FourTwoNet
JF-Expert Member
- Aug 4, 2022
- 1,236
- 2,512
- Thread starter
- #21
Yani unauliza kwanini chumvi inataste kama chumvi? Hii lazma mtu apewe za utosi maanake...ni sawa na mwananume kumvurugia mwanaume mwenzie maisha....especially kama una watoto wa kiume....iyo ni bro code gani unawafundisha. Kwa sababu men learn to be men from their fathers....inabidi watu wafokewe hapa ivi...hapana ambiwa pole pole! Kwani we ni Humphrey?Mkuu mbona kama katika Uzi wako unatufokea hivi........