Kama hutaki kutongozwa funga pm!

Kama hutaki kutongozwa funga pm!

Hurumaa ? wakat raha kutongozwa yan nasikia raha kumuendesha mtu anayenitongozaaa anavyohangaikaaaa basi nakuwa namtisha kwa masifaa kedeee anabak anatetemeka tu
Bro naye ulimtetemesha
 
Hurumaa ? wakat raha kutongozwa yan nasikia raha kumuendesha mtu anayenitongozaaa anavyohangaikaaaa basi nakuwa namtisha kwa masifaa kedeee anabak anatetemeka tu
Ukizoea mitongozo one out of 100 utakuingia!
 
Kutongozwa ni fursa.cyo wote huwa wanatongozwa so ukipata hiyo fursa mshukuru mungu
 
Back
Top Bottom