Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na kweli kabisaKumeanza kuchangamka ndugu mtangazaji
Hakuna haja kushiriki uchaguziKama kuna Nchi ya ajabu basi Tanzania ni mojawapo, ni Nchi yenye VIONGOZI wasio na maono Kabisa.
Huyu ni Waziri eti akiwa Kwenye jezi za CCM
View attachment 3083673
Mkwe povu IinamtokaAibu Sana Hii
Sijui Kapatwa Na Nini Mkwe Mpaka Anabwata Yote HayaMkwe povu Iinamtoka
Kichwa mbovu huyoKama kuna Nchi ya ajabu basi Tanzania ni mojawapo, ni Nchi yenye VIONGOZI wasio na maono Kabisa.
Huyu ni Waziri eti akiwa Kwenye jezi za CCM
View attachment 3083673
Tuamini unaota ndoto za mchanaMuda umekaribia sana wa anguko kuu la CCM hizi ni dalili tu😆😂
Kujifanya umekasirika na kwamba uko radhi kuua na kupoteza hakusaiidi
Labda kama unafaidika na System lakini kumbuka wakati Lema anasema Magufuli atakufa watu kama wewe mlipinga sana na kumkejeli Lema sijui kama unakumbuka lakini?!😂N
Tuamini unaota ndoto za mchana
Utakufa. Unapinga?Labda kama unafaidika na System lakini kumbuka wakati Lema anasema Magufuli atakufa watu kama wewe mlipinga sana na kumkejeli Lema sijui kama unakumbuka lakini?!😂
Kuliko kuwa Zezeta la CCM.Utakufa. Unapinga?
Kwa hiyo wewe ni nyumbu la CDM ! POLE DOGOKuliko kuwa Zezeta la CCM.
Bila ya katiba mpya mtaendelea hivyo hivyo kusema anguko la CCM na wao wanaendelea kutawala.Muda umekaribia sana wa anguko kuu la CCM hizi ni dalili tu😆😂
Kujifanya umekasirika na kwamba uko radhi kuua na kupoteza hakusaiidii chochote 😁
Kaona mbali na nampongezaKatibu mkuu wa chama cha majizi kaingia mitini kwenye mdahalo.
CHADEMA tuna Uhuru wa kuhoji huko CCM ndio kuna Nyumbu mnapelekeshwa tu.Kwa hiyo wewe ni nyumbu la CDM ! POLE DOGO
Mhoji Mbowe kwa nini ni mwenyekiti wa Milele?CHADEMA tuna Uhuru wa kuhoji huko CCM ndio kuna Nyumbu mnapelekeshwa tu.
Wewe ni CHADEMA?Mhoji Mbowe kwa nini ni mwenyekiti wa Milele?
CHADEMA tuna Uhuru wa kuhoji huko CCM ndio kuna Nyumbu mnapelekeshwa tu.
What is this?Kama kuna Nchi ya ajabu basi Tanzania ni mojawapo, ni Nchi yenye VIONGOZI wasio na maono Kabisa.
Huyu ni Waziri eti akiwa Kwenye jezi za CCM
View attachment 3083673