Kama huyo mkeo hujamkuta bikra fukuza huyo mzinzi

Wewe unaongelea bikra wakati watu humu wameoa wake waliowakuta na watoto wawili kila mtoto na baba yake. Inamaana huyo mke ametembea na watu zaidi ya wawili lkn wanaishi na kuheshimiaana vzr.
 
Duh hii sio poa. Tukifuata huu ushauri wako itabidi dunia iumbwe upya tuanze moja.
 
Wewe unaongelea bikra wakati watu humu wameoa wake waliowakuta na watoto wawili kila mtoto na baba yake. Inamaana huyo mke ametembea na watu zaidi ya wawili lkn wanaishi na kuheshimiaana vzr.
sio mimi ni kauli za vijana wa kisasa hebu, washauli wafukuze hao wake zao waanze upya
 
Fukuzia kwa jirani umuone mzinzi wako akinawiri.
 
Ukweli mchungu sana huu!...ni kweli wengi tumeoa mademu za watu na wengi wanaendeleza mahusiano yao ya awali angali wako ndoani!!pamoja na ukwel huu timilifu,hatuwafukuz wake zetu ng'oo!
 
mbona kwenye nyuz za fukuza msaliti mpo namba moja kutoa matamko, ya kwamba mzinz havumiliki vp leo mmepatwa na nini?? Mi nimetoa tu kanuni na adhabu kwa mwenye kustail hy adhabu
TUSOME MAJIBU YA YESU KRISTO ALIPOLETEWA MASHTAKA DHIDI YA MWANAMKE MZINIFU KATIKA BIBLIA (INJILI YA YOHANA 8:3-11)

[3]Waandishi na Mafarisayo wakamletea mwanamke aliyefumaniwa katika uzinzi, wakamweka katikati.

[4]Wakamwambia, Mwalimu, mwanamke huyu amefumaniwa alipokuwa akizini.

[5]Basi katika torati, Musa alituamuru kuwapiga kwa mawe wanawake namna hii; nawe wasemaje?

[6]Nao wakasema neno hilo wakimjaribu, ili wapate sababu ya kumshitaki. Lakini Yesu akainama, akaandika kwa kidole chake katika nchi.

[7]Nao walipozidi kumhoji, alijiinua, akawaambia, Yeye asiye na dhambi miongoni mwenu na awe wa kwanza wa kumtupia jiwe.

[8]Akainama tena, akaandika kwa kidole chake katika nchi.

[9]Nao waliposikia, wakashitakiwa na dhamiri zao, wakatoka mmoja mmoja, wakianzia tangu wazee hata wa mwisho wao; akabaki Yesu peke yake, na yule mwanamke amesimama katikati.

[10]Yesu akajiinua asimwone mtu ila yule mwanamke, akamwambia, Mwanamke, wako wapi wale washitaki wako? Je! Hakuna aliyekuhukumu kuwa na hatia?

[11]Akamwambia, Hakuna, Bwana. Yesu akamwambia, Wala mimi sikuhukumu. Enenda zako; wala usitende dhambi tena.
 
Naam Darlin
 

Na ukijua ni Mtumba Basi jishushe uwe mpole uache kutafuta kumpamda mumeo kichwani.
Ujeuri na mashindano na Mwanaume yanini ambae ukute ndio tegemeo lako?
 
Hivi watu wanajua kuwa bikra hutoka hata kwa kuendesha baiskeli tu?
 
Acha gubu mbona baba ako hajamfukuza mama yako? 😹😹😹
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…