye ndoto nyama za maiti kuingia nao maagano alafu anakuja kwenu kwenye campaign kuomba kura kwa unyenyekevu wakati kaishawamaliza kiroho! Kama hutaki kupambana usiombe kuwa mkuu idara ndo utagundua wachawi ni staff wenzako (hii inawahusu waajiriwa). Hitimisho! Jipange kupambana! Jipime nguvu zako vinginevyo utaendelea kuwa masikini na fukara na hutoboi! Huna nguvu ,za kiroho huwezi oa/olewa na binti/kijana utaishia kwa makahaba/singlemother/sugarmam. Hila nakushauri mtafute Mungu yupo wa kukusaidia lakini mtafute kwa bidii hapatikani kwa urahisi vinginevyo utaishia kwa makuhani wa shetani wanajiita manabii! Mimi na nyumba yangu tutamtumainia Bwana kwa kumtafuta na nguvu zake!
Hivi hizi kanuni zenu nyie wakristo, zipo applicable hata kwa wachina,Korea, Japan, Dubai, Hongkong nk,?
Maana ni nyie tu mkitaka kutoboa maisha ni, mnakimbilia kanisani kukesha, Mambo yakienda mlama,mnaanza kuomba, June na kwa lugha, kukesha kwa manabii wenu wa mchongo! Kutafuta ufumbuzi,
Hamtumii sayansi, wala critical thinking,
Cha ajabu mnatumia tools, kama smartphone, mitandso yackijamii, magari, ambayo yametengenezwa na watu wanaomjua Mungu, lakini hawafanyi upuuzi wenu, wanatumia bongo zao kutatua changamoto za kimaisha,
Kule Dar, miradi yote ya mwendokasi wana Jenga wahandisi wa china, wa bongo, ni vibarua tu wakuelekezwa, ikifika jioni, mbongo anaenda home, kuomba Mungu ampe kipato zaidi, watoto wake wapasi shuleni, apate mums, mke,mchina anaenda zake casino kucheza kamari,wakati huo mtoto wake, yupo home, na computer, anajifunza sayansi, wakati mtoto wa mbongo, anaenda Sunday School, madrasa kujifunza dini!
Mbongo anasubili pepo huko mbinguni, Wenzetu wakatengeneza pepo Yao hapa hapa
 
Hivi hizi kanuni zenu nyie wakristo, zipo applicable hata kwa wachina,Korea, Japan, Dubai, Hongkong nk,?
Maana ni nyie tu mkitaka kutoboa maisha ni, mnakimbilia kanisani kukesha, Mambo yakienda mlama,mnaanza kuomba, June na kwa lugha, kukesha kwa manabii wenu wa mchongo! Kutafuta ufumbuzi,
Hamtumii sayansi, wala critical thinking,
Cha ajabu mnatumia tools, kama smartphone, mitandso yackijamii, magari, ambayo yametengenezwa na watu wanaomjua Mungu, lakini hawafanyi upuuzi wenu, wanatumia bongo zao kutatua changamoto za kimaisha,
Kule Dar, miradi yote ya mwendokasi wana Jenga wahandisi wa china, wa bongo, ni vibarua tu wakuelekezwa, ikifika jioni, mbongo anaenda home, kuomba Mungu ampe kipato zaidi, watoto wake wapasi shuleni, apate mums, mke,mchina anaenda zake casino kucheza kamari,wakati huo mtoto wake, yupo home, na computer, anajifunza sayansi, wakati mtoto wa mbongo, anaenda Sunday School, madrasa kujifunza dini!
Mbongo anasubili pepo huko mbinguni, Wenzetu wakatengeneza pepo Yao hapa hapa
Nakazia🔨
 
Back
Top Bottom