Nehemia Kilave
JF-Expert Member
- Jan 9, 2022
- 1,414
- 3,118
Anadai kama vijiji vingine wamekubali wao hawakubaliNjombe Moja hiyooooo 😄😄🔥
Na wewe umetawaliwa na laana (CCM) toka uzaliwe!Ccm ni laana ya Taifa
Na wewe umetawaliwa na laana (CCM) toka uzaliwe!
Serious ?Ccm ni laana ya Taifa
Hawa ndio wanaitwa responsible citizens!Habari JF, katika pita pita zangu nimekutana na hii clip, mzee anaongea kwa uchungu katika mkusanyiko wa kijiji.
Kaenda mbali mpaka kuuliza kwamba Tanzania hii wanaojua kusoma na kuandika ni CCM peke yao tu.
Kama anavyoongea ni kweli, sisi ni nani tusiwe na mashaka na hiki Chama?
View attachment 2754666
CCM imepayuka Sana kiitikadi na imefilisika ki Sera .Msikieni zee anakwambia CCM wanambinu 52 zinatumika mbili tu.inamaana mbinu 50 bado azijatumika zipo store,,,shkamoo CCM😂😅
Msikieni zee anakwambia CCM wanambinu 52 zinatumika mbili tu.inamaana mbinu 50 bado azijatumika zipo store,,,shkamoo CCM😂😅
🤣🤣🤣🤣Msikieni zee anakwambia CCM wanambinu 52 zinatumika mbili tu.inamaana mbinu 50 bado azijatumika zipo store,,,shkamoo CCM😂😅
Msikieni zee anakwambia CCM wanambinu 52 zinatumika mbili tu.inamaana mbinu 50 bado azijatumika zipo store,,,shkamoo CCM😂😅
HakikaHawa ndio wanaitwa responsible citizens!