White drone
JF-Expert Member
- Mar 20, 2023
- 201
- 386
Mtumie ka elfu hamsini uone kama ata-muteNiende moja kwa moja kwenye mada, siku hizi kupata namba za simu za mwanamke imekuwa ni jambo rahisi sana bila kujali mazingira mnayokutana. Changamoto inaanzia baada ya kupata hiyo namba mtu unamtafuta aidha kwa kumpigia, kwa text au whatsapp lakini mtu hatoi ushirikiano. Kama unajijua wewe ni mgumu kwanini utoe namba kirahisi? Mnatukatisha tamaa, mm binafsi kuanzia leo siombi namba ya mwanamke yeyote mahari popote!!
Sasa si waseme kama wanauza nambaMtumie ka elfu hamsini uone kama ata-mute
Jicho la mweweee ILO kaona mbali Binti wa watuNiende moja kwa moja kwenye mada, siku hizi kupata namba za simu za mwanamke imekuwa ni jambo rahisi sana bila kujali mazingira mnayokutana. Changamoto inaanzia baada ya kupata hiyo namba mtu unamtafuta aidha kwa kumpigia, kwa text au whatsapp lakini mtu hatoi ushirikiano. Kama unajijua wewe ni mgumu kwanini utoe namba kirahisi? Mnatukatisha tamaa, mm binafsi kuanzia leo siombi namba ya mwanamke yeyote mahari popote!!
Asanteh, bora nikae single maisha yotePole
Yaan mpaka mfumo ukubali labda asiwe Shahid wa yehova uyooKuringa ni tabia yao, lakini ukienda nao taratibu Kwa uvumilivu ipo siku utafanikiwa kupata ulichokitaka, Huwa wanakuwa wasumbufu mwanzoni lakini wakishaingia kwenye mfumo mambo yanakuwa safi
Wanazingua sana, yaani kwa mwezi naweza kupata namba mpya zaidi ya kumi lakini nikijitahidi ni mmoja tuJicho la mweweee ILO kaona mbali Binti wa watu
Focus kwenye maisha kwanza hao unaowahangaika sasa watakuja wenyewe tuAsanteh, bora nikae single maisha yote
Bora hata imenishauri kitu cha maanaFocus kwenye maisha kwanza hao unaowahangaika sasa watakuja wenyewe tu
Wanazingua sana, yaani kwa mwezi naweza kupata namba mpya zaidi ya kumi lakini nikijitahidi ni mmoja tu
Mimi hilo jambo limekua likinitatiza sana utakuta mwanamke kaolewa anatoa no kizembe kwa mtu ambaye hata hawajawah kuonana na hakuna uhusiano wowote huo ni umalaya jirekebisheniNiende moja kwa moja kwenye mada, siku hizi kupata namba za simu za mwanamke imekuwa ni jambo rahisi sana bila kujali mazingira mnayokutana. Changamoto inaanzia baada ya kupata hiyo namba mtu unamtafuta aidha kwa kumpigia, kwa text au whatsapp lakini mtu hatoi ushirikiano. Kama unajijua wewe ni mgumu kwanini utoe namba kirahisi? Mnatukatisha tamaa, mm binafsi kuanzia leo siombi namba ya mwanamke yeyote mahari popote!!
Tatizo unakuta ni chomboo halafu mazingira yanaruhusu unaogopa utaonekana huna madharaUsiombe namba pita kushoto apite kulia na salamu usijitese sana wanawake sio viumbe wa kuwazingatia
Nitakuja pm mkuu unipe hintsHaui seriously na kazi mi mbona Kila nikigusa walete mpaka nahisi mdomon mwangu Kuna Dawa
Embu anza na miamala alfu tuone🤣🤣🤣Niende moja kwa moja kwenye mada, siku hizi kupata namba za simu za mwanamke imekuwa ni jambo rahisi sana bila kujali mazingira mnayokutana. Changamoto inaanzia baada ya kupata hiyo namba mtu unamtafuta aidha kwa kumpigia, kwa text au whatsapp lakini mtu hatoi ushirikiano. Kama unajijua wewe ni mgumu kwanini utoe namba kirahisi? Mnatukatisha tamaa, mm binafsi kuanzia leo siombi namba ya mwanamke yeyote mahari popote!!
Asanteh sanaa