Kama huyu ndio msimamizi wa Uchaguzi basi tusubirie maumivu

Kama huyu ndio msimamizi wa Uchaguzi basi tusubirie maumivu

Kama kuna Nchi ya ajabu basi Tanzania ni mojawapo, ni Nchi yenye VIONGOZI wasio na maono Kabisa.

Huyu ni Waziri eti akiwa Kwenye jezi za CCM
View attachment 3083673
Na kubaki madarakani lazima waue
Huyu jamaa ana madarka kama Mungu yaani kufuru anafuta uwepo wa wamasai Ngorongoro—- kufuru

Nitashangaa kama wamasai watampa hata kura moja huku bibi
 
Hii maana yake dhamira yao kubwa ni madaraka tu kwa njia yoyote na si kuhudumia wananchi na wala si kuwaongoza wananchi kujipatia maendeleo.

Watanzania tukae tukijua kwamba hawa watu hawatokubali kuachia madaraka kwa njia ya amani hata wakishindwa kwenye box la kura hawa watu ni aina ya virusi hatari kuwahi kutokea katika dunia hii.

Tumuombe Mwenyezi Mungu atumie uwezo wake kuviangamiza hivi virusi hatari kabla havijaliangamiza taifa lake tukufu na watu wake,Ameen.
 
Muda utatupatia jibu, Tanzania inahitaji Rais Mwanaume kutoka Bara na Makamu Mwanaume kutoka visiwani. Wawe ni wenye hofu ya Mungu, tamaa ya kujilimbikizia mali kwa ajili ya vizazi vyao imepitwa na wakati.
 
Kama kuna Nchi ya ajabu basi Tanzania ni mojawapo, ni Nchi yenye VIONGOZI wasio na maono Kabisa.

Huyu ni Waziri eti akiwa Kwenye jezi za CCM

View attachment 3083673
Kwa nguvu na uwezo wa Mungu Baba wa mbinguni, muumba wa mbingu na nchi itatokea na mpaka yeye na mama mkwe wake watashangaa mshangao wa kuwapeleka kwenye mauti yao moja kwa moja.....

Nchi hii ikitoka mikononi mwao, kikubwa WASIJE WAKAKIMBIA NCHI MAANA NI LAZIMA WALIPIE MADHAMBI YAO HAYA...!

Huyu ndiye aliyetoa GN kufuta vijiji vyote vya tarafa ya Ngorongoro.....

Anadhani nchi na taifa hili zuri la Tanganyika ni la lake na mama mkwe wake Samia Suluhu Hassan, Mzanzibari, siyo.....?
 
Mhe.waziri amenikumbusha enzi za Sadam Hussein na waziri wake jina nimesahau.
Mimi kanikumbusha harakati za Mugabe kutaka arithiwe na mkewe hadi Mnangagwa (aliyekuwa makamu wa Mugabe) kuikimbia nchi.

Unakumbuka alichokisema aliyekuwa mkuu wa vijana wa ZANU? Aliishia kuomba radhi baada ya wanajeshi kuukataa mpango ovu wa Mugabe kurithiwa na mkewe.
 
Kuna koloni linaitwa Danganyika linatawaliwa na malkia toka nchi ya mbali sana ijulikanayo kama Zenjibar. Malkia huyu anatumia dola kubakia madarakani na anachota hela nyingi Sana na kuzipeleka kwao.
 
Yaani huyu ndiye msimamizi wa huu uchaguzi wa serikali za mitaa unaokuja ndio maana raia hawana hata mzuka wa kwenda kujisajili au kuhusisha taarifa zao kwenye daftari la mpiga kura .
Mimi wenyewe binafsi najihisi uzito sana kwenda kwenye kituo ingawaje wanapita kila siku wakitangaza twende tukajisajili au kuhusisha taarifa .
Kuna uwezekano mkubwa sana hata kama nikiwa mzima wa afya na nipo Tanzania nisipige kura yaani na ile kauli ya nape kule bukoba naona kabisa upigaji kura hapa tanzania kwa sasa ni mchezo wa kuigiza
 
Bado watanzania wengi wanahitaji elimu ya hii demokrasia ya vyama vingi na hizi siasa za vyama vingi.

Lakini pia bado Watanzania wengi tunahitaji kufundishwa nini maana ya uongozi, kiongozi ni mtu wa namna gani na nini kazi yake hasa.
Wananchi wanahitaji nini kutoka kwa kiongozi na kiongozi unahitaji nini kutoka kwa kiongozi.

Watanzania pia tunahitaji sana kujua nini utumishi wa umma na nini utumishi wa chama, wakati gani unakuwa mtumishi wa umma na wakati gani unakuwa mtumishi wa chama.

Wananchi na viongozi wa umma wanapaswa kufundishwa ni nini kazi ya vyombo vya dola na nafasi yao hasa kwenye uongozi ni nini.
Vyombo vyote vya dola pia vinahaitaji sana kupata elimu ya nini nafasi yao kwa jamii na nini kazi yao kwa Taifa hili.

Wananchi na Viongozi wote tunapaswa kujua pia CCM ni chama cha siasa kama vilivyo vyama vingine, kuna CCM chama cha siasa na CCM chama kilichoshika dola, CCM kama chama dola kazi yake kuu ni kusimamia, kulinda na kutetea maslahi ya Tanzania na watanzania bila uonevu, vitisho nk
CCM kama chama cha siasa kazi yake ni kulinda maslahi ya chama chake na kutengeneza misingi yake inakayofanya kiaminike na CCM bila kutumia dola wala Kodi za wananchi.

Mwisho wa kabisa, Watanzania na viongozi wetu kwa ujumla tunapaswa kutembea tembea na kujifunza namna mataifa yaliyoendelea wanavyofanya mambo yao na kujenga mataifa yao pamoja namna ya kuongoza watu.
 
Mimi kanikumbusha harakati za Mugabe kutaka arithiwe na mkewe hadi Mnangagwa (aliyekuwa makamu wa Mugabe) kuikimbia nchi.

Unakumbuka alichokisema aliyekuwa mkuu wa vijana wa ZANU? Aliishia kuomba radhi baada ya wanajeshi kuukataa mpango ovu wa Mugabe kurithiwa na mkewe.
Nyerere na ujanja wake wote lkn alijua wenye mamlaka ni wananchi na akaongezea kwa kusema tz msijefikiri mko tofauti na mataifa mengine, sasa hawa watumishivwetu sijui wanajengeuka na nini, kwanza ni kauli za dharau sana kwa waliokuchagua.
 
Back
Top Bottom