Kama iko haki ya mtu kuamua kujitenga na Tanzania na kuundwa nchi ya watu wa Jamhuri ya JPM, Mimi namba moja

Kama iko haki ya mtu kuamua kujitenga na Tanzania na kuundwa nchi ya watu wa Jamhuri ya JPM, Mimi namba moja

Jamhuri ya JPM iko kule shimoni Chato, mtu kama wewe huombi uraia, unapewa tu, na unasubiriwa.
Meaning what? Kama mimi ni Mwarabu wa CUF je, niende kaburi la Magufuli kafiri linanisaidia nini? Mie nitaenda kaburi la Mama yake zittokabwe shujaa Kigoma Burundi au kaburi la Maalimseif kule Pemba? Kwa nini niende kwa Magufuli? Kuna kada wengi wa CCM na mapolisi walichinjwa kule Kibiti Lindi na kundi la UAMSHO, makada wa upinzani hawaguswi huku Mbunge wa CHADEMA John John Mnyika akisema CCM na Polisi walijitakia?
 
Anatukanwa kwasababu aliijifanya anajua matusi. Huwezi kumwambia mwananchi Rudi na mavi yako nyumbani. Rais mzima.

Ndiomaana tunawaita nyinyi maTUTUSA, mbwa koko (waoga), na machawa kwa kumtukana mtu ambaye amefariki miaka miwili iliyopita tena mitandaoni kwa kujificha kama panya.

Kwanini hamkumtukana alivyokuwa hai? 😄
 
Shujaa huwa haui Raia wake.
Umesema kweli.Shujaa haui raia wake kwa njaa, ugumu wa maisha, tozo za dhulma,migao umeme,maji, ajali, vifo mahospitalini kwa huduma mbovu! Bali shujaa hupambana kuleta nafuu na kuhakikisha jamii inanufaika na keki ya taifa.
 
Hili ni kutoka moyoni kabisa!

Nchi ya watu wa jamhuri ya JPM, haifumbii macho upandaji wa mazao kiholela na kuishi kwa tozo zisizo na kichwa wala mkia, Haina uhusiano kabisa na rushwa, wazembe kule hawatakiwi, mafisadi hawaweki pua zao kule, kule ni HAPA KAZI TU Na kuishi kwa kumtegemea MUNGU

Kule miradi haihujumiwi kijinga! Kule ni Taifa la watu wenye nguvu na wanaojiamini! Hakuna kuoneana, masikini ataishi kwa haki yake na tajiri kwa haki yake, kila mtu atakula kwa jasho lake na si kwa urefu wa kamba zake!

Na kama iko namna bora na ambapo viongozi wetu wanapaswa kutumia hekima ili kuondoa mpasuko unaoendelea mitandaoni na ambapo viongozi wetu huwenda wanaona ni kawaida, basi wanapaswa kuliangalia hili na kuwa nalo makini sana, kwani linazidi kuipasua nchi na kuleta tofauti mkubwa kwa wananchi na mpaka kwa viongozi wenyewe!

Kuilinda Amani kwa majeshi na vitisho, ni njia nzuri ila sio namna bora yenye kuleta utengamano kwa jamii iyoumizwa; watanyanaza kwa midomo yao lakini mioyo yao ingali inawaka moto!

Tukubali ama tusikubali, nyuma ya hayati JPM kuna mamilioni ya watanzania ambao mpaka sasa wamekuwa wafuasi wa mlengo wake na wameendelea kuumizwa na matusi na kejeli nyingi kumhusu JPM, Ikumbukwe, JPM alikuwa Raisi wa nchi hii, hivyo, ameacha watu wengi nyuma waliathiriwa na namna ya uongozi wake na wakampenda kama kiongozi wa aina yake kwenye mioyo yao

Si kwenye majeshi yetu, si kwa viongozi wa ndani na nje ya nchi tu, bali hata viongozi wengi waliko ndani ya ccm na ndani ya vyama vingi vya upinzani

Kuendelea kuacha jina lake kutukanwa kama mdori! Hii sio heshima wala mila zetu watanzania

Ifike pahala, jambo hili likomeshwe ili kuwaleta watanzania kwa pamoja na umoja wao!

Kama kuna mtu anajidanganya kusema eti hao sukuma gang, kwanza ni wachache na itafika mahali watasahau, huku ni kujidanganya na kuendelea kuchochea ghadhabu ndani ya mioyo ya wengi! Mtu aliyewatoa tongotongo watanzania na kuona kwamba kumbe hata Tanzania na watanzania kuinuka kiuchumi inaezeakana, iwe rahisi tu kusahaulika?

Hii ni nchi yetu sote, tumekuwa na utaratibu usiopendelea mtu wala dini na ama kabila ili kumfanya
Mtu awe kiongozi wetu!

JPM alishinda kwa haki na nyinyi ccm ndio mliotuletea, na ushindi wake mliusimamia nyinyi wenyewe, kwa nini hata chama chake kimeacha kumtunzia heshima yake kama mtu aliyeitumikia hii nchi tena kwa mafanikio makubwa?


Mnamaanisha kwamba nyinyi ccm ndio mnaoratibu haya unayoendelea kumhusu JPM?

Nahitimisha kusema, ccm majijengea uhasama na wananchi nyinyi kwa nyinyi!
Mama si ameponya nchi ndugu .kuna maridhiano huku kila kona utafikir nchi ilikuwa kwenye civil war
 
Nyie misukule ya mwendazake ndiyo njaa kali,mna chuki kubwa na matajiri kwa vile mlikulia kulalia ngozi za mbuzi basi mlitaka kila mtu a experience dhiki zenu ndiyo maana yule kichaa wenu alisema anataka waliokuwa wanaishi maisha bora waishi kama mashetani. Chuki yenu kwa matajiri haiwezi ikaondoa dhiki zenu.

Ndiomaana tunawaita nyinyi maTUTUSA, mbwa koko (waoga), na machawa kwa kumtukana mtu ambaye amefariki miaka miwili iliyopita tena mitandaoni kwa kujificha kama panya.

Kwanini hamkumtukana alivyokuwa hai? Nyinyi ni waoga wa maisha na ndiomaana nikasema mna NJAA.
 
JPM yupi unamuingelea? Huyu aliyempa mpwa wake asimamie hazina ili wachote fedha vizuri au huyu aliyehamisha wanyama kupeleka chato? Kiongozi wa hovyo kuwahi kutokea Tanzania.

JPM yupi unamuingelea? Huyu aliyempa mpwa wake asimamie hazina ili wachote fedha vizuri au huyu aliyehamisha wanyama kupeleka chato? Kiongozi wa hovyo kuwahi kutokea Tanzania.
Tulia wewe hujui chochote
 
Nitamkubali Magufuli Miaka yote ya maisha yangu hapa Duniani Najua alikuwa na baadhi ya Mapungufu yake ila Alikuwa ni Kiongozi Bora kuwahi kutokea Katika Ardhi ya Tanzania R.I.P JPM,

ni miaka miwili sasa Tangu ututoke yani kila nikiona nyuzi za kumtukana Magufuli humu JF huwa nagundua kweli Matatizo ya Afya ya akili ni Janga la Kitaifa na linahitaji Barakoa za Ubongo ili lisisambae.
 
Ndiomaana tunawaita nyinyi maTUTUSA, mbwa koko (waoga), na machawa kwa kumtukana mtu ambaye amefariki miaka miwili iliyopita tena mitandaoni kwa kujificha kama panya.

Kwanini hamkumtukana alivyokuwa hai? Nyinyi ni waoga wa maisha na ndiomaana nikasema mna NJAA.
Wapi na lini ametukanwa? Au kiswahi kinawapa shida mumezoe kihutu chenu? Kueleza wasifu wa mtu ndiyo kumtukana? Tuondoleeni utaahira wenu wa Kirundi hapa, kama vipi rudini kwenu Burundi mlikozoea kuchinjana wapuuzi wakubwa nyie

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Ame
Nchi ni
Nchi ni Moja Tanzania.

Magu alifanya mengi MAZURI, tunayaenzi.

Sa100 anaendeleza, Mungu ambariki.
Kunako Majaliwa tunaomba Mungu atuletee mkali zaidi ya Magu kunako 2025 ikiwa uchaguzi mkuu utakuwepo.

Amen
Amen
 
Kuwapora hela Wananchi halafu unajenga Airport mwituni hayo ni mazuri gani?
 
Hili ni kutoka moyoni kabisa!

Nchi ya watu wa jamhuri ya JPM, haifumbii macho upandaji wa mazao kiholela na kuishi kwa tozo zisizo na kichwa wala mkia, Haina uhusiano kabisa na rushwa, wazembe kule hawatakiwi, mafisadi hawaweki pua zao kule, kule ni HAPA KAZI TU Na kuishi kwa kumtegemea MUNGU

Kule miradi haihujumiwi kijinga! Kule ni Taifa la watu wenye nguvu na wanaojiamini! Hakuna kuoneana, masikini ataishi kwa haki yake na tajiri kwa haki yake, kila mtu atakula kwa jasho lake na si kwa urefu wa kamba zake!

Na kama iko namna bora na ambapo viongozi wetu wanapaswa kutumia hekima ili kuondoa mpasuko unaoendelea mitandaoni na ambapo viongozi wetu huwenda wanaona ni kawaida, basi wanapaswa kuliangalia hili na kuwa nalo makini sana, kwani linazidi kuipasua nchi na kuleta tofauti mkubwa kwa wananchi na mpaka kwa viongozi wenyewe!

Kuilinda Amani kwa majeshi na vitisho, ni njia nzuri ila sio namna bora yenye kuleta utengamano kwa jamii iyoumizwa; watanyanaza kwa midomo yao lakini mioyo yao ingali inawaka moto!

Tukubali ama tusikubali, nyuma ya hayati JPM kuna mamilioni ya watanzania ambao mpaka sasa wamekuwa wafuasi wa mlengo wake na wameendelea kuumizwa na matusi na kejeli nyingi kumhusu JPM, Ikumbukwe, JPM alikuwa Raisi wa nchi hii, hivyo, ameacha watu wengi nyuma waliathiriwa na namna ya uongozi wake na wakampenda kama kiongozi wa aina yake kwenye mioyo yao

Si kwenye majeshi yetu, si kwa viongozi wa ndani na nje ya nchi tu, bali hata viongozi wengi waliko ndani ya ccm na ndani ya vyama vingi vya upinzani

Kuendelea kuacha jina lake kutukanwa kama mdori! Hii sio heshima wala mila zetu watanzania

Ifike pahala, jambo hili likomeshwe ili kuwaleta watanzania kwa pamoja na umoja wao!

Kama kuna mtu anajidanganya kusema eti hao sukuma gang, kwanza ni wachache na itafika mahali watasahau, huku ni kujidanganya na kuendelea kuchochea ghadhabu ndani ya mioyo ya wengi! Mtu aliyewatoa tongotongo watanzania na kuona kwamba kumbe hata Tanzania na watanzania kuinuka kiuchumi inaezeakana, iwe rahisi tu kusahaulika?

Hii ni nchi yetu sote, tumekuwa na utaratibu usiopendelea mtu wala dini na ama kabila ili kumfanya
Mtu awe kiongozi wetu!

JPM alishinda kwa haki na nyinyi ccm ndio mliotuletea, na ushindi wake mliusimamia nyinyi wenyewe, kwa nini hata chama chake kimeacha kumtunzia heshima yake kama mtu aliyeitumikia hii nchi tena kwa mafanikio makubwa?


Mnamaanisha kwamba nyinyi ccm ndio mnaoratibu haya unayoendelea kumhusu JPM?

Nahitimisha kusema, ccm majijengea uhasama na wananchi nyinyi kwa nyinyi!
Mao tsetung na nyerere nakina nkruma hawakufanya huo upuuzi sembuse huyo jangili muuaji mwaga damu za watu
 
Sawa kisamvu ila hii suggestion yako inanukia uhaini kwani hata mbuyu ulianza kama mchicha, cheche moja inaweza kulipua kisima kizima cha petrol. Watch it !!!
Hakuna mtu wa aina hiyo hapa bongo' na haitatokea mkuu, ni namna ya maoni tu ambayo yanaukaribia ukweli kwamba, tunahitaji kuwa na angalau na mifumo imara kama ilivyokuwa kwa huyu hayati, maana nchi yetu bhana inaboa sana, watu wanaihujumu sana nchi yetu na hawafanywi chochote

Tunafikia kuomba misaada ya choo? Maana yake sisi ni masikini mno?

Haiwezekani bhana
 
Wapi na lini ametukanwa? Au kiswahi kinawapa shida mumezoe kihutu chenu? Kueleza wasifu wa mtu ndiyo kumtukana? Tuondoleeni utaahira wenu wa Kirundi hapa, kama vipi rudini kwenu Burundi mlikozoea kuchinjana wapuuzi wakubwa nyie

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app

Nyie ni wale mbwa "mkia dobo" au kwa jina maarufu "mbwa koko".

Waoga waoga tu, ndiomaana hauna mwenye akili timamu anaweza kuwazigatia.

Mngebwata live live wakati ule yupo hai, sio sasa hayupo ndo unakuja kupigia kelele huku kwenye anonymity , mmejificha kama panya😄.

Waoga wa maisha.
 
Kuwapora hela Wananchi halafu unajenga Airport mwituni hayo ni mazuri gani?
Hahaha! Ni maomno mazuri sana hayo mkuu

Ni sawa tu na rami ilivyoenea mpaka uwani huko uchagani wakati kuna wilaya nzima hazina hata rami
 
Back
Top Bottom