Kama iko haki ya mtu kuamua kujitenga na Tanzania na kuundwa nchi ya watu wa Jamhuri ya JPM, Mimi namba moja

Kama iko haki ya mtu kuamua kujitenga na Tanzania na kuundwa nchi ya watu wa Jamhuri ya JPM, Mimi namba moja

Nyie ni wale mbwa "mkia dobo" au kwa jina maarufu "mbwa koko".

Waoga waoga tu, ndiomaana hauna mwenye akili timamu anaweza kuwazigatia.

Mngebwata live live wakati ule yupo hai, sio sasa hayupo ndo unakuja kupigia kelele huku kwenye anonymity , mmejificha kama panya[emoji1].

Waoga wa maisha.
Nyie ndiyo waoga wa maisha ndiyo mlijipendekeza kwake ili mteuliwe sasa hayupo ndiyo mnaona kila kinachofanywa na Serikali ni kibaya kwa vile mko nje ya mfumo, sisi tulishazoea kuishi kwa kujitegemea. Mtalia sana Msoga Gang ndiyo wameshawaweka pembeni. Mnaacha kuishi kujitegemea mnategemea kubebwa na dola pumbavu kabisa nyie viwete wa akili.

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Wivu wa Nini? Kila siku kelele Mara kujitenga Mara Nini? Sasa Bora mpewe nchi yenu muende huko mkaishi na watu wasiojulikana na Hakuna kuongea, kutekwa nje nje.
-Kwani sasa hivi mnaongea nini?

Lamba asali tu. Na watu wanatekwa na kuuwawa ila kwa vile mnalamba asali ndio maana hamuoni hayo ni upofu tupu.

Na taifa halifanyitena maendeleo kazi ni kulamba asali tu. Mila biradi ya JPM hakuna mradi mpya uloanzishwa.
 
Kama taifa hili ni la fisadi la msoga na kigenge chake na wanaamua nani awe nani na wasiyempenda wao wanamkataa na wanajivuna waziwazi hadharani wao ndio wazuri na hawafi wanadunda tu, kuna ubaya gani wale wa JPM wakitaka kipande cha nchi na wao wajimilikishe kama hawa mafisadi walivyojimilikisha taifa letu watanzania wote?
 
Siafiki kutukanwa kwa huyo uliemtaja. Lakini umejichanganya kwenye hoja yako.
1. Umoja kama taifa. Enzi za huyo uliyemtaja alishasema jimbo la mpinzani hapeleki huduma, je huo umoja upo wapi? Ninaweza kusema aliligawa taiga kwa kauli zake na hata vitisho alipowaambia wakurugenzi kama wamepewa magari,usalama wanao sasa itakua ajabu wakitangaza wabunge wa upinzani. Huo umoja ameuenzi wapi hapo?

2. Unazungumzia watu kuishi bila vitisho. Hapo ndio umepotea kabisa. Kulikuepo na wakuu wa wilaya,mikoa na wakurugenzi walikua miungu watu. Sioni haja ya kuwataja maana wenye akili wanawajua

3. Suala la dhuluma. Kwani hoja ya prebargaining hujawahi kuisikia? Vipi hela zilizosemekana zimechepushwa na hata taratibu hazikufuatwa? Nani alichepusha nakwabaraka za nani

4. Suala la mipasuko mtandaoni. Binafsi sioni mpasuko bali watu wanatoa maoni yao sematu wewe mleta mada huafikiani nayo.

5. Unaposema alishinda kwahaki rejea uchaguzi wa serikali za mitaa ambapo wapinzani karibia nchi nzima eti walishindwa kujaza fomu kwa usahihi. Sasa hayo sio maajabu ya karne?

Kama kweli hutaki maoni hasi ( kwa mtazamo wako)juu ya huyo ambae unaesema anaonewa kutukanwa na kudhalilishwa nivyema usiandike mema yake maana wapo wataeleza mabaya yake. Hayo ndio maisha usibishane na mizani mkuu.
 
Hili ni kutoka moyoni kabisa!

Nchi ya watu wa jamhuri ya JPM, haifumbii macho upandaji wa mazao kiholela na kuishi kwa tozo zisizo na kichwa wala mkia, Haina uhusiano kabisa na rushwa, wazembe kule hawatakiwi, mafisadi hawaweki pua zao kule, kule ni HAPA KAZI TU Na kuishi kwa kumtegemea MUNGU

Kule miradi haihujumiwi kijinga! Kule ni Taifa la watu wenye nguvu na wanaojiamini! Hakuna kuoneana, masikini ataishi kwa haki yake na tajiri kwa haki yake, kila mtu atakula kwa jasho lake na si kwa urefu wa kamba zake!

Na kama iko namna bora na ambapo viongozi wetu wanapaswa kutumia hekima ili kuondoa mpasuko unaoendelea mitandaoni na ambapo viongozi wetu huwenda wanaona ni kawaida, basi wanapaswa kuliangalia hili na kuwa nalo makini sana, kwani linazidi kuipasua nchi na kuleta tofauti mkubwa kwa wananchi na mpaka kwa viongozi wenyewe!

Kuilinda Amani kwa majeshi na vitisho, ni njia nzuri ila sio namna bora yenye kuleta utengamano kwa jamii iyoumizwa; watanyanaza kwa midomo yao lakini mioyo yao ingali inawaka moto!

Tukubali ama tusikubali, nyuma ya hayati JPM kuna mamilioni ya watanzania ambao mpaka sasa wamekuwa wafuasi wa mlengo wake na wameendelea kuumizwa na matusi na kejeli nyingi kumhusu JPM, Ikumbukwe, JPM alikuwa Raisi wa nchi hii, hivyo, ameacha watu wengi nyuma waliathiriwa na namna ya uongozi wake na wakampenda kama kiongozi wa aina yake kwenye mioyo yao

Si kwenye majeshi yetu, si kwa viongozi wa ndani na nje ya nchi tu, bali hata viongozi wengi waliko ndani ya ccm na ndani ya vyama vingi vya upinzani

Kuendelea kuacha jina lake kutukanwa kama mdori! Hii sio heshima wala mila zetu watanzania

Ifike pahala, jambo hili likomeshwe ili kuwaleta watanzania kwa pamoja na umoja wao!

Kama kuna mtu anajidanganya kusema eti hao sukuma gang, kwanza ni wachache na itafika mahali watasahau, huku ni kujidanganya na kuendelea kuchochea ghadhabu ndani ya mioyo ya wengi! Mtu aliyewatoa tongotongo watanzania na kuona kwamba kumbe hata Tanzania na watanzania kuinuka kiuchumi inaezeakana, iwe rahisi tu kusahaulika?

Hii ni nchi yetu sote, tumekuwa na utaratibu usiopendelea mtu wala dini na ama kabila ili kumfanya
Mtu awe kiongozi wetu!

JPM alishinda kwa haki na nyinyi ccm ndio mliotuletea, na ushindi wake mliusimamia nyinyi wenyewe, kwa nini hata chama chake kimeacha kumtunzia heshima yake kama mtu aliyeitumikia hii nchi tena kwa mafanikio makubwa?


Mnamaanisha kwamba nyinyi ccm ndio mnaoratibu haya unayoendelea kumhusu JPM?

Nahitimisha kusema, ccm majijengea uhasama na wananchi nyinyi kwa nyinyi!

Amani yetu, Maendeleo yetu!

Najisikia raha kuzaliwa Tanzania, nitakuenzi Tanzania na nitakupigania kwa nguvu zangu zote, nitakulinda, Mafisadi watasalenda tu!
Upo sahihi sana mkuu Jpm alikuwa rais bora sana kuwahi kutokea.
 
Maendeleo tunayotaka hayaji kwa fikra tu bali kupgana machozi Jasho na damu ukiwa kama kiongozi ni lazma sometimes uchukue maamuzi magumu jpm alithubutu .
 
Hili ni kutoka moyoni kabisa!

Nchi ya watu wa jamhuri ya JPM, haifumbii macho upandaji wa mazao kiholela na kuishi kwa tozo zisizo na kichwa wala mkia, Haina uhusiano kabisa na rushwa, wazembe kule hawatakiwi, mafisadi hawaweki pua zao kule, kule ni HAPA KAZI TU Na kuishi kwa kumtegemea MUNGU

Kule miradi haihujumiwi kijinga! Kule ni Taifa la watu wenye nguvu na wanaojiamini! Hakuna kuoneana, masikini ataishi kwa haki yake na tajiri kwa haki yake, kila mtu atakula kwa jasho lake na si kwa urefu wa kamba zake!

Na kama iko namna bora na ambapo viongozi wetu wanapaswa kutumia hekima ili kuondoa mpasuko unaoendelea mitandaoni na ambapo viongozi wetu huwenda wanaona ni kawaida, basi wanapaswa kuliangalia hili na kuwa nalo makini sana, kwani linazidi kuipasua nchi na kuleta tofauti mkubwa kwa wananchi na mpaka kwa viongozi wenyewe!

Kuilinda Amani kwa majeshi na vitisho, ni njia nzuri ila sio namna bora yenye kuleta utengamano kwa jamii iyoumizwa; watanyanaza kwa midomo yao lakini mioyo yao ingali inawaka moto!

Tukubali ama tusikubali, nyuma ya hayati JPM kuna mamilioni ya watanzania ambao mpaka sasa wamekuwa wafuasi wa mlengo wake na wameendelea kuumizwa na matusi na kejeli nyingi kumhusu JPM, Ikumbukwe, JPM alikuwa Raisi wa nchi hii, hivyo, ameacha watu wengi nyuma waliathiriwa na namna ya uongozi wake na wakampenda kama kiongozi wa aina yake kwenye mioyo yao

Si kwenye majeshi yetu, si kwa viongozi wa ndani na nje ya nchi tu, bali hata viongozi wengi waliko ndani ya ccm na ndani ya vyama vingi vya upinzani

Kuendelea kuacha jina lake kutukanwa kama mdori! Hii sio heshima wala mila zetu watanzania

Ifike pahala, jambo hili likomeshwe ili kuwaleta watanzania kwa pamoja na umoja wao!

Kama kuna mtu anajidanganya kusema eti hao sukuma gang, kwanza ni wachache na itafika mahali watasahau, huku ni kujidanganya na kuendelea kuchochea ghadhabu ndani ya mioyo ya wengi! Mtu aliyewatoa tongotongo watanzania na kuona kwamba kumbe hata Tanzania na watanzania kuinuka kiuchumi inaezeakana, iwe rahisi tu kusahaulika?

Hii ni nchi yetu sote, tumekuwa na utaratibu usiopendelea mtu wala dini na ama kabila ili kumfanya
Mtu awe kiongozi wetu!

JPM alishinda kwa haki na nyinyi ccm ndio mliotuletea, na ushindi wake mliusimamia nyinyi wenyewe, kwa nini hata chama chake kimeacha kumtunzia heshima yake kama mtu aliyeitumikia hii nchi tena kwa mafanikio makubwa?


Mnamaanisha kwamba nyinyi ccm ndio mnaoratibu haya unayoendelea kumhusu JPM?

Nahitimisha kusema, ccm majijengea uhasama na wananchi nyinyi kwa nyinyi!

Amani yetu, Maendeleo yetu!

Najisikia raha kuzaliwa Tanzania, nitakuenzi Tanzania na nitakupigania kwa nguvu zangu zote, nitakulinda, Mafisadi watasalenda tu!
Huu ndio ushamba wenyewe.
 
Hili ni kutoka moyoni kabisa!

Nchi ya watu wa jamhuri ya JPM, haifumbii macho upandaji wa mazao kiholela na kuishi kwa tozo zisizo na kichwa wala mkia, Haina uhusiano kabisa na rushwa, wazembe kule hawatakiwi, mafisadi hawaweki pua zao kule, kule ni HAPA KAZI TU Na kuishi kwa kumtegemea MUNGU

Kule miradi haihujumiwi kijinga! Kule ni Taifa la watu wenye nguvu na wanaojiamini! Hakuna kuoneana, masikini ataishi kwa haki yake na tajiri kwa haki yake, kila mtu atakula kwa jasho lake na si kwa urefu wa kamba zake!

Na kama iko namna bora na ambapo viongozi wetu wanapaswa kutumia hekima ili kuondoa mpasuko unaoendelea mitandaoni na ambapo viongozi wetu huwenda wanaona ni kawaida, basi wanapaswa kuliangalia hili na kuwa nalo makini sana, kwani linazidi kuipasua nchi na kuleta tofauti mkubwa kwa wananchi na mpaka kwa viongozi wenyewe!

Kuilinda Amani kwa majeshi na vitisho, ni njia nzuri ila sio namna bora yenye kuleta utengamano kwa jamii iyoumizwa; watanyanaza kwa midomo yao lakini mioyo yao ingali inawaka moto!

Tukubali ama tusikubali, nyuma ya hayati JPM kuna mamilioni ya watanzania ambao mpaka sasa wamekuwa wafuasi wa mlengo wake na wameendelea kuumizwa na matusi na kejeli nyingi kumhusu JPM, Ikumbukwe, JPM alikuwa Raisi wa nchi hii, hivyo, ameacha watu wengi nyuma waliathiriwa na namna ya uongozi wake na wakampenda kama kiongozi wa aina yake kwenye mioyo yao

Si kwenye majeshi yetu, si kwa viongozi wa ndani na nje ya nchi tu, bali hata viongozi wengi waliko ndani ya ccm na ndani ya vyama vingi vya upinzani

Kuendelea kuacha jina lake kutukanwa kama mdori! Hii sio heshima wala mila zetu watanzania

Ifike pahala, jambo hili likomeshwe ili kuwaleta watanzania kwa pamoja na umoja wao!

Kama kuna mtu anajidanganya kusema eti hao sukuma gang, kwanza ni wachache na itafika mahali watasahau, huku ni kujidanganya na kuendelea kuchochea ghadhabu ndani ya mioyo ya wengi! Mtu aliyewatoa tongotongo watanzania na kuona kwamba kumbe hata Tanzania na watanzania kuinuka kiuchumi inaezeakana, iwe rahisi tu kusahaulika?

Hii ni nchi yetu sote, tumekuwa na utaratibu usiopendelea mtu wala dini na ama kabila ili kumfanya
Mtu awe kiongozi wetu!

JPM alishinda kwa haki na nyinyi ccm ndio mliotuletea, na ushindi wake mliusimamia nyinyi wenyewe, kwa nini hata chama chake kimeacha kumtunzia heshima yake kama mtu aliyeitumikia hii nchi tena kwa mafanikio makubwa?


Mnamaanisha kwamba nyinyi ccm ndio mnaoratibu haya unayoendelea kumhusu JPM?

Nahitimisha kusema, ccm majijengea uhasama na wananchi nyinyi kwa nyinyi!

Amani yetu, Maendeleo yetu!

Najisikia raha kuzaliwa Tanzania, nitakuenzi Tanzania na nitakupigania kwa nguvu zangu zote, nitakulinda, Mafisadi watasalenda tu!
Naunga mkono hoja
 
Hili ni kutoka moyoni kabisa!

Nchi ya watu wa jamhuri ya JPM, haifumbii macho upandaji wa mazao kiholela na kuishi kwa tozo zisizo na kichwa wala mkia, Haina uhusiano kabisa na rushwa, wazembe kule hawatakiwi, mafisadi hawaweki pua zao kule, kule ni HAPA KAZI TU Na kuishi kwa kumtegemea MUNGU

Kule miradi haihujumiwi kijinga! Kule ni Taifa la watu wenye nguvu na wanaojiamini! Hakuna kuoneana, masikini ataishi kwa haki yake na tajiri kwa haki yake, kila mtu atakula kwa jasho lake na si kwa urefu wa kamba zake!

Na kama iko namna bora na ambapo viongozi wetu wanapaswa kutumia hekima ili kuondoa mpasuko unaoendelea mitandaoni na ambapo viongozi wetu huwenda wanaona ni kawaida, basi wanapaswa kuliangalia hili na kuwa nalo makini sana, kwani linazidi kuipasua nchi na kuleta tofauti mkubwa kwa wananchi na mpaka kwa viongozi wenyewe!

Kuilinda Amani kwa majeshi na vitisho, ni njia nzuri ila sio namna bora yenye kuleta utengamano kwa jamii iyoumizwa; watanyanaza kwa midomo yao lakini mioyo yao ingali inawaka moto!

Tukubali ama tusikubali, nyuma ya hayati JPM kuna mamilioni ya watanzania ambao mpaka sasa wamekuwa wafuasi wa mlengo wake na wameendelea kuumizwa na matusi na kejeli nyingi kumhusu JPM, Ikumbukwe, JPM alikuwa Raisi wa nchi hii, hivyo, ameacha watu wengi nyuma waliathiriwa na namna ya uongozi wake na wakampenda kama kiongozi wa aina yake kwenye mioyo yao

Si kwenye majeshi yetu, si kwa viongozi wa ndani na nje ya nchi tu, bali hata viongozi wengi waliko ndani ya ccm na ndani ya vyama vingi vya upinzani

Kuendelea kuacha jina lake kutukanwa kama mdori! Hii sio heshima wala mila zetu watanzania

Ifike pahala, jambo hili likomeshwe ili kuwaleta watanzania kwa pamoja na umoja wao!

Kama kuna mtu anajidanganya kusema eti hao sukuma gang, kwanza ni wachache na itafika mahali watasahau, huku ni kujidanganya na kuendelea kuchochea ghadhabu ndani ya mioyo ya wengi! Mtu aliyewatoa tongotongo watanzania na kuona kwamba kumbe hata Tanzania na watanzania kuinuka kiuchumi inaezeakana, iwe rahisi tu kusahaulika?

Hii ni nchi yetu sote, tumekuwa na utaratibu usiopendelea mtu wala dini na ama kabila ili kumfanya
Mtu awe kiongozi wetu!

JPM alishinda kwa haki na nyinyi ccm ndio mliotuletea, na ushindi wake mliusimamia nyinyi wenyewe, kwa nini hata chama chake kimeacha kumtunzia heshima yake kama mtu aliyeitumikia hii nchi tena kwa mafanikio makubwa?


Mnamaanisha kwamba nyinyi ccm ndio mnaoratibu haya unayoendelea kumhusu JPM?

Nahitimisha kusema, ccm majijengea uhasama na wananchi nyinyi kwa nyinyi!

Amani yetu, Maendeleo yetu!

Najisikia raha kuzaliwa Tanzania, nitakuenzi Tanzania na nitakupigania kwa nguvu zangu zote, nitakulinda, Mafisadi watasalenda tu!
Makamba na nepi wanepewa uwazari kwa kumtukana marehemu , na saa100 ndo akawaweka karibu kwenye kabineti
 
Back
Top Bottom