Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sio mimi ni kauli za vijana wa kisasa hebu, washauli wafukuze hao wake zao waanze upyaWewe unaongelea bikra wakati watu humu wameoa wake waliowakuta na watoto wawili kila mtoto na baba yake. Inamaana huyo mke ametembea na watu zaidi ya wawili lkn wanaishi na kuheshimiaana vzr.
TUSOME MAJIBU YA YESU KRISTO ALIPOLETEWA MASHTAKA DHIDI YA MWANAMKE MZINIFU KATIKA BIBLIA (INJILI YA YOHANA 8:3-11)mbona kwenye nyuz za fukuza msaliti mpo namba moja kutoa matamko, ya kwamba mzinz havumiliki vp leo mmepatwa na nini?? Mi nimetoa tu kanuni na adhabu kwa mwenye kustail hy adhabu
Naam DarlinKuna vitu vinatafakarisha sana hasa ukiwafikiria vijana wanavyodai na kumchukia mwanamke msaliti, sasa tuweke sawa, ni hivi kuna baadhi ya wanaume tunasemaga, ukimkuta mkeo kakusaliti au ana dalili za usaliti fukuza!! Hapa ieleweke kwamba anaetakiwa kumfukuza mkewe andapo amemkuta kamsaliti ni yule mwanaume ambaye alimkuta/umemkuta mke wako bikra, yaani hajawahi kufanya mapenzi,, ila kwa mwenzangu na mimi kama hujamkuta mke wako bikra, na ukajiunga kwenye msafara wa mamba na wakati wewe kenge mwenzangu hebu fukuza. kabla hata hajakusaliti maana unaishi na mzinzi sugu, tena mke wa mtu na wewe unaridhi dhambi ya uzinzi hebu fukuzaa asije akaleta mikosi ndio mana nyumba kila day ugomvi mara kakunyima, mara kakununia, matatizo yote ya nini fukuzaa kama bwai iwe bwai fukuzaaaa simmeamua hamtaki usaliti sasa hujamkuta bikra huo si usaliti au mnaongeleaga usaliti gani? Hebu Fukuzaa
Kuna vitu vinatafakarisha sana hasa ukiwafikiria vijana wanavyodai na kumchukia mwanamke msaliti, sasa tuweke sawa, ni hivi kuna baadhi ya wanaume tunasemaga, ukimkuta mkeo kakusaliti au ana dalili za usaliti fukuza!! Hapa ieleweke kwamba anaetakiwa kumfukuza mkewe andapo amemkuta kamsaliti ni yule mwanaume ambaye alimkuta/umemkuta mke wako bikra, yaani hajawahi kufanya mapenzi,, ila kwa mwenzangu na mimi kama hujamkuta mke wako bikra, na ukajiunga kwenye msafara wa mamba na wakati wewe kenge mwenzangu hebu fukuza. kabla hata hajakusaliti maana unaishi na mzinzi sugu, tena mke wa mtu na wewe unaridhi dhambi ya uzinzi hebu fukuzaa asije akaleta mikosi ndio mana nyumba kila day ugomvi mara kakunyima, mara kakununia, matatizo yote ya nini fukuzaa kama bwai iwe bwai fukuzaaaa simmeamua hamtaki usaliti sasa hujamkuta bikra huo si usaliti au mnaongeleaga usaliti gani? Hebu Fukuzaa